Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Huna bando maneno mengi saaana njaa tuu.
Watu wa mwanza hatujawahi kua na shinda na bando simu ninunue bando linishinde [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220117-165641_Internet%20Speed%20Meter%20Lite.jpg
 
Adi unabisha ni either huna akili timamu, au hujafika miji hyo, au unalazimisha kisa unamapenzi binafsi na DDma
 
Dodoma bus terminal na usafiri tunaotumia wa hadhi yetu wana idodomia, kama vipi wana Mwanza leteni na nyie stendi yenu mnayotumia hivi sasa tucheke kidogo
IMG_20220118_145635_469.JPG
IMG_20220118_150833_828.JPG
IMG_20220118_150916_494.JPG
IMG_20220118_150939_243.JPG
IMG_20220118_150705_075.JPG
IMG_20220118_150540_000.JPG
IMG_20220118_150454_623.JPG
IMG_20220118_150312_055.JPG
IMG_20220118_150219_801.JPG
IMG_20220118_150017_766.JPG
IMG_20220118_145343_500.JPG
IMG_20220118_145320_977.JPG
IMG_20220118_144751_075.JPG
IMG_20220118_145616_205.JPG
IMG_20220118_145515_174.JPG
IMG_20220118_145444_814.JPG
 
Ukiona watu wamekaa kimya jitafakari hiyo ina maana kubwa sana.Inawezekana wamekuona hamnazo.
 
Ukiona watu wamekaa kimya jitafakari hiyo ina maana kubwa sana.Inawezekana wamekuona hamnazo.
Sifanyi hili mpende nyinyi wana Mwanza maana najua sindano ishakita kwenye mfupa hamna cha kupost na zile stendi zenu za vumbi, nipo hapa kuonesha maajabu ya Dodoma na nafurahia kufanya hivyo hata msipocomment hainiusu mie nazidi kuwakera tu.
 
Back
Top Bottom