Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana vile vi gesti gesti vilivyobanana hapo CBD ndio wanaita Hotel 😆😆Ahaa kwahiyo sasa unakubaliana na hojayangu ya msingi kwamba Mwanza hakuna hoteli yoyote yenye ukubwa wa square meters kama St Gaspar Dom na capacity ya parking zaidi ya magari 1000 kwa wakati mmoja.
Bi project vya Kuunga unga 😂😂Hapa bado Project moja ipo kwenye pipe line, inaitwa Uboreshaji wa mto mirongo, hapa jiji litakua kama upo Europe baada ya kukamilika project hii.
Achana na hiyo st Gaspar tuna mahekaru ya hotel yanaambaambaa mwambao wa ziwa Victoria, Hapa nakupa St Dominic, inakuchakaza, hotel linaambaa kuanzia kama jamatini nenda mpaka sabasaba hukoAhaa kwahiyo sasa unakubaliana na hojayangu ya msingi kwamba Mwanza hakuna hoteli yoyote yenye ukubwa wa square meters kama St Gaspar Dom na capacity ya parking zaidi ya magari 1000 kwa wakati mmoja.
Njegengwa,msikilize mtangazaji hapo Utajua hujui 👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DAIaFwaOpuQ/?igsh=bzI4MTdkZDdjbHAy
😀😀on paper....utekelezaji mpaka Uchaguzi Mkuu upiteMkuyuni Fish market, KO nyingine View attachment 3129207
Kupata vichekesho kama hivi unabonyeza ngapi..😂😂😂Achana na hiyo st Gaspar tuna mahekaru ya hotel yanaambaambaa mwambao wa ziwa Victoria, Hapa nakupa St Dominic, inakuchakaza, hotel linaambaa kuanzia kama jamatini nenda mpaka sabasaba huko
Nasubiria Kwa hamu sana TCRA HQ maana ndio itakuwa iconic building ya DomMiradi ya ujenzi wa maghorofa unaoendelea Njedengwa Investment Area ikiwemo ile ya NSSF, pamoja na ujenzi wa hq za TCRA,Bodi ya Kahawa,TIRA,TPA n.k ikikamilika Dom itakua Dubai ndogo ya Afrika.
😀😀on paper....utekelezaji mpaka Uchaguzi Mkuu upite
Acha wivu mzee 🤣mkandarasi kashakabiziwa site hapo tuna hesabu miezi 18Miradi ya ujenzi wa maghorofa unaoendelea Njedengwa Investment Area ikiwemo ile ya NSSF, pamoja na ujenzi wa hq za TCRA,Bodi ya Kahawa,TIRA,TPA n.k ikikamilika Dom itakua Dubai ndogo ya Afrika.
😀😀on paper....utekelezaji mpaka Uchaguzi Mkuu upite
Zaidi ya Maika iliyotuchosha Hadi macho Kuna nini kingine Cha maana? Nssf wamegoma kumalizia hofu lao pale Mjini kati? 😁😁Achana na hiyo st Gaspar tuna mahekaru ya hotel yanaambaambaa mwambao wa ziwa Victoria, Hapa nakupa St Dominic, inakuchakaza, hotel linaambaa kuanzia kama jamatini nenda mpaka sabasaba huko
Wewe unachekesha ,tumitadi huto twa masoko ndio ufananishe na mamiradi ya Magorofa ya mataasisi yanayoendelea Dom?Acha wivu mzee 🤣mkandarasi kashakabiziwa site hapo tuna hesabu miezi 18
Shida mwanza hujui ndio maana unahangaika, Nenda sent Dominica kama unataka picha nikurushie chapu, hotel kubwa hekalu camp sites za kutosha ndaniKupata vichekesho kama hivi unabonyeza ngapi..😂😂😂
Mji unaweza ku rival Dom ni Dar na Arusha kidogoShida mwanza hujui ndio maana unahangaika, Nenda sent Dominica kama unataka picha nikurushie chapu, hotel kubwa hekalu camp sites za kutosha ndani
Dom HQ streets 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C-uIgwkorih/?igsh=ZWJyMzZxcHRrZHlm
Kwa Leo dozi inawatosha.
Hili ndilo tatizo lenu mmeshakalili kama mlivyokalili caprpoint street endeleeni kujifariji, Dodoma itakachoizidi mwanza ni Majengo ya serikali tu, halafu kichaka chenu, kujengewa nyumba za makazi na TBA, NHC, kinaenda kufumliwa soon, maana jamaa TBA mwanza wamechukua maeneo mengi na baadhi ya project zishaanza Gana wana project ya 8blocks mpaka sasa mbili zinaenda kuisha, bado eneo la kigongo aka jpm darajai, Samia scheeme hiyo nayo ishatua kwa flats 3000,Zaidi ya Maika iliyotuchosha Hadi macho Kuna nini kingine Cha maana? Nssf wamegoma kumalizia hofu lao pale Mjini kati? 😁😁
Dom HQ streets 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C-uIgwkorih/?igsh=ZWJyMzZxcHRrZHlm
Kwa Leo dozi inawatosha.
Acha kujivika ukazi wa mwanza wakati hata mwanza hupajui eti Arusha mara Dodoma mwanza haiingii ...mwanza jiji tuna halmashauri mbili zinazounda jiji ilemela na nyamagana tafuta nje ya Dar kama Kuna jiji limesambaa kama mwanza unajitekenya halafu unacheka mwenyewe mshamba wewe Toka hapa mbulula 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi ni mkazi wa Mwanza,Mwanza inazidiwa na Arusha ,Mwanza kinachoisaidia ni population.Mwanza & Arusha zote zimisha pitwa na Dodoma.
Wewe mshamba tu kama washamba wengine Dodoma haiikuti mwanza kivyovyoye na tunadunda na jiji la mwanza huku ni mjini wewe ng'ombe 🤣🤣🤣Itabidi nitafute kiwanja Dom nisijue pishana na fursa.
By 2035 kiwanja Cha mil.5-8 kinaweza kuja kuuzwa over 50mln
Kinachowapa maumivu watu wa Mwanza ni hiki kinachoendelea Dodoma HQ 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DBRm56SN8gz/?igsh=MWVrNDJsYnBmdXVycg==