The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Iko wapi? Uzi toka umeanza mnaonyesha kabarabara ka Airport basi kwingine ni TU single road twa hovyo kabisa πππNashukuru japo umepaniki.Kwa taarifa yako Mwanza kuna bypass ring road inayounganisha wilaya tano wala usikii kelele inaunganisha Sengerema(busisi),misungwi(usagara),Nyamagana(kishiri),Magu(kisesa),sasa inatengenezwa kuelekea ilemel(kayenze),sema kingine.
Nadhani watu wanashindwa kutofautisha mji kukuwa kwa haraka ina maana gani? tuseme miaka 10 iliyopita Mwanza ilikuwa wapi na Dodoma ilikuwa wapi, katika miaka kumi hii ziko wapi. Katika miaka kumi Dodoma imekuwa kwa haraka na inakuwa kwa haraka sana kuliko Mwanza na huu ndio ukweli japo mchungu. Dodoma kwenye barabara na makazi ni bora sana kuliko Mwanza ni nyumba mpya na za kisasa nadhani hata katika ukusanyaji wa mapato sote tunajuwa Dodoma imeipiku Mwanza kwa mujibu wa Tamisemi. Najuwa watu watasema Ardhi ni kweli nadhani ardhi Dodoma zina thamani kubwa na sehemu yanye kuuza sana ardhi ni kwa sababu watu wanaona kitu. Mwanza kama imesimama na Dodoma wanakimbia ndio tofauti yao.Dodoma itasubiri sana kwa Mwanza
Wanabisha tuu kwa sababu za ushabiki na muwamba Ngoma kuvutia kwake..Nadhani watu wanashindwa kutofautisha mji kukuwa kwa haraka ina maana gani? tuseme miaka 10 iliyopita Mwanza ilikuwa wapi na Dodoma ilikuwa wapi, katika miaka kumi hii ziko wapi. Katika miaka kumi Dodoma imekuwa kwa haraka na inakuwa kwa haraka sana kuliko Mwanza na huu ndio ukweli japo mchungu. Dodoma kwenye barabara na makazi ni bora sana kuliko Mwanza ni nyumba mpya na za kisasa nadhani hata katika ukusanyaji wa mapato sote tunajuwa Dodoma imeipiku Mwanza kwa mujibu wa Tamisemi. Najuwa watu watasema Ardhi ni kweli nadhani ardhi Dodoma zina thamani kubwa na sehemu yanye kuuza sana ardhi ni kwa sababu watu wanaona kitu. Mwanza kama imesimama na Dodoma wanakimbia ndio tofauti yao.
Hakika labda miaka 50 ijayo.Dodoma itasubiri sana kwa Mwanza
Hii hii mwanza ambayo ni ya Pili kwa katika ukusanyaji wa Pato la taifa nyuma ya dar ndo izidiwe na dodoma!Nadhani watu wanashindwa kutofautisha mji kukuwa kwa haraka ina maana gani? tuseme miaka 10 iliyopita Mwanza ilikuwa wapi na Dodoma ilikuwa wapi, katika miaka kumi hii ziko wapi. Katika miaka kumi Dodoma imekuwa kwa haraka na inakuwa kwa haraka sana kuliko Mwanza na huu ndio ukweli japo mchungu. Dodoma kwenye barabara na makazi ni bora sana kuliko Mwanza ni nyumba mpya na za kisasa nadhani hata katika ukusanyaji wa mapato sote tunajuwa Dodoma imeipiku Mwanza kwa mujibu wa Tamisemi. Najuwa watu watasema Ardhi ni kweli nadhani ardhi Dodoma zina thamani kubwa na sehemu yanye kuuza sana ardhi ni kwa sababu watu wanaona kitu. Mwanza kama imesimama na Dodoma wanakimbia ndio tofauti yao.
Nadhani unachanganya mambo hapa, swali mji unaokuwa kwa haraka mada sio mji kwa ukubwa size na population. Hata Geita wanachangia sana tu kwa hiyo tuwaweke wapi? Mwanza tunaijuwa ni mji unapitwa kwa haraka umedumaa wakati miji mingine inakuwa kisasa zaidi wao bado nyumba zile zile na mji wao kati ni uleule hakuna jipya ndio maana utakuta wasukuma wengi wanahamia mikoa mingine kwa kasi kuliko kabila lolote lile, watu hawakimbii mji tajiri.Hii hii mwanza ambayo ni ya Pili kwa katika ukusanyaji wa Pato la taifa nyuma ya dar ndo izidiwe na dodoma!
Jiji lenye manispaa mbili kumbwa ndo ulinganishe na dodoma? Acha mahaba yanakuondoa ufahamu
Usipende kuongea vitu bila refernce huo ni umbea.Dodoma bado sana kwa kila kitu.Ila watu wanatishwa na kelele za siasa,kama ni makazi Mwanza hiko mbali sana sema tu Mwanza hauijui.Kuhusu jiji kulinganishwa kwa mapato ya ndani nikuwa na uelewa mdogo. Ukweli ni kwamba Mwanza inaendeshwa na private sector na ndo maana inaongoza kwa GDP after Dar usitegemee kwamba Mwanza inategemea ushuru wa masoko.Watu wengine hawaelewi kuwa ukisema Mwanza jiji unaimanisha kawilaya kamoja ka Nyamagana ambako ni kadogo kuliko wilaya zote Mwaza bila kujua Mwanza jiji inaexpanda mpaka manispaa ya ilemela,Magu kisesa,musungwi na sengerema kamanga na ukija mgeni huwezi jua mipaka.Kwahiyo mkiwa mnapiga kelele jueni mnapambana na wilaya ya nyamagana peke yake .Kuhusu makazi naombene tuanze kupost makazi ya watu bila kushirikisha nyumba za mashirika kama Nhc,Nssf,ppf na mitaa yake ili tujifunze wapi zaidi.Then baadae tuende kwenye Nyumba za starehe na miundo mbinu za nchi kavu na majini.Nadhani unachanganya mambo hapa, swali mji unaokuwa kwa haraka mada sio mji kwa ukubwa size na population. Hata Geita wanachangia sana tu kwa hiyo tuwaweke wapi? Mwanza tunaijuwa ni mji unapitwa kwa haraka umedumaa wakati miji mingine inakuwa kisasa zaidi wao bado nyumba zile zile na mji wao kati ni uleule hakuna jipya ndio maana utakuta wasukuma wengi wanahamia mikoa mingine kwa kasi kuliko kabila lolote lile, watu hawakimbii mji tajiri.
Wewe mbwiga nani kakudanganya ? Njoo tukuonyeshe Mwanza inavyojengwa na kupanuka. Hapo kwa ombaomba patasubiri sana. Miradi ya serikali ikshakamilika Dom haina kitu.Mwanza lake Victoria very beautiful lakini nyumba za mabati zimechoka za zamani. Hata Dar ukiwa una land na ndege utaona aibu nyumba zilivyo oza kwa Dar ni Masaki, Mikocheni, Osterbay, Upanga na huko Ununio na Mbezi kama ailimia 30% huku kwingine nyumba kichefuchefu hasa ukiwa unatua na ndege na bahati mbaya ndege inapita hukohuko kwenye mabati machafu.
ππππ Inajengwa wapi ikiwa kwenye mapato mnakojolewa kiasi hiki?πWewe mbwiga nani kakudanganya ? Njoo tukuonyeshe Mwanza inavyojengwa na kupanuka. Hapo kwa ombaomba patasubiri sana. Miradi ya serikali ikshakamilika Dom haina kitu.
Uwe unaleta current data sio kuleta data za 2019 wakati leo ni 2022..πUsipende kuongea vitu bila refernce huo ni umbea.Dodoma bado sana kwa kila kitu.Ila watu wanatishwa na kelele za siasa,kama ni makazi Mwanza hiko mbali sana sema tu Mwanza hauijui.Kuhusu jiji kulinganishwa kwa mapato ya ndani nikuwa na uelewa mdogo. Ukweli ni kwamba Mwanza inaendeshwa na private sector na ndo maana inaongoza kwa GDP after Dar usitegemee kwamba Mwanza inategemea ushuru wa masoko.Watu wengine hawaelewi kuwa ukisema Mwanza jiji unaimanisha kawilaya kamoja ka Nyamagana ambako ni kadogo kuliko wilaya zote Mwaza bila kujua Mwanza jiji inaexpanda mpaka manispaa ya ilemela,Magu kisesa,musungwi na sengerema kamanga na ukija mgeni huwezi jua mipaka.Kwahiyo mkiwa mnapiga kelele jueni mnapambana na wilaya ya nyamagana peke yake .Kuhusu makazi naombene tuanze kupost makazi ya watu bila kushirikisha nyumba za mashirika kama Nhc,Nssf,ppf na mitaa yake ili tujifunze wapi zaidi.Then baadae tuende kwenye Nyumba za starehe na miundo mbinu za nchi kavu na majini.
View attachment 2208696
View attachment 2208697
View attachment 2208711
Ya pili eehπππHii hii mwanza ambayo ni ya Pili kwa katika ukusanyaji wa Pato la taifa nyuma ya dar ndo izidiwe na dodoma!
Jiji lenye manispaa mbili kumbwa ndo ulinganishe na dodoma? Acha mahaba yanakuondoa ufahamu
Naona Mwanza imejitaidi sana kwasababu ata vyanzo vya mapato vya halmashauri ni vichache sanaaaaa, mfumo mzima wa maendeleo unategemea private sector, Dar na Dodoma ilitakiwa kukusanya mara mbili ya hayo mapato.ππππ Inajengwa wapi ikiwa kwenye mapato mnakojolewa kiasi hiki?π
View attachment 2213983
View attachment 2213984
Nimecheka πππ ,wapi ambako vyanzo vya Halmashauri ni vingi?Naona Mwanza imejitaidi sana kwasababu ata vyanzo vya mapato vya halmashauri ni vichache sanaaaaa, mfumo mzima wa maendeleo unategemea private sector, Dar na Dodoma ilitakiwa kukusanya mara mbili ya hayo mapato.
Huna akili, unataka kunambia shughuli za kiuchumi dodoma zinafanyika kuliko mwanza? Sababu hizo ndo zinaleta mapatoNimecheka [emoji16][emoji16][emoji16] ,wapi ambako vyanzo vya Halmashauri ni vingi?
Wewe kubali mumepigwa na kitu kizito kichwani na Arusha..
Hata mapato ya kimkoa mumepigwa na Mbeya na Pwani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sikwambii ila nakupa data afu jibu utatafuta mwenyew π¬π¬π¬π¬Huna akili, unataka kunambia shughuli za kiuchumi dodoma zinafanyika kuliko mwanza? Sababu hizo ndo zinaleta mapato
Hizi ofisi za serikali za mji wa mtumba nazo ni fursa za kibiashara kwa wananchi wa Dodoma? Ujenzi wa maofisi ya serikali yanatija gani kwenu?Mimi sikwambii ila nakupa data afu jibu utatafuta mwenyew π¬π¬π¬π¬
Tembea na fursa iliko wewe acha kuhemka kijinga utakufa Maskini π
View attachment 2214878