ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwani nani kawabishia kuhusu huo mtaa wa Ghana? By the way hapo Ghana vijengo vichache tuu viko kando ya Barabara nothing else ni ngumu kusema ni CBD.Kama ni upcoming CBD sisi tusemeje kuhusu Ghana
Simple tuu ni Central Business District.Acha ushamba wa kisukima na kukariri.
Ndio nakwambia Sasa Magufuli City ni another CBD in the making na Kwa taarifa Yako tuu upon completion Kila kitu unachokiona Mjini Kwa Sasa kitakuwepo huko Mtumba tofauti ni kwamba huko kuko planned and organized na Kila activity itakuwa sehemu yake.
Najua hujui unazuzuka Kwa kudhani ni purely government city.
Mwisho another CBD in the making,Ndejengwa Investment Area ππ
View attachment 3130462
View: https://youtu.be/j4awzGBkCV8?si=fO_xcHAX38GOnHda
Kazaneni mtaikaribia Mwanjelwa ila level za upcoming CBD za Dom kama Ndejengwa na Mtumba Government City hamtaziweza.Kama ni upcoming CBD sisi tusemeje kuhusu GhanaView attachment 3130464View attachment 3130465View attachment 3130466
Nera ndio wapi? Weka serial view tuone
Mnajifurahisha tu ndugu zanguniKazaneni mtaikaribia Mwanjelwa ila level za upcoming CBD za Dom kama Ndejengwa na Mtumba Government City hamtaziweza.
Nimekuwekea picha na hauelewi na hapo baadhi ya majengo hayapo kwenye pichaNera ndio wapi? Weka serial view tuone
Weka aerial view sio vipicha pichaNimekuwekea picha na hauelewi na hapo baadhi ya majengo hayapo kwenye picha
Na hii picha ni kitambo sana subiri tutakuletea recent one muone CBD mpya zinavyoonekanaNimekuwekea picha na hauelewi na hapo baadhi ya majengo hayapo kwenye picha
Wapi Satellite City kama hizi? ππMnajifurahisha tu ndugu zanguni
π€£π€£π€£π€£ Satellite city uchwara, sema nyumba za kupangisha vyumba viwili hadi vitatu.Wapi Satellite City kama hizi? ππView attachment 3130472View attachment 3130473View attachment 3130474
Weka aerial view tuone usijekuta ni sehemu tuu ya kamtaa la hapo hapo Mjini ππππNa hii picha ni kitambo sana subiri tutakuletea recent one muone CBD mpya zinavyoonekana
Nimekupa Ghana na Nera na list Bado inaendelea mbona huelewi kama hujui.Weka aerial view tuone usijekuta ni sehemu tuu ya kamtaa la hapo hapo Mjini ππππ
CBD lazima ziwe mbali mbali eg Mwenge,Mbagala,Kijitonyama,Sinza ,Ubungo ,Posta &Kariakoo Kwa Dar.
Dom ni Mjini Kati,Ndejengwa,Mtumba
Mbeya ni Matola,Mwanjelwa,Uyole na Mbalizi
Mwanza ni wapi na wapi zaidi ya hapo Mjini Kati?
Uchwara πππππ€£π€£π€£π€£ Satellite city uchwara, sema nyumba za kupangisha vyumba viwili hadi vitatu.
Mwanza ni Mji very local kama Kambi ya wakimbizi ππππNimekupa Ghana na Nera na list Bado inaendelea mbona huelewi kama hujui.
Hivi vijumba vipo isangijo vya WHC, kisesa NHC, Kiseke vya PPF siwezi kutamba navyo vyumba vitatu.Mwanza ni Mji very local kama Kambi ya wakimbizi ππππ
Msalato Satellite City ,Dom HQ ππ
View: https://youtu.be/n-jiaYRIbQo?si=0kqgFphjaCokLstO
Sisi siyo madali wa plots kama hujaridhika weka mwenyewe usitusumbue.Tulisema mtuwekee aerial view ya Mitaa yenu mumeingia mitini Kwa sababu mnajua Kuna Yale mabanda ya dream houses zenu ππ
Dom HQ π₯π₯ππ
View: https://youtu.be/lkGjypsIM9g?si=d4ooEIj-IgDgFQwt
Sisi siyo madali wa plots kama hujaridhika weka mwenyewe usitusumbue.
ππππππππ Nimecheka.Hivi vijumba vipo isangijo vya WHC, kisesa NHC, Kiseke vya PPF siwezi kutamba navyo vyumba vitatu.