Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Mwanza ndiyo Jiji kubwa Tanzania ambalo halijaendelea kwa kutegemea miradi ya serikali. Jiji la watu.
La pili ni Mbeya.

Mwanza na Mbeya ndiyo majiji wanaume wapiganaji yasiyoendelezwa na baraza la Mawaziri.
Kwamba stand zote 2 sio miradi ya serikali? Masoko yote sio miradi ya serikali? Daraja la Kigongo Busisi je?

Tena huko Mwanza kuna miradi kibao ya serikali,Mwanza waache visingizio washapigwa na Dom.

maxresdefault(16).jpg


iyumbu2.jpg


48704616256_15f13e7280_b.jpg


FD7UIQ6XEAsiBEV.jpg


3011531_IMG_6865.jpg


02.JPG


thumb_2392_800x420_0_0_auto(0).jpg


IMG_9429.jpg
 

Attachments

  • 3085097-972aeef53bd8e447b54fef7831462e5e.mp4
    8.6 MB
Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae kukabidhi crown very soon akiwemo mbabe Mwanza ambaye so far bado anahold title la jiji kubwa after DSM wakati DOM yeye akishikilia title la jiji la Kisasa zaidi after DSM hayo ndo maoni yangu utaki leta evidence kuwa MWANZA CBD nizaidi ya DODOMA CBD

Hivyo kwa heshima ya Dodoma mpya na ya kisasa ambayo kwa mtizamo wangu binafsi inaichapa Mwanza 3-0 kwenye ukubwa wa City Center (CBD)
Kuanzia majengo mengi ya ghorofa, ukisasa, mpangilio, bustani na round about nzuri, purchasing power (vitu bei ni juu na watu wana-afford) ndiyo maana mabasi makali na ghali mengi uanzia safari zake hapa kuelekea Dar nasiyo vinginevyo.

Kingine Dodoma CBD bado inakuwa kila sekunde mijengo inazidi chepushwa tena project za maana, ila Mwanza CBD haina jipya sana zaidi ya soko linalojengwa pale hamna kingine chakutarajia kwa sasa, kinachoiangusha Dodoma CBD ni ubaya wa soko lake kuu la majengo(ombi langu kwa mamlaka husika walifanyie mpango wa maboresho linafubaza jiji) ila kwingine huko kote ni fire.

CBD ya Dodoma inaichapa mwanza upande wa barabara za lami, private cars na magari ya kifahari,mandhari ya kimjini mjini kama ni mgeni ukiwa mazengo ukajichanganya majengo huko kwa kina vunja bei bila kusahau uhindini n.k wawezadhani uko kariakoo ndogo,
Dodoma CBD ina city vibes ukilinganisha na mwanza CBD.

MADHAIFU:

I. Ukarimu na kauli za kibiashara(customer care) ni "F"

II. Usafi ni "F'' mifereji inanuka vinyesi plus taka zinatupwa tu ovyo na hakuna hatua yeyote inachukuliwa mara mia na halmashauri ya manispaa ya Singida.

III. Upande wa Mahoteli na viwanja nawapa "D" demand bado nikubwa kuliko kilichopo, ukiiondoa Morena ambayo nayo ni yakawaida sana bado hakuna hotel za maana.

IV. Hali ya hewa ya vumbi la kuwasha macho, ukame na unusu jangwa, hata kama umetupia nguo mpya na Kali vipi zinaappear zimefubaa nakupaukiana achilia mbali baridi kali usiku. (Tushirikiane wote kuakikisha Sera ya Dodoma ya kijani inatekelezwa kwa vitendo)

V. Shida ya MAJI hapa usishangae chumba kimoja kikilipiwa 15k na kingine kinachofanana nacho kwa kila kigezo kikilipiwa 30k kumbe kigezo ni kimoja kina maji na kingine hakina. Jamani SERIKALI timizeni majukumu yenu mruhusu jiji hili lifunguke zaidi na likuwe maana kikwazo kikuu ni hiki kabla ya vingine.

But all in all ukiondoa mapungufu hayo machache, mwanza CBD inakalishwa benchi kipindi cha kwanza cha mchezo hata kabla ya kipyenga cha mwamuzi kuamuru game lianze.

TAKE HOME
Ninachoipendea Dodoma; UZALENDO kwani karibia asilimia 95 ya majengo yote, mabango na mapambo CBD lazima neno DODOMA litaappear unlike mwanza na sehemu zingine za Tanzania hii.
Dom nilikua naichukulia poa kabla sijafika. Aisee pale ni balaa
 
Niletee mtaa wowote kama huu hapo kijijini cha wavuvi cha Mwanza.

Dom street 👇
 

Attachments

  • 3100943-e5971a80e22e0d5b674966d902b23848.mp4
    6.4 MB
Niletee mtaa wowote kama huu hapo kijijini cha wavuvi cha Mwanza.

Dom street 👇Niletee mtaa wowote kama huu hapo kijijini cha wavuvi cha Mwanza.

Dom street 👇
Maskini ndugu yangu kumbe na Mwanza yenyewe hauifahamu vizuri??Basi muulize jirani yako atakwambia Mwanza city nini maana yake nadhani utakuwa na nidhamu kwa jiji la Mwanza.
 
Maskini ndugu yangu kumbe na Mwanza yenyewe hauifahamu vizuri??Basi muulize jirani yako atakwambia Mwanza city nini maana yake nadhani utakuwa na nidhamu kwa jiji la Mwanza.
Leta mtaa unaofanana na huo wa Dom nje ya Mji huko sio kulia Lia bila sababu.
 
Back
Top Bottom