Hiyo miradi ya dodoma ukiijumlisha yote je inaweza kuzidi bilioni 700? Unafurahia miradi ya mapambo isiyokuwa na tija kwa wananchi unapost majengo ya serikali ofisi za serikali, majengo hayo yana msaada gani kwa wananchi wa dodoma, Mwanza ina miradi mikubwa ya kimkakati kama madaraja, ujenzi wa meli na meli za mizigo zitakazoinua zaidi uchumi wa Mwanza na kanda ya ziwa kiujumla, mradi kama wa daraja la busisi ni bilion 700, Magufuli alikuwa akiwapa white elephant wakati kanda ya ziwa alikuwa akituletea miradi ya kiuchumi, unapost majengo ya ikulu ya chamwino yana nini kwenye uchumi, yaani makazi ya rais nayo ni yakujisifia ndio maana nasema wewe ndugu yangu hauna akili ata kidogo.