Feke b kidume
Senior Member
- Sep 13, 2024
- 138
- 73
Mbona kijengo cha kawaida sana hiki au ndo ushamba wenyeweπ€£π€£π€£Unajitekenya na kucheka mwenyewe yaani fanani na hadhira ni wewe mwenyewe.ππ
Niletee picha ya Dom CBD inayoinclude Majengo,One way,barabara ya 6 hadi barabara ya 10,Moshi Avenue,Mpwapwa flats road,CDA hq,Mtendeni street,Chef Asili,Uhindini,TAKUKURU hq,CWT hq,former wizara ya Maji, former Wizara ya Uchukuzi n.k ππ
View: https://x.com/Hakingowi/status/1106552666845560835
Wewe nenda kabishane facebook ...umekuja na ID mpya (joined sept 2024)unaleta mipasho na unaogopa kutumia ID yako ya sikuzoteπππMbona kijengo cha kawaida sana hiki au ndo ushamba wenyeweπ€£π€£π€£
Mwanza mnaita ni nini?
Dom HQ Hii hapa πLeta CBD, we si ulisema watu wanaleta picha ya jengo Moja Moja zuri. Sasa usijitoe akili lenyewe la kawaida sana Hilo.
Weka hapa Video au picha za hiyo Mitaa ya mabanda ,mbona ya Dom tunaweka?Uzi unasemaje huko juu, Je ni kweli Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?. Mpaka hapo mmeshasarenda basi vita ihamie mitaani sasa ambako ndiko mmeona kichaka cha kujifichia, Tuanze na mtaa kwa mtaa sasa, 1.CAPRPOINT Vs KISASA
2.Malaika vs
3.Bwiru press vs
4.Ibanda vs
5.Mwananchi vs
6.Nyegezi majengo vs
7.Buswelu vs
8.Nyamhongoro vs
9.Luchelele ziwani vs
10.kiseke vs
11.Buhongwa musabe vs
12.Nyasaka vs
13.Isamilo vs
14.kiloleli
15.Mihama
16.Mahina
17.Shadi
Mitaa ni mingi sana siwezi orodhesha yote wana Dodoma anzeni kupachika vitaa vyenu humo sasa
Watangazaji wa Kimataifa Huwa wanaenda kurekodi picha Dar,Arusha na Dom sijawahi ona wakienda Mwanza Kwa sababu hakuna Cha kurekodi watachafua media zao πππHuyo aloanzisha Uzi ni mgeni jf, na kaanzisha jana, kwa hulka zenu za kingese mmoja wenu anaweza kuwa ameanzisha na akauquote hapa. Ni kama huu Uzi Kuna falo Moja kaanzisha na tunaishi Naye humu, childish
Chuki kwa mwanza itakuua Diamond platnumuz wa kimataifa alirekodi Ngoma yake ya Nyegezi Nyegezi mwanza wewe unaongea Nini mshamba weweπ€£π€£π€£π€£Watangazaji wa Kimataifa Huwa wanaenda kurekodi picha Dar,Arusha na Dom sijawahi ona wakienda Mwanza Kwa sababu hakuna Cha kurekodi watachafua media zao πππ
Diamond ππππChuki kwa mwanza itakuua Diamond platnumuz wa kimataifa alirekodi Ngoma yake ya Nyegezi Nyegezi mwanza wewe unaongea Nini mshamba weweπ€£π€£π€£π€£
Chagua mtaa tuanze battle la mtaa kwa mtaa mie nimekuanzishia Capri one Vs Kisasa, come onWeka hapa Video au picha za hiyo Mitaa ya mabanda ,mbona ya Dom tunaweka?
Dom HQ π₯π₯ππ
View attachment 3129857
View: https://youtu.be/iXOuFS0gCJc?si=I-LN02NURn1uwGDe
Weka hapa Mitaa yenu,kwani hii ni nini kama sio battle?Chagua mtaa tuanze battle la mtaa kwa mtaa mie nimekuanzishia Capri one Vs Kisasa, come on
ππMabatini,Igogo,Buzuruga,Igoma,Nyerere B utalinganisha na mitaa gani Dom.Dom hata mitaa ya uswahilini kwamfano Chang'ombe,Chaduru,Mkalama iko far better kimpangilio kuliko mitaa mingi tu Mwanzaπ€£π€£Chagua mtaa tuanze battle la mtaa kwa mtaa mie nimekuanzishia Capri one Vs Kisasa, come on
Watangazaji wapi Naye acha ulofa yaani online tv za watu unaita watangazaji jaribuni kuwa na akili japo kidogo. Online tv zipo kila mahala hata chagamba na Mzee said wamejulikana kwa ajili hiyo. Usiwe mshamba kiasi hicho.Watangazaji wa Kimataifa Huwa wanaenda kurekodi picha Dar,Arusha na Dom sijawahi ona wakienda Mwanza Kwa sababu hakuna Cha kurekodi watachafua media zao πππ
Buzuruga unaijua weweππMabatini,Igogo,Buzuruga,Igoma,Nyerere B utalinganisha na mitaa gani Dom.Dom hata mitaa ya uswahilini kwamfano Chang'ombe,Chaduru,Mkalama iko far better kimpangilio kuliko mitaa mingi tu Mwanzaπ€£π€£
Hivi ni vijiji kuwa na aibu basiWeka hapa Mitaa yenu,kwani hii ni nini kama sio battle?
Kikombo 22km from City Centre ππ
View: https://www.instagram.com/p/DBHZbl8Nq4l/?igsh=ZjJ1bW9hYnQxYTly
View: https://www.instagram.com/reel/C02btlwtdNh/?igsh=ZHpkb2VjY2FzaHQ5
Safi sana mkuu mwanza on fireView attachment 3130040View attachment 3130041View attachment 3130042View attachment 3130043View attachment 3130044View attachment 3130045View attachment 3130046
Na hapa mitaa kibao haionekani. CBD ikijaa kwenye picha Moja ujue hakuna kitu hapo
Ila mwamba we mshamba sana habari yenyewe inaeleza mwanza ndo miongoni mwa mikoa ya mwanzo kufunguliwa hiyo benki ya Zanzibar Arusha bado haijafika hata hapo ukameni village haijafika kwa mjibu wa habari naona unatafuta chaka la kujificha sikuachi za uso zinakuhusu tu hakuna namnaπ€£π€£π€£π€£π€£Diamond ππππ
Tukisema nyie ni maskini muwe mnaelewa yaani Leo hii ndio mnapata Benki ya PBZ? ππππ
View: https://www.instagram.com/p/DBLHYtetNQN/?igsh=ODI4YWFzOTFzOTU=
Ilikuwepo Mbeya kabla ya Mwanza π€ͺπ€ͺππIla mwamba we mshamba sana habari yenyewe inaeleza mwanza ndo miongoni mwa mikoa ya mwanzo kufunguliwa hiyo benki ya Zanzibar Arusha bado haijafika hata hapo ukameni village haijafika kwa mjibu wa habari naona unatafuta chaka la kujificha sikuachi za uso zinakuhusu tu hakuna namnaπ€£π€£π€£π€£π€£
Leta Mitaa ya Mwanza Wacha excuses za kijingaHivi ni vijiji kuwa na aibu basi
Mbona umejaza picha Moja tuu? Kwani Mitaa yote ya Dom imeonekana hapo Juu?View attachment 3130040View attachment 3130041View attachment 3130042View attachment 3130043View attachment 3130044View attachment 3130045View attachment 3130046
Na hapa mitaa kibao haionekani. CBD ikijaa kwenye picha Moja ujue hakuna kitu hapo