Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

International flights
1. Julius Nyerere
2. Kilimanjaro
3. Abeid Amani

Usafiri wa ndani
1. Julius Nyerere
2. Mwanza airport



Dodoma ni kama songwe airport tu
Shukran mbona uwanja wa Mwanza ni kama madarasa ya Sekondari
 
Shukran mbona uwanja wa Mwanza ni kama madarasa ya Sekondari
FxXdBP0XgAA7UId.jpg

Dodoma subirini wa msalato kwasasa kaeni kimya.
 
Na kuhusu Hilo wakulaumiwa ni serikali na TAA, uwanja upo vile lakini uko busy kuliko maelezo. Sisi wengine hatuna majibu maana ingekuwa unajengwa na private sekta tungeona Kuna gap
 
Back
Top Bottom