Nje ya CBD pia pako poa tu maeneo machache yale ya zamani kama igogo na mabatini ndio hayako pouwa sana,Nje ya hapo CBD kuna zile dream houses zenu ππ
Wakati unapost idadi ya maghorofa ya udom kumbe yalikuwa CBD?Una kiwango gani cha elimu isije nikawa nabishana na darasa la sita ππ..Hili daraja lipo Mwanza CBD eti...π€£π€£π€£π€£π€£
ChoiceVariable CBD ya Dodoma ni kichekesho, bora hata kule kwenu Wanging'ombeKinachowapa maumivu watu wa Mwanza ni hiki kinachoendelea Dodoma HQ ππ
View: https://www.instagram.com/p/DBRm56SN8gz/?igsh=MWVrNDJsYnBmdXVycg==
UChafu tu hapoChoiceVariable CBD ya Dodoma ni kichekesho, bora hata kule kwenu Wanging'ombe
Si tulikubaliana Mwanza inajengwa na private sector hakuna mbeleko ya Serikali kama Dom...vp tenaπππView attachment 3129141NHC Buswelu
Vigorofa vya taasisi na outer ring mzee masare vinamchanganya halafu anafikiri Majiji mengine yamelala, uzuri Samia scheeme project Soon inabisha hodi Nyumba 3000,kama za magomeni kotaHawa vijana siyo wazima kabisa, yani hii ndiyo CBD iliyofunguliwa thread, Dodoma bado safari ni ndefu sana.
nini hikiπ€£π€£
Nikiwaambia leta vitu kama hivi huko Mwanza is Slum itakuwa ugomvi ππππ
Acha kulia Lia,jibu swali Lini mtafika level hizi? ππππVigorofa vya taasisi na outer ring mzee masare vinamchanganya halafu anafikiri Majiji mengine yamelala, uzuri Samia scheeme project Soon inabisha hodi Nyumba 3000,kama za magomeni kota