Uzi unasemaje huko juu, Je ni kweli Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?. Mpaka hapo mmeshasarenda basi vita ihamie mitaani sasa ambako ndiko mmeona kichaka cha kujifichia, Tuanze na mtaa kwa mtaa sasa, 1.CAPRPOINT Vs KISASAUkitaka ugomvi na Mwanza waambie walete picha za Mitaa wanakoishi 😂😂
Mumebakia mnajifariji na poor ,narrow and disorganized CBD
2.Malaika vs
3.Bwiru press vs
4.Ibanda vs
5.Mwananchi vs
6.Nyegezi majengo vs
7.Buswelu vs
8.Nyamhongoro vs
9.Luchelele ziwani vs
10.kiseke vs
11.Buhongwa musabe vs
12.Nyasaka vs
13.Isamilo vs
14.kiloleli
15.Mihama
16.Mahina
17.Shadi
Mitaa ni mingi sana siwezi orodhesha yote wana Dodoma anzeni kupachika vitaa vyenu humo sasa