Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Ukitaka ugomvi na Mwanza waambie walete picha za Mitaa wanakoishi 😂😂

Mumebakia mnajifariji na poor ,narrow and disorganized CBD
Uzi unasemaje huko juu, Je ni kweli Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?. Mpaka hapo mmeshasarenda basi vita ihamie mitaani sasa ambako ndiko mmeona kichaka cha kujifichia, Tuanze na mtaa kwa mtaa sasa, 1.CAPRPOINT Vs KISASA
2.Malaika vs
3.Bwiru press vs
4.Ibanda vs
5.Mwananchi vs
6.Nyegezi majengo vs
7.Buswelu vs
8.Nyamhongoro vs
9.Luchelele ziwani vs
10.kiseke vs
11.Buhongwa musabe vs
12.Nyasaka vs
13.Isamilo vs
14.kiloleli
15.Mihama
16.Mahina
17.Shadi
Mitaa ni mingi sana siwezi orodhesha yote wana Dodoma anzeni kupachika vitaa vyenu humo sasa
 
Uzi unasemaje huko juu, Je ni kweli Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?. Mpaka hapo mmeshasarenda basi vita ihamie mitaani sasa ambako ndiko mmeona kichaka cha kujifichia, Tuanze na mtaa kwa mtaa sasa, 1.CAPRPOINT Vs KISASA
2.Malaika vs
3.Bwiru press vs
4.Ibanda vs
5.Mwananchi vs
6.Nyegezi majengo vs
7.Buswelu vs
8.Nyamhongoro vs
9.Luchelele ziwani vs
10.kiseke vs
11.Buhongwa musabe vs
12.Nyasaka vs
13.Isamilo vs
14.kiloleli
15.Mihama
16.Mahina
17.Shadi
Mitaa ni mingi sana siwezi orodhesha yote wana Dodoma anzeni kupachika vitaa vyenu humo sasa
Aliyeanzisha Uzi alitaka kuficha uchafu wa Mwanza Kwa kutumia CBD nayo ameshindwa 😂😂
 
Aliyeanzisha Uzi alitaka kuficha uchafu wa Mwanza Kwa kutumia CBD nayo ameshindwa 😂😂
Wasukuma wanaumwa chuki+wivu na ushamba wa ajabu sijapata kuona😂😂Kuna mmoja kaanzisha thread eti analinganisha Ilala vs Nyamagana😂😂👇👇

 
Acha kujivika ukazi wa mwanza wakati hata mwanza hupajui eti Arusha mara Dodoma mwanza haiingii ...mwanza jiji tuna halmashauri mbili zinazounda jiji ilemela na nyamagana tafuta nje ya Dar kama Kuna jiji limesambaa kama mwanza unajitekenya halafu unacheka mwenyewe mshamba wewe Toka hapa mbulula 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Shinyanga kuna manispaa mbili Shinyanga MC na Kahama MC ....😂😂😂
 
Wasukuma wanaumwa chuki+wivu na ushamba wa ajabu sijapata kuona😂😂Kuna mmoja kaanzisha thread eti analinganisha Ilala vs Nyamagana😂😂👇👇

Huyo aloanzisha Uzi ni mgeni jf, na kaanzisha jana, kwa hulka zenu za kingese mmoja wenu anaweza kuwa ameanzisha na akauquote hapa. Ni kama huu Uzi Kuna falo Moja kaanzisha na tunaishi Naye humu, childish
 
Aliyeanzisha Uzi alitaka kuficha uchafu wa Mwanza Kwa kutumia CBD nayo ameshindwa 😂😂
Nimekuanzishia battle la kitaa wewe pachika mtaa wako wa Dodoma sehemu yeyote na nimeanza na Capri one Vs Kisasa twende kazi
 
1729243482227.jpg

Dodoma CBD

Vs

1a51b4243328528328bb02a1a5c243f3.jpeg
5 (1).jpeg.jpg

Ghana street - mwanza
 

Dodoma wangeita mall
 
Hapa wajambe, wapururu hawatoki
Unajitekenya na kucheka mwenyewe yaani fanani na hadhira ni wewe mwenyewe.😂😂
Niletee picha ya Dom CBD inayoinclude Majengo,One way,barabara ya 6 hadi barabara ya 10,Moshi Avenue,Mpwapwa flats road,CDA hq,Mtendeni street,Chef Asili,Uhindini,TAKUKURU hq,CWT hq,former wizara ya Maji, former Wizara ya Uchukuzi n.k 👇👇


View: https://x.com/Hakingowi/status/1106552666845560835
 
Dodoma hii hii ya omba omba duh unahuzunisha🤣🤣🤣🤣
 
Unajitekenya na kucheka mwenyewe yaani fanani na hadhira ni wewe mwenyewe.😂😂
Niletee picha ya Dom CBD inayoinclude Majengo,One way,barabara ya 6 hadi barabara ya 10,Moshi Avenue,Mpwapwa flats road,CDA hq,Mtendeni street,Chef Asili,Uhindini,TAKUKURU hq,CWT hq,former wizara ya Maji, former Wizara ya Uchukuzi n.k 👇👇


View: https://x.com/Hakingowi/status/1106552666845560835

Leta CBD, we si ulisema watu wanaleta picha ya jengo Moja Moja zuri. Sasa usijitoe akili lenyewe la kawaida sana Hilo.
 
Back
Top Bottom