Kingfish23
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 490
- 485
Shukran mbona uwanja wa Mwanza ni kama madarasa ya SekondariInternational flights
1. Julius Nyerere
2. Kilimanjaro
3. Abeid Amani
Usafiri wa ndani
1. Julius Nyerere
2. Mwanza airport
Dodoma ni kama songwe airport tu
Mipango bila matumiziNdio kwanza kumekucha ππ
View: https://www.instagram.com/reel/C7WqUXruxE5/?igsh=MThldWRhcGI0N3BzcQ==
Ndio nini umeandika? Wivu au? πππππMipango bila matumizi
Wewe unaona wa Dodoma una hadhi Gani?Shukran mbona uwanja wa Mwanza ni kama madarasa ya Sekondari
Shukran mbona uwanja wa Mwanza ni kama madarasa ya Sekondari
Bado haujasema Hadi useme ππNa kuhusu Hilo wakulaumiwa ni serikali na TAA, uwanja upo vile lakini uko busy kuliko maelezo. Sisi wengine hatuna majibu maana ingekuwa unajengwa na private sekta tungeona Kuna gap
Mwasisi ni msukuma, ndo ujifunze kutuheshimuπππBado haujasema Hadi useme ππ
Dodoma piga bichwa komwe Hilo ππ
View attachment 2999259View attachment 2999260
View: https://youtu.be/zDJUDPrcvBc?si=fOhXqBMG_mve37gM
Msukuma aliasisi lini? Onyesha alipoweka pesa?Mwasisi ni msukuma, ndo ujifunze kutuheshimuπππ
Kamuulize mwigulu bhana tusisumbuane.Msukuma aliasisi lini? Onyesha alipoweka pesa?
Acha porojo, maneno sio pesaKamuulize mwigulu bhana tusisumbuane.
Kama huelewi hupaswi kutumia nguvu kubishana na Mimi.Acha porojo, maneno sio pesa
Ndio maana mnatengwa hivyo hivyo na limji lenu la hovyo ππKama huelewi hupaswi kutumia nguvu kubishana na Mimi.
Ndio maana mnatengwa hivyo hivyo na limji lenu la hovyo ππ
Asante sana Dom piga bichwa komwe Hilo la Mwanza View attachment 3000038View attachment 3000039View attachment 3000040View attachment 3000041View attachment 3000042
Ndio maana mnatengwa hivyo hivyo na limji lenu la hovyo ππ
Asante sana Dom piga bichwa komwe Hilo la Mwanza View attachment 3000038View attachment 3000039View attachment 3000040View attachment 3000041View attachment 3000042
Sizitaki mbichi hizi ππππKama viwanja vyenyewe ni aina ya chinangali, endeleeni tu kujengewa maskini nyie.
Kama viwanja vyenyewe ni aina ya chinangali, endeleeni tu kujengewa maskini nyie.
πππππ¨πππππKama huelewi hupaswi kutumia nguvu kubishana na Mimi.