Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Watu wa mwanza hatujawahi kua na shinda na bando simu ninunue bando linishinde [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huna bando maneno mengi saaana njaa tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa mwanza hatujawahi kua na shinda na bando simu ninunue bando linishinde [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huna bando maneno mengi saaana njaa tuu.
Nenda CCM kawaulize[emoji38]Nchi ina vijana wa ovyo sana hii kibishania maghorofa.
Tafuta source kama unabisha nitume linkUmeamua ujiwekee na Mwanza kabisa 🤣🤣
Hizi bando za ofa yaani mwezi mzima unatumia GB 39 tuu afu unajisifu? 😄😄😄😄Watu wa mwanza hatujawahi kua na shinda na bando simu ninunue bando linishinde [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2085061
We unaweza kutumia gb 1 kwa siku?Hizi bando za ofa yaani mwezi mzima unatumia GB 39 tuu afu unajisifu? 😄😄😄😄
We huoni kuna sehemu ya sero kabisa hapo .We unaweza kutumia gb 1 kwa siku?
[emoji38][emoji38] tatizo akili huna hio app ilianza kusoma mb siku tu niliyoi-install kwa mwezi natumia zaidi ya gb 80 tatzo ujui kusomaHizi bando za ofa yaani mwezi mzima unatumia GB 39 tuu afu unajisifu? [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Tuma na ww ur monthly data reportWe huoni kuna sehemu ya sero kabisa hapo .
Mwambie jamaa yako auze simu anunue bando 😄😄😄
Hauoni app imekua installed Dece 29[emoji38][emoji38].... jamaa unamatatizo ganiWe huoni kuna sehemu ya sero kabisa hapo .
Mwambie jamaa yako auze simu anunue bando [emoji1][emoji1][emoji1]
Ngoja niendelee kukupiga na vitu vizito kichwani.Hauoni app imekua installed Dece 29[emoji38][emoji38].... jamaa unamatatizo gani
Umemaliza tuma picha za office ya ndugai
Pambaneni na Tanga city, mkitoka hapo mkawatafute mbeya na arusha then ndo mje kwa Mwanza.Ngoja niendelee kukupiga na vitu vizito kichwani.
Itawachukia Mwanza miaka 50 kifikia hapa👇
View attachment 2085316
View attachment 2085317
View attachment 2085318
Dodoma bus terminal na usafiri tunaotumia wa hadhi yetu wana idodomia, kama vipi wana Mwanza leteni na nyie stendi yenu mnayotumia hivi sasa tucheke kidogo View attachment 2086736View attachment 2086740View attachment 2086743View attachment 2086744View attachment 2086745View attachment 2086747View attachment 2086748View attachment 2086749View attachment 2086750View attachment 2086751View attachment 2086754View attachment 2086755View attachment 2086756View attachment 2086757View attachment 2086758View attachment 2086760
Dodoma bus terminal na usafiri tunaotumia wa hadhi yetu wana idodomia, kama vipi wana Mwanza leteni na nyie stendi yenu mnayotumia hivi sasa tucheke kidogo View attachment 2086736View attachment 2086740View attachment 2086743View attachment 2086744View attachment 2086745View attachment 2086747View attachment 2086748View attachment 2086749View attachment 2086750View attachment 2086751View attachment 2086754View attachment 2086755View attachment 2086756View attachment 2086757View attachment 2086758View attachment 2086760
Ukiona watu wamekaa kimya jitafakari hiyo ina maana kubwa sana.Inawezekana wamekuona hamnazo.Dodoma bus terminal na usafiri tunaotumia wa hadhi yetu wana idodomia, kama vipi wana Mwanza leteni na nyie stendi yenu mnayotumia hivi sasa tucheke kidogo View attachment 2086736View attachment 2086740View attachment 2086743View attachment 2086744View attachment 2086745View attachment 2086747View attachment 2086748View attachment 2086749View attachment 2086750View attachment 2086751View attachment 2086754View attachment 2086755View attachment 2086756View attachment 2086757View attachment 2086758View attachment 2086760
Sifanyi hili mpende nyinyi wana Mwanza maana najua sindano ishakita kwenye mfupa hamna cha kupost na zile stendi zenu za vumbi, nipo hapa kuonesha maajabu ya Dodoma na nafurahia kufanya hivyo hata msipocomment hainiusu mie nazidi kuwakera tu.Ukiona watu wamekaa kimya jitafakari hiyo ina maana kubwa sana.Inawezekana wamekuona hamnazo.
Watakwambia ni render tuu 😄😄.Ila Mwanza inatia huruma kiukweli maana ndio ishapokwa hadhi tena.Dodoma haina mpinzani katika hili Mwanza tafuta ligi yako, nimeamua pia niwaonjeshe kidogo na renders ziwatoe udenda View attachment 2086762View attachment 2086767View attachment 2086768View attachment 2086769View attachment 2086770View attachment 2086771View attachment 2086772View attachment 2086773View attachment 2086774View attachment 2086775View attachment 2086776View attachment 2086778View attachment 2086783View attachment 2086784View attachment 2086786
Dom ndio Jiji pekee baada ya Dar ambapo Mabasi kutoka mikoa yote kuna usafiri wa moja kwa moja.Dodoma bus terminal na usafiri tunaotumia wa hadhi yetu wana idodomia, kama vipi wana Mwanza leteni na nyie stendi yenu mnayotumia hivi sasa tucheke kidogo View attachment 2086736View attachment 2086740View attachment 2086743View attachment 2086744View attachment 2086745View attachment 2086747View attachment 2086748View attachment 2086749View attachment 2086750View attachment 2086751View attachment 2086754View attachment 2086755View attachment 2086756View attachment 2086757View attachment 2086758View attachment 2086760