Wewe ni mjinga kama sio chizi Kuna nyuzi ngapi humu JF mbona รผsiende huko unakuja humu ..au ulitaka tujadili LGBTQ ndio uone tunajadili ya maana ..usichopenda wew sisi tunapendaYaani Kilasiku Dom vs mwanza! Hivi hamna kazi ya kufanya? Kwani ukienda hiyo miji 2 ukaingalia ukapata jibu unalolitaka utakufa? Maana naona sasa umekua msumbufu humu jamvini! Ongea vitu sio ujinga2 wa kushindanisha miji mibovu hii ya bongo! Kama unataka kuona miji una kiu nenda nje ya tz, bongo hakuna Mji wa maana. Kama utaendelea na usumbufu wako humu ndani nakuhakikishia hata kutunza familia utashindwa maana utakuwa ni mbu3 wa kiwango cha lami!
Wewe nawe fala tu umeunyea Uzi, mngese kweli jf ni kijisehemu Cha burudani na huwezi kupangia watu kitu Cha kufanya. Penga Hilo kamasi kichwani mwako limekaa sehemu ambayo ilitakuwa ukae ubongo.Yaani Kilasiku Dom vs mwanza! Hivi hamna kazi ya kufanya? Kwani ukienda hiyo miji 2 ukaingalia ukapata jibu unalolitaka utakufa? Maana naona sasa umekua msumbufu humu jamvini! Ongea vitu sio ujinga2 wa kushindanisha miji mibovu hii ya bongo! Kama unataka kuona miji una kiu nenda nje ya tz, bongo hakuna Mji wa maana. Kama utaendelea na usumbufu wako humu ndani nakuhakikishia hata kutunza familia utashindwa maana utakuwa ni mbu3 wa kiwango cha lami!
TrashNilikwambia ukitaka kubishana na mimi kwanza uwe smart kichwani pili uwe na facts sio ushabiki maandazi la sivyo nitakuaibisha tu kama wenzako๐๐๐
28 Reaktionen | Wananchi waishio mlimani mtaa wa Nyerere B, Kata ya Mabatini jijini Mwanza wameeleza hofu ya kupata madhara iwapo mvua za El-nino zikianza kutokana na... | By East Africa TV | Facebook
Wananchi waishio mlimani mtaa wa Nyerere B, Kata ya Mabatini jijini Mwanza wameeleza hofu ya kupata madhara iwapo mvua za El-nino zikianza kutokana na...www.google.com
Magazeti ongeza na msanii Africa gazeti kongwe sana ili kwa Tanzania.1.passion fm
2.kiss fm
3.mazingira fm
4.living water fm
5.lake fm
6.afya fm
7.Radio free Africa
8.iqra fm
9.city fm
10.redio kwa neema fm
11.ushindi fm
12.saut fm hii ni ya chuo saut
13.metro fm
14.huruma fm
15.hhc alive fm
16.pasiasi fm
17.amani fm
18.mwongozo fm
19.wema fm
20.shalom fm
Hivyo ni baadhi katika vingi
Haya magazeti
1.mzawa
2.mwelekeo
3 la tatu mwana mwanza aje anikumbushe nimelisahau kidogo ila lipo Hilo gazeti
Television Tena kubwa ni
1.Star tv hii ina coverage nchi nzima kuliko tv yoyote ya hapo ukameni village
2.Barmeda Tv. Wana mwanza wanajua utamu wa hii kitu.
4.cables za kumwaga oooh Dodoma inatia huruma๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Endelea kujifariji shabiki maandazi ...sikuzote mimi ni facts,details,evidences,references zilizoenda shuleTrash
Halipo lilishakufa zamani๐๐๐Magazeti ongeza na msanii Africa gazeti kongwe sana ili kwa Tanzania.
Hivi wewe kigagula ukitaja hayo maneno Huwa unafikiri Kuna mtu anaweweseka nayo. Mara facts, evidence yaani ujinga ujinga tu.Endelea kujifariji shabiki maandazi ...sikuzote mimi ni facts,details,evidences,references zilizoenda shule
Mnajivunia vitu vya kijinga.Magazeti ongeza na msanii Africa gazeti kongwe sana ili kwa Tanzania.
Rubbish.Wewe MEMKWA nimekuwekea na "official references" kabisa apo ya branches za PBZ fungua hiyo link usome...mpaka sasa Mwanza haijawa updated๐๐๐ alafu yule mshamba mwenzako anasema eti ilikuwepo tangu 2018๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Paper projectMnajivunia vitu vya kijinga.
Kula Chuma hicho kutoka Nala Dom HQ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐๐
View: https://youtu.be/JjaFG5PmIjM?si=bAlkh1zUNbf13j_gView attachment 3130960View attachment 3130961View attachment 3130962
Haya mambo ya makaratasi ni sawa na kuchizika leta mambo kwa ground.Mnajivunia vitu vya kijinga.
Kula Chuma hicho kutoka Nala Dom HQ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐๐
View: https://youtu.be/JjaFG5PmIjM?si=bAlkh1zUNbf13j_gView attachment 3130960View attachment 3130961View attachment 3130962
Makaratasi Yako Mwanza sio Dom HQHaya mambo ya makaratasi ni sawa na kuchizika leta mambo kwa ground.
๐๐๐Jamaa anakuja kututajia gazeti lililokufa tangu enzi za Mkapa....ushamba kweli mzigo๐คฃ๐คฃMnajivunia vitu vya kijinga.
Kula Chuma hicho kutoka Nala Dom HQ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐๐
View: https://youtu.be/JjaFG5PmIjM?si=bAlkh1zUNbf13j_gView attachment 3130960View attachment 3130961View attachment 3130962
Paper project ziko Mwanza sio Dom HQPaper project
Kweli mkuu umeniongezea kitu๐๐Magazeti ongeza na msanii Africa gazeti kongwe sana ili kwa Tanzania.
-Population yes Mwanza wanazidi Dom hilo halina ubishi.
Vingine vyote Dom wanawazidi Mwanza kuanzia๐
-Mapato (halmashauri ya Jiji+TRA) ---Master Plan of the city
-Mtandao mpana wa barabara za lami
-Ujenzi sahihi wa makazi+mipangomji
-Wingi wa maghorofa
-Ongoing Projects
-Future Projects proposed
-Education centers
-Health centers
-Uwepo wa ofisi na taasisi nyingi za Serikali
-Uwepo wa makao makuu ya chama+serikali
-International offices nyingi+Balozi
[/QUOTE
USELESS.
Hizo ni sawa na waste product.Makaratasi Yako Mwanza sio Dom HQ
Dom HQ hakuna waste product hizo utazikita local Town kama Mwanza is Slum ๐ฌHizo ni sawa na waste product.
Wewe nae ni limbukeni wa kitupa Kuna maajabu Gani hapo Juzi Kuna mtu wa Mwanza karusha picha ya karibu na Bwiru yenye eneo kubwa Toa huo uchafuHuwezi kuona wakipost "layout" ya mtaa wote kama hii huwa wanaokoteza picha za nyumba nzurinzuri tu ndiomana hazina background kule juu milimani๐๐๐