Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Yaani Kilasiku Dom vs mwanza! Hivi hamna kazi ya kufanya? Kwani ukienda hiyo miji 2 ukaingalia ukapata jibu unalolitaka utakufa? Maana naona sasa umekua msumbufu humu jamvini! Ongea vitu sio ujinga2 wa kushindanisha miji mibovu hii ya bongo! Kama unataka kuona miji una kiu nenda nje ya tz, bongo hakuna Mji wa maana. Kama utaendelea na usumbufu wako humu ndani nakuhakikishia hata kutunza familia utashindwa maana utakuwa ni mbu3 wa kiwango cha lami!
 
Wewe ni mjinga kama sio chizi Kuna nyuzi ngapi humu JF mbona รผsiende huko unakuja humu ..au ulitaka tujadili LGBTQ ndio uone tunajadili ya maana ..usichopenda wew sisi tunapenda
 
Wewe nawe fala tu umeunyea Uzi, mngese kweli jf ni kijisehemu Cha burudani na huwezi kupangia watu kitu Cha kufanya. Penga Hilo kamasi kichwani mwako limekaa sehemu ambayo ilitakuwa ukae ubongo.
 
Trash
 
Magazeti ongeza na msanii Africa gazeti kongwe sana ili kwa Tanzania.
 
Endelea kujifariji shabiki maandazi ...sikuzote mimi ni facts,details,evidences,references zilizoenda shule
Hivi wewe kigagula ukitaja hayo maneno Huwa unafikiri Kuna mtu anaweweseka nayo. Mara facts, evidence yaani ujinga ujinga tu.
 
Rubbish.
 
 
Huwezi kuona wakipost "layout" ya mtaa wote kama hii huwa wanaokoteza picha za nyumba nzurinzuri tu ndiomana hazina background kule juu milimani๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wewe nae ni limbukeni wa kitupa Kuna maajabu Gani hapo Juzi Kuna mtu wa Mwanza karusha picha ya karibu na Bwiru yenye eneo kubwa Toa huo uchafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ