Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Ilemela ni sehemu gani kuna shida ya maji? jibu swali acha ujinga
Kuna mji unaitwa Ilemela Tanzania hii๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€. Swali langu nilikuuliza nitajie mji wowote Tanzania ambao maji yanatoka mitaa yote ya mji mwakamzima 24/7 tumalize ubishi.
 
Unaishi jamii forum kwamba hata utumbo unaouandika wewe kwa jina takatifu la fact tuchukulie kuwa reference ya mabishano haya. Unakwama sana nilijua the sunk cost fallacy a.k.a ChoiceVariable anashida kumbe wewe ndo kimeo kabisa.
Nilishakwambia ukitaka kubishana na mimi kwanza uwe smart kichwani,pili uwe na hoja,facts na details zilizoenda shule. IQ yako ni ndogosana kwangu ndiomana nilikushauri level zako wewe nenda facebook
 
Nilishakwambia ukitaka kubishana na mimi kwanza uwe smart kichwani,pili uwe na hoja,facts na details zilizoenda shule. IQ yako ni ndogosana kwangu ndiomana nilikushauri level zako wewe nenda facebook
Pang'ang'a as usual fact haitwaji kijinga jinga, kutaja neno IQ haikufanyi kuwa na uelewa saaaaana. Ni vile tunakuchora tu. Yaani akili Huna na kila kitu huna watu wa sampuli yako mnaweza jikusanya mji mzima na Bado msieleweke.
 
Ni mwendawazimu tu anaweza kulinganisha Mwanza na Dodoma, Mwanza ipo mbali sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ