Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Kuna mbwa koko huko juu inasema Gold crest ni jengo la PSSSF 🤣🤣🤣🤣na Gold crest amepanga, Halafu jamaa anasema ana IQ kubwa aise nimecheka hatariii
 
NHC Buswelu
Gallery_1729265104001.jpg
 
Wa
Una kiwango gani cha elimu isije nikawa nabishana na darasa la sita 😂😂..Hili daraja lipo Mwanza CBD eti...🤣🤣🤣🤣🤣
Wakati unapost idadi ya maghorofa ya udom kumbe yalikuwa CBD?
 
Jiji pekee linaizidi Dodoma ni Dar na ni upande wa maghorofa ya Kariakoo na Posta,but after 30 years to come Dar utapitwana Dodoma.
Kumbuka kuwa 3/4 ya maghorofa yalipo Posta ni mali ya Serikali.Huwezi shindana na mahali ambapo Fedha zinaanzia kutoka
 
Back
Top Bottom