Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Adi unabisha ni either huna akili timamu, au hujafika miji hyo, au unalazimisha kisa unamapenzi binafsi na DDma
 
Hizi bando za ofa yaani mwezi mzima unatumia GB 39 tuu afu unajisifu? [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji38][emoji38] tatizo akili huna hio app ilianza kusoma mb siku tu niliyoi-install kwa mwezi natumia zaidi ya gb 80 tatzo ujui kusoma
 
Dodoma bus terminal na usafiri tunaotumia wa hadhi yetu wana idodomia, kama vipi wana Mwanza leteni na nyie stendi yenu mnayotumia hivi sasa tucheke kidogo
 
Ukiona watu wamekaa kimya jitafakari hiyo ina maana kubwa sana.Inawezekana wamekuona hamnazo.
 
Ukiona watu wamekaa kimya jitafakari hiyo ina maana kubwa sana.Inawezekana wamekuona hamnazo.
Sifanyi hili mpende nyinyi wana Mwanza maana najua sindano ishakita kwenye mfupa hamna cha kupost na zile stendi zenu za vumbi, nipo hapa kuonesha maajabu ya Dodoma na nafurahia kufanya hivyo hata msipocomment hainiusu mie nazidi kuwakera tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…