Si useme tu shoppers plaza kama ilivyo buzuruga plazaKwamba huyajui masoko ya kisasa na ya mfano wa pekee kama Soko la Kisasa Ndugai au Soko la Kisasa Machinga Complex ambalo halmashauri za miji karibia zote walienda Dom kujifunza
Shopping Malls👇
-City Mall Mtendeni
-GSM city mall Kisasa
-Safina Shopping Mall
-Business Bay -Medeli
-Shoppers Plaza
-Njedengwa Mall(soon itakamalika
Unataka vielelezo sio kwenye hoja zangu sasa twende kazivielelezo
Uingereza kufungua ubalozi Dom ndo kunaifanya Dom kuizidi Mwanza, una wenge dogo.Unataka vielelezo sio kwenye hoja zangu sasa twende kazi
-Dom wameizidi mbali sana Mwanza ukusanyaji mapato....reference hii👇
-Licha ya Dom kuwa makao makuu ya chama na serikali kwa sasa Dom inashika nafasi ya pili baada ya Dar kwa uwingi wa taasisi na mashirika ya kimataifa tofauti na Mwanza ...reference👇👇Jiji la Dodoma laongoza tena kwa mapato nchini
Halmashauri zote zakusanya Bilioni 449 Mapato Ya Ndani IKIWA imepita robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2018/2019, Halmashauri zote nchini zimekusanya Sh. bilioni 449.8 ambayo ni asilimia 61 kati ya Sh. bilioni 735.6 zilizotarajiwa kukusanywa kutoka kwenye vyanzo vya ndani huku Halmashauriwww.google.com
Uingereza yafungua ubalozi wake Dodoma
Uingereza imekuwa ya tano kufungua ofisi za ubalozi wake mkoani Dodoma ikitanguliwa na Ujerumani, Ufaransa, China na Falme za Kiarabu (UAE).www.google.com
-Dom ni jiji lililopangiliwa vizuri sana mipangomiji na makazi Mwanza haifiki hata robo.Dom mpaka mapaa ya nyumba kwa kila mtaa yana mfanano wa rangi husika...👇👇
Kwa kila hoja zangu nitakua nakupa references kama hizo kutetea facts. Sasa na wewe nakukaribisha ubishane na mimi kwa kuniletea clear references kama hizo.Unataka vielelezo sio kwenye hoja zangu sasa twende kazi
-Dom wameizidi mbali sana Mwanza ukusanyaji mapato....reference hii👇
-Licha ya Dom kuwa makao makuu ya chama na serikali kwa sasa Dom inashika nafasi ya pili baada ya Dar kwa uwingi wa taasisi na mashirika ya kimataifa tofauti na Mwanza ...reference👇👇Jiji la Dodoma laongoza tena kwa mapato nchini
Halmashauri zote zakusanya Bilioni 449 Mapato Ya Ndani IKIWA imepita robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2018/2019, Halmashauri zote nchini zimekusanya Sh. bilioni 449.8 ambayo ni asilimia 61 kati ya Sh. bilioni 735.6 zilizotarajiwa kukusanywa kutoka kwenye vyanzo vya ndani huku Halmashauriwww.google.com
Uingereza yafungua ubalozi wake Dodoma
Uingereza imekuwa ya tano kufungua ofisi za ubalozi wake mkoani Dodoma ikitanguliwa na Ujerumani, Ufaransa, China na Falme za Kiarabu (UAE).www.google.com
-Dom ni jiji lililopangiliwa vizuri sana mipangomiji na makazi Mwanza haifiki hata robo.Dom mpaka mapaa ya nyumba kwa kila mtaa yana mfanano wa rangi husika...👇👇
Dom ni jiji lililopangiliwa vizuri sana mipangomiji na makazi Mwanza haifiki hata robo.Dom mpaka mapaa ya nyumba kwa kila mtaa yana mfanano wa rangi husika...👇👇Kwa kila hoja zangu nitakua nakupa references kama hizo kutetea facts. Sasa na wewe nakukaribisha ubishane na mimi kwa kuniletea clear references kama hizo.
ANGALIZO sitaki uniletee video,picha au irrelevant data kwa mfano za mkoa badala ya mji😂😂😂
Rudi kwenye hoja zako za huko juu tumalizane moja baada ya nyingine nimekuambia tuanze na masoko na shopping malls,Unataka vielelezo sio kwenye hoja zangu sasa twende kazi
-Dom wameizidi mbali sana Mwanza ukusanyaji mapato....reference hii👇
-Licha ya Dom kuwa makao makuu ya chama na serikali kwa sasa Dom inashika nafasi ya pili baada ya Dar kwa uwingi wa taasisi na mashirika ya kimataifa tofauti na Mwanza ...reference👇👇Jiji la Dodoma laongoza tena kwa mapato nchini
Halmashauri zote zakusanya Bilioni 449 Mapato Ya Ndani IKIWA imepita robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2018/2019, Halmashauri zote nchini zimekusanya Sh. bilioni 449.8 ambayo ni asilimia 61 kati ya Sh. bilioni 735.6 zilizotarajiwa kukusanywa kutoka kwenye vyanzo vya ndani huku Halmashauriwww.google.com
Uingereza yafungua ubalozi wake Dodoma
Uingereza imekuwa ya tano kufungua ofisi za ubalozi wake mkoani Dodoma ikitanguliwa na Ujerumani, Ufaransa, China na Falme za Kiarabu (UAE).www.google.com
-Dom ni jiji lililopangiliwa vizuri sana mipangomiji na makazi Mwanza haifiki hata robo.Dom mpaka mapaa ya nyumba kwa kila mtaa yana mfanano wa rangi husika...👇👇
Huyu pimbi haieleweki, aanze na masoko na shopping malls, then aende hoja nyingneDom ni jiji lililopangiliwa vizuri sana mipangomiji na makazi Mwanza haifiki hata robo.Dom mpaka mapaa ya nyumba kwa kila mtaa yana mfanano wa rangi husika...👇👇
Hiii hoja yako unaiona iko sawa kwa akili yako hebu iletee ushahidi asiyejua aelewe na umetumia chanzo kipi?.
Hapa hakuna shopping mall hata moja, pia masoko lipo moja ambalo lipo maporini huko, na machinga complex sasa vyote ni takataka tu, Central market ya mwanza inavikusanya vyote hivi na Mshindani market Central market ya mwanza ni soko la kariakoo tu, na itachukua miongo kazaa hii mikoa iliyobaki kupata central market kama ya mwanza,Kwamba huyajui masoko ya kisasa na ya mfano wa pekee kama Soko la Kisasa Ndugai au Soko la Kisasa Machinga Complex ambalo halmashauri za miji karibia zote walienda Dom kujifunza
Shopping Malls👇
-City Mall Mtendeni
-GSM city mall Kisasa
-Safina Shopping Mall
-Business Bay -Medeli
-Shoppers Plaza
-Njedengwa Mall(soon itakamalika
Mbona hueleweki mwanzo umesema hojazangu hazina vielelezo si ndio....sasa nimekupa references kutoka reliable sources. Nataka na wewe unipinge kwa references na reliable sources .Rudi kwenye hoja zako za huko juu tumalizane moja baada ya nyingine nimekuambia tuanze na masoko na shopping malls,
Kiswahili cha wapi...duuh kumbe natumia nguvu kubwa kubishana na MEMKWAkazaa
Tupia masoko na malls za DodomaKiswahili cha wapi...duuh kumbe natumia nguvu kubwa kubishana na MEMKWA
Unaruka ruka tu ...kwakifupi wewe na wenzako hamna uwezo wa kujibu hoja+facts,details na references zangu uwezo wenu ni kujibu picha na video😂😂 ndiomana huwa nawashauri nendeni kule kwenye thread yenu mkajifariji👇👇Tupia masoko na malls za Dodoma
Mbona hueleweki mwanzo umesema hojazangu hazina vielelezo si ndio....sasa nimekupa references kutoka reliable sources. Nataka na wewe unipinge kwa references na reliable sources .
ANGALIZO-nataka references na vielelezo kama nilivyotoa sitaki video,picha
Haya twende kazi ....jitahidi kuwa mbunifu kidogo😂😂
Wewe ni bogus hata kukaa tunakujibu ni kupoteza mda tuUnaruka ruka tu ...kwakifupi wewe na wenzako hamna uwezo wa kujibu hoja+facts,details na references zangu uwezo wenu ni kujibu picha na video😂😂 ndiomana huwa nawashauri nendeni kule kwenye thread yenu mkajifariji👇👇
Mwanza City: The Photo Gallery
a special thread for the rocky city. let us share some photos, underconstruction projects as well as proposed projects in mwanza. NB do not take time to compare the city with other cities from tz. naanza na picha hizi then unaruhisiwa kutupia pia.....www.google.com
Ukitaka kubishana na mimi kwanza uwe smart kichwani pili uwe na facts,hoja na details zilizoenda shule....michambo+mipasho peleka facebook ndio level zako.Wewe ni bogus hata kukaa tunakujibu ni kupoteza mda tu
Zero brainUkitaka kubishana na mimi kwanza uwe smart kichwani pili uwe na facts,hoja na details zilizoenda shule....michambo+mipasho peleka facebook ndio level zako.
Kichwa Cha panzi, reference zako ni thread za jamii forum, nilijua una akili japo kidogo kumbe ni lofa pro max. Ulipokataa report za NBS nikajua una chanzo chako Cha kutegemea kumbe ujinga mtupu. Na nimekutafuta ili nikupime vizuri uwezo wako inatosha kusema wewe ni mvupumba.Ukitaka kubishana na mimi kwanza uwe smart kichwani pili uwe na facts,hoja na details zilizoenda shule....michambo+mipasho peleka facebook ndio level zako.