Kuna mji unaitwa Ilemela Tanzania hii😀😀. Swali langu nilikuuliza nitajie mji wowote Tanzania ambao maji yanatoka mitaa yote ya mji mwakamzima 24/7 tumalize ubishi.Ilemela ni sehemu gani kuna shida ya maji? jibu swali acha ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mji unaitwa Ilemela Tanzania hii😀😀. Swali langu nilikuuliza nitajie mji wowote Tanzania ambao maji yanatoka mitaa yote ya mji mwakamzima 24/7 tumalize ubishi.Ilemela ni sehemu gani kuna shida ya maji? jibu swali acha ujinga
Nilishakwambia ukitaka kubishana na mimi kwanza uwe smart kichwani,pili uwe na hoja,facts na details zilizoenda shule. IQ yako ni ndogosana kwangu ndiomana nilikushauri level zako wewe nenda facebookUnaishi jamii forum kwamba hata utumbo unaouandika wewe kwa jina takatifu la fact tuchukulie kuwa reference ya mabishano haya. Unakwama sana nilijua the sunk cost fallacy a.k.a ChoiceVariable anashida kumbe wewe ndo kimeo kabisa.
Acha Bangi wewe mbumbumbu wa Mwanza is big slum 😂😂 Mji wa Mwanza mbona nafasi za kazi hamna kabisa kwa Private Sector?Unaishi jamii forum kwamba hata utumbo unaouandika wewe kwa jina takatifu la fact tuchukulie kuwa reference ya mabishano haya. Unakwama sana nilijua the sunk cost fallacy a.k.a ChoiceVariable anashida kumbe wewe ndo kimeo kabisa.
Pang'ang'a as usual fact haitwaji kijinga jinga, kutaja neno IQ haikufanyi kuwa na uelewa saaaaana. Ni vile tunakuchora tu. Yaani akili Huna na kila kitu huna watu wa sampuli yako mnaweza jikusanya mji mzima na Bado msieleweke.Nilishakwambia ukitaka kubishana na mimi kwanza uwe smart kichwani,pili uwe na hoja,facts na details zilizoenda shule. IQ yako ni ndogosana kwangu ndiomana nilikushauri level zako wewe nenda facebook
Leta hotel zenu, ngonjera za Nini nawe mwanalizombe.Acha Bangi wewe mbumbumbu wa Mwanza is big slum 😂😂 Mji wa Mwanza mbona nafasi za kazi hamna kabisa kwa Private Sector?
Nilijua ni Mimi pekeyangu naonaga Mwanza jau kumbe watu kibao wako wanaizodia Mwanza is Slum huko 😂😂👇👇Leta hotel zenu, ngonjera za Nini nawe mwanalizombe.
Mbali sana wapi na kwenye kipi?Ni mwendawazimu tu anaweza kulinganisha Mwanza na Dodoma, Mwanza ipo mbali sana.
Mbali sana wapi na kwenye kipi?
Project zao huendana na mahitaji Yao kwa mfano hospitali ya magonjwa ya akili na vichaa milembe🤣🤣🤣
Unajua vizuri sana ila kwakuwa wewe unachuki na Mwanza huwezi kukubali hata kama leo hii mwanza itabadilika na kuwa kama New York.Mbali sana wapi na kwenye kipi?
Mwanza imezidi Dom Kwa kipi?Unajua vizuri sana ila kwakuwa wewe unachuki na Mwanza huwezi kukubali hata kama leo hii mwanza itabadilika na kuwa kama New York.
Ndo utuambie dom inaizidi Mwanza kwa kipi ili twende sawaMwanza imezidi Dom Kwa kipi?
Vingi sana mfano mzunguko wa pesaNdo utuambie dom inaizidi Mwanza kwa kipi ili twende sawa
Dodoma ina mzunguki upi wa pesa kuizidi mwanza?Vingi sana mfano mzunguko wa pesa
Tunaanzia hapa 👇👇Dodoma ina mzunguki upi wa pesa kuizidi mwanza?
Tunaanzia hapa 👇👇
Kula chuma hicho