Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Una akili timamu kichwani kweli? Kwamba barabara hazina faida kwa wananchi ni mapambio?

Hii inaitwa sizitaki mbichi hizi ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„.Kwamba serikali inapoamua kujenga barabara nk Ili kuja kuzuia msongamano ni mapambio hadi isubirie mshonane kama majiji yenu yenye slums ndio ibomoe na kulipa fidia ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Upumbavu unao wewe,Dom imekuwa Manispaa with merit jinga wewe tena toka miaka ya 80 huko .
Dodoma haina vigezo vya kuwa jiji mpaka leo ndo maana ilipandishwa hadhi kuwa jiji majukukwaani.Kuwa jiji mshukuruni mzee Magu kwasababu tu alitaka kulinda maamuzi yake ya kuamia huko ndo maana mataalamu mpaka leo wanahoji uhalali wa Dodoma kuwa jiji kwasababu inazidiwa vigezo na iringa,shinyanga,morogoro,kahama na moshi
 
Mkuu vitaje hivyo vigezo kutoka Moshi, Iringa na Morogoro vinavyoizidi Dodoma vinginevyo itakuwa ni chuki binafsi tu
 
Bora ata hizo barabara naona unaanza kurudi kwenye mstari, mbona unalivyokuwa unajitapa na majengo ya serikali, mara picha ya ikulu ya dodoma, nataka nikuambie dodoma itaitaji kutengenezwa kwa miaka 100 ili ifikie uchumi wa Mwanza, na pia kumbuka magorofa si kigezo cha uchumi na ukubwa wa mji. Dar ina magorofa marefu kuliko mji mkuu wa Spain(madrid ) lakini haimaanishi Dar ni bora kuliko Madrid au Geneva.
 
Una DNA za upungufu wa akili sio bure ili tatizo umerithi toka kwa mababu zako.
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ,Pasuka sasa na wivu ndio hivyo mumepigwa chini na Dom mumebakia kujifariji tuu.๐Ÿ‘‡

 
Wewe ni kenge tuu,kwa hiyo Dom yote ile imejaa majengo ya serikali?

Una matatizo ya akili wewe sio bure,kwamba haya ni majengo ya serikali sio ๐Ÿ‘‡









 

Attachments

  • 3107294-02c191a6672587431eabca9fcc758ba3.mp4
    1.9 MB
Hapo ndio eisha hiyo nje ya hapo ni uswazi type ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜.

Upuuzi kama huu huwezi ukuta Dodoma.
 
Mtajifariji Sana,Tupe vigezo wewe wa huko Shinyanga Vijijini ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

 
Hapo ndio eisha hiyo nje ya hapo ni uswazi type ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜.

Upuuzi kama huu huwezi ukuta Dodoma.
Sijapost ili uone magorofa nimepost ili Dodoma mjifunzi uzuri wa kupanda miti na kuwa na mandhali na muonekano mzuri wa jiji lenu.Mwanza ni habari nyingine zaidi mnatafuta plat form kupitia Mwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ