Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Jiji pekee linaizidi Dodoma ni Dar na ni upande wa maghorofa ya Kariakoo na Posta,but after 30 years to come Dar utapitwana Dodoma.
Kumbuka kuwa 3/4 ya maghorofa yalipo Posta ni mali ya Serikali.Huwezi shindana na mahali ambapo Fedha zinaanzia kutoka
Maskini unaaibisha nchi Dodoma hii au Kuna Dodoma nyingine Burundi huko ....morogoro yenyewe nzuri kuliko hiyo Dodoma ni uchafu ..Dar hii ambayo mie ndo nipo muda huu ni kuikosea heshima kulinganisha na ukameni a.k.a jangwani village unatia huruma sana 🤣🤣🤣🤣 Mwanza ni jiji na ndo jiji nataka niweke makao
 
Wana vile vi gesti gesti vilivyobanana hapo CBD ndio wanaita Hotel 😆😆

Typical uswazi mentality 😁😁
Mnatia huruma.... mwanza sio level zenu ila kwa kuwa mnataka kujifariji ..
Tuendelee basi 👇
Jengeni kwanza skyscraper.. yenye mita angalau 90 ndipo mwanze kujifananisha
20241019_095630.jpg
1729321451601.jpg
 
Ukitaka ugomvi na Mwanza waambie walete picha za Mitaa wanakoishi 😂😂

Mumebakia mnajifariji na poor ,narrow and disorganized CBD
Kwan jina la thread linasemaje .. tengeneza thread ya mitaa ya mwanza vs dodoma uone moto wake ..mbona utaomba maji
Hapa ni CBD vs CBD ..mmebakia kuleta vighorofa vya ihumwa kwenye mawizara ..
😁😁
 
Acha kujivika ukazi wa mwanza wakati hata mwanza hupajui eti Arusha mara Dodoma mwanza haiingii ...mwanza jiji tuna halmashauri mbili zinazounda jiji ilemela na nyamagana tafuta nje ya Dar kama Kuna jiji limesambaa kama mwanza unajitekenya halafu unacheka mwenyewe mshamba wewe Toka hapa mbulula 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂Rudi shule wewe..manispaa ya Songea tu ina 578.3 km² Area Mwanza haizidi hata 200 sq.km kinachoibeba ni population tu
 
Mimi ni mkazi wa Mwanza,Mwanza inazidiwa na Arusha ,Mwanza kinachoisaidia ni population.Mwanza & Arusha zote zimisha pitwa na Dodoma.
Kuna mkazi na mwenyeji kwahiyo kwetu sisi ambao shule tulienda kusoma tumekuelewa.
 
Nini hiki jamani mnatia huruma watu wa Dodoma😭😭😭😭😭aibu naiona mimi
Jengo la Makao Makuu ya Mahakama Tanzania lina ukubwa wa mita za mraba 60,000 na ni jengo la sita kwa ukubwa duniani kwa makao makuu ya Mahakama
20240508_144046.jpg
 
White elephant
😀😀Unachekesha sana wewe ..tangu lini miradi ya NHC Dodoma ikawa white elephant projects!?
NHC sasahivi wanaendelea na miradi mingine mingi hadi Chamwino huko nje ya Dom. Ukijumlisha na miradi iliyokamilika ya TBA, Watumishi Housing, private real estates Dom ni level nyingine kwa Mwanza.
 
😀😀Unachekesha sana wewe ..tangu lini miradi ya NHC Dodoma ikawa white elephant projects!?
NHC sasahivi wanaendelea na miradi mingine mingi hadi Chamwino huko nje ya Dom. Ukijumlisha na miradi iliyokamilika ya TBA, Watumishi Housing, private real estates Dom ni level nyingine kwa Mwanza.
Bado hujasema
 
Back
Top Bottom