Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Mwanza Vs Dom.

Anyway napaoenda Dom nimejifunza mengi katika mji huo. Ila Mwanza ndo nimeanzia maisha Rasmi.

Nianze.
Majengo naipa Mwanza.
Usafiri wa umma MWANZA
Mahotel Mwanza.
Mipango mji Dom
Ukubwa wa Jiji Mwanza
Wingi wa watu Mwanza
Biashara mseto Mwanza
Bata kubwa Mwanza
Mzunguko wa pesa Mwanza.
Vyuo vingi Dom
Club Kali Mwanza
Bar Kali Mwanza
Malaya wengi Dom
Chakula bei nafuu Mwanza
Gharama nafuu za ujenzi Mwanza
Ardhi nafuu Mwanza
Viwanda vingi Mwanza
Kilimo katka peripheries MWANZA
Usafiri Bora na haraka nje ya Jiji Mwanza
 
Sensa ya mwaka ujao itatoa picha halisi.Tusidanganyane kwa mahaba,Dom imeshakuwa Mji mkubwa Sana kwa sasa.

Yaani kama hujaenda miezi 6 unakuta Mji umebadilika,hapo ndio kwanza serikali hata nusu haijahamia.

Takwimu za mapato ya Jiji ,Dom huwa inashindana na Ilala tuu hakuna mwingine anaikaribia.
Sasa sisi wasukuma roho zinatuuma sana Mwanza kupoteza sifa iliyokua nayo zamani [emoji23]
 
Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae kukabidhi crown very soon akiwemo mbabe Mwanza ambaye so far bado anahold title la jiji kubwa after DSM wakati DOM yeye akishikilia title la jiji la Kisasa zaidi after DSM hayo ndo maoni yangu utaki leta evidence kuwa MWANZA CBD nizaidi ya DODOMA CBD

Hivyo kwa heshima ya Dodoma mpya na ya kisasa ambayo kwa mtizamo wangu binafsi inaichapa Mwanza 3-0 kwenye ukubwa wa City Center (CBD)
Kuanzia majengo mengi ya ghorofa, ukisasa, mpangilio, bustani na round about nzuri, purchasing power (vitu bei ni juu na watu wana-afford) ndiyo maana mabasi makali na ghali mengi uanzia safari zake hapa kuelekea Dar nasiyo vinginevyo.

Kingine Dodoma CBD bado inakuwa kila sekunde mijengo inazidi chepushwa tena project za maana, ila Mwanza CBD haina jipya sana zaidi ya soko linalojengwa pale hamna kingine chakutarajia kwa sasa, kinachoiangusha Dodoma CBD ni ubaya wa soko lake kuu la majengo(ombi langu kwa mamlaka husika walifanyie mpango wa maboresho linafubaza jiji) ila kwingine huko kote ni fire.

CBD ya Dodoma inaichapa mwanza upande wa barabara za lami, private cars na magari ya kifahari,mandhari ya kimjini mjini kama ni mgeni ukiwa mazengo ukajichanganya majengo huko kwa kina vunja bei bila kusahau uhindini n.k wawezadhani uko kariakoo ndogo,
Dodoma CBD ina city vibes ukilinganisha na mwanza CBD.

MADHAIFU:

I. Ukarimu na kauli za kibiashara(customer care) ni "F"

II. Usafi ni "F'' mifereji inanuka vinyesi plus taka zinatupwa tu ovyo na hakuna hatua yeyote inachukuliwa mara mia na halmashauri ya manispaa ya Singida.

III. Upande wa Mahoteli na viwanja nawapa "D" demand bado nikubwa kuliko kilichopo, ukiiondoa Morena ambayo nayo ni yakawaida sana bado hakuna hotel za maana.

IV. Hali ya hewa ya vumbi la kuwasha macho, ukame na unusu jangwa, hata kama umetupia nguo mpya na Kali vipi zinaappear zimefubaa nakupaukiana achilia mbali baridi kali usiku. (Tushirikiane wote kuakikisha Sera ya Dodoma ya kijani inatekelezwa kwa vitendo)

V. Shida ya MAJI hapa usishangae chumba kimoja kikilipiwa 15k na kingine kinachofanana nacho kwa kila kigezo kikilipiwa 30k kumbe kigezo ni kimoja kina maji na kingine hakina. Jamani SERIKALI timizeni majukumu yenu mruhusu jiji hili lifunguke zaidi na likuwe maana kikwazo kikuu ni hiki kabla ya vingine.

But all in all ukiondoa mapungufu hayo machache, mwanza CBD inakalishwa benchi kipindi cha kwanza cha mchezo hata kabla ya kipyenga cha mwamuzi kuamuru game lianze.

TAKE HOME
Ninachoipendea Dodoma; UZALENDO kwani karibia asilimia 95 ya majengo yote, mabango na mapambo CBD lazima neno DODOMA litaappear unlike mwanza na sehemu zingine za Tanzania hii.
Mkuu tafuta nauli ufike Mwanza kwanza kisha ndio uje uandike hapa,
 
mkuu morogoro umefika kweli manake mji haupo pale msamvu bali unashuka chini kule
Sasa mji mpaka uanze kuutafuta huko makolongoni!!! Dodoma tuache ushabiki wakifanikiwa inshu ya maji yasambae kila mahali,litakuwa jj Kali Sana,kwanza kwa ss ,Dodoma umekuwa ni mji wa matajiri aise!!
 
Mkuu tafuta nauli ufike Mwanza kwanza kisha ndio uje uandike hapa,
Nadhani unapaswa wewe kutafuta hiyo nauli kwanza ufike Dodoma maana ninavyoandika hapa muda huu nipo mwanza.

Hapo niligusia tu kipengele cha CBD bado sijaongelea real estates za maghorofa na nyumba za kawaida, na kuna another city ndani ya jiji inayoendelea kujengwa,ubora wa makazi ya watu binafsi, mpangilio wa makazi na nakshi, mtandao wa barabara za lami na urefu wake, vyuo vikuu na vidogo, stendi kubwa yakisasa,masoko ya kisasa n.k ngoja niishie hapo mwana Mwanza usije ukakata roho bure.

Kitu pekee mwanza inaizidi Dom kwa sasa ni population kubwa na kutanuka kwa mji basi ambayo pia kila mwaka Dom anazidi kupunguza gepu hayo mengine kama ziwa, hali ya hewa, misosi, maisha nafuu ya kimasikini na pesa hakuna si point tena usituletee hapa.
 
Naomba niwe mtu mwa mwisho kuchangia
Ndugu zangu tuache utani kwa kulinganisha mwanza na miji midogomidogo kama Dodoma . Shikeni hili after dsm is mwanza.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Neno la mkazo kila mtu ubwabwaja anavyoamini bali lihalalishe kwa kutuonesha huyo mwanza ana nini cha ziada kumpiku dom
 
Hata ile stand ya Dom ni kubwa kuliko ya Magufuli ya Dar sema wameniudhi kwenye parking za magari ikijaa inatakiwa kurudi rivasi ndio iondoke,pale dizaini ilokosema ilitakiwa iende mbele ila ni stand nzuri Sana.

Afu watu wanajua kwamba Dom kinajengwa duala carriage za kuzidi,kuanzia ring road za Tanroads,hadi za Tarura kule mtumba na mjini Kati?

Mwanza bado wako ndotoni japo wanaelewa ujio wa Dodoma ni shida kwa sasa maji yapo shingoni, almost project zote anazosubiria mwanza zikamilike na Dodoma vile vile zitakuwepo au zipo tiyari isipokuwa vichache tu kulingana na jiografia; na kingine tukilinganisha project zote ambazo zinajengwa na za baadae nina hakika bado Mwanza anakalishwa.
 
Kimeumana huku Khm vs Shy
Huyu jamaa kakurupuka nilikuwa namrudisha tu relini asiichukulie poa Shinyanga kuilinganisha na Kahama, siku zote miji midogo yakibiashara kama Kahama mara nyingi uchangamka sana mjini na huwa na movement kubwa senta kiasi kwamba usipokuwa makini waweza dhani ni miji mikubwa ila ukichepuka kidogo tu pembeni unakumbana na vichaka vya nyasaka, bulyang'hulu na kagongwa-kahama kimoja.
 
Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae kukabidhi crown very soon akiwemo mbabe Mwanza ambaye so far bado anahold title la jiji kubwa after DSM wakati DOM yeye akishikilia title la jiji la Kisasa zaidi after DSM hayo ndo maoni yangu utaki leta evidence kuwa MWANZA CBD nizaidi ya DODOMA CBD

Hivyo kwa heshima ya Dodoma mpya na ya kisasa ambayo kwa mtizamo wangu binafsi inaichapa Mwanza 3-0 kwenye ukubwa wa City Center (CBD)
Kuanzia majengo mengi ya ghorofa, ukisasa, mpangilio, bustani na round about nzuri, purchasing power (vitu bei ni juu na watu wana-afford) ndiyo maana mabasi makali na ghali mengi uanzia safari zake hapa kuelekea Dar nasiyo vinginevyo.

Kingine Dodoma CBD bado inakuwa kila sekunde mijengo inazidi chepushwa tena project za maana, ila Mwanza CBD haina jipya sana zaidi ya soko linalojengwa pale hamna kingine chakutarajia kwa sasa, kinachoiangusha Dodoma CBD ni ubaya wa soko lake kuu la majengo(ombi langu kwa mamlaka husika walifanyie mpango wa maboresho linafubaza jiji) ila kwingine huko kote ni fire.

CBD ya Dodoma inaichapa mwanza upande wa barabara za lami, private cars na magari ya kifahari,mandhari ya kimjini mjini kama ni mgeni ukiwa mazengo ukajichanganya majengo huko kwa kina vunja bei bila kusahau uhindini n.k wawezadhani uko kariakoo ndogo,
Dodoma CBD ina city vibes ukilinganisha na mwanza CBD.

MADHAIFU:

I. Ukarimu na kauli za kibiashara(customer care) ni "F"

II. Usafi ni "F'' mifereji inanuka vinyesi plus taka zinatupwa tu ovyo na hakuna hatua yeyote inachukuliwa mara mia na halmashauri ya manispaa ya Singida.

III. Upande wa Mahoteli na viwanja nawapa "D" demand bado nikubwa kuliko kilichopo, ukiiondoa Morena ambayo nayo ni yakawaida sana bado hakuna hotel za maana.

IV. Hali ya hewa ya vumbi la kuwasha macho, ukame na unusu jangwa, hata kama umetupia nguo mpya na Kali vipi zinaappear zimefubaa nakupaukiana achilia mbali baridi kali usiku. (Tushirikiane wote kuakikisha Sera ya Dodoma ya kijani inatekelezwa kwa vitendo)

V. Shida ya MAJI hapa usishangae chumba kimoja kikilipiwa 15k na kingine kinachofanana nacho kwa kila kigezo kikilipiwa 30k kumbe kigezo ni kimoja kina maji na kingine hakina. Jamani SERIKALI timizeni majukumu yenu mruhusu jiji hili lifunguke zaidi na likuwe maana kikwazo kikuu ni hiki kabla ya vingine.

But all in all ukiondoa mapungufu hayo machache, mwanza CBD inakalishwa benchi kipindi cha kwanza cha mchezo hata kabla ya kipyenga cha mwamuzi kuamuru game lianze.

TAKE HOME
Ninachoipendea Dodoma; UZALENDO kwani karibia asilimia 95 ya majengo yote, mabango na mapambo CBD lazima neno DODOMA litaappear unlike mwanza na sehemu zingine za Tanzania hii.
Mwanza itabaki kua juu siku zote, hakuna mji ulio mwambao wa maji ukawa ni wa kifala, Ddm itajengwa lakini Mwanza siyo kwamba itakua imesimama la hasha, itakua inaendelea pia na ilisha jengwa toka zamani pia
 
Ndiko nilipo mpaka sasa hivi, jiji pekee hapa duniani ambalo ikifika saa mbili taa zinazokumulikia highway uone unapokwenda ni msaada wa bulbs za majumbani kwa watu..nadhani umeelewa naongelea nini.
Wewe utakua ni mtoto mtoto hivi
 
Kilaza kweli wewe hii Dodoma yenye ghorofa mbili iizidi City center ya Mwanza [emoji32]

Hapa kuna ghorofa moja tu jipya nalo ni hotel iliyopo karibu na white house nimeisahau jina owner nadhani ni serikali design mbaya ya kizamani kabisa.

Kwingine hakuna ni vijumba uchafu, ndio maana hata Vunjabei ya Dodoma ni robo ya ukubwa wa ile iliyopo Iringa.

Biashara za oneway na 7/7 zotee zinafungwa kuanzia saa 1 yani saa mbili ni mji unaanza kulala.
Usafiri wa kutoka city center ya wagogo saa tatu ni unabahatisha daladala bajaj ndio wana double bei.

Purchasing power ni ya hovyo wengi ya wanunuzi wa bidhaa za hawa wakoma ni wanafunzi na wafanyakazi wengine ni mandezi tu
Waliokupa like ni wale ambao hawaijui Dom
 
Mwanza bado wako ndotoni japo wanaelewa ujio wa Dodoma ni shida kwa sasa maji yapo shingoni, almost project zote anazosubiria mwanza zikamilike na Dodoma vile vile zitakuwepo au zipo tiyari isipokuwa vichache tu kulingana na jiografia; na kingine tukilinganisha project zote ambazo zinajengwa na za baadae nina hakika bado Mwanza anakalishwa.
Watakwambia eti Mwanza inachukiwa 😁😁..

Wakubali tuu kwamba Dom ishawakalia kooni
 
Sijawahi kufika Dodoma lakini kwa Maendeleo na Mipango inayofanyika Dodoma by 2030 Dodoma itakuwa Jiji bora kabisa Afrika Mashariki na Kati kuna mji mmoja Uko Botswana ni Dodoma kabisa.
 
Kwa "mtazamo wangu mimi Dodoma inaienda kuipita Mwanza au tayari ilishaipita Mwanza kwa ukubwa wa Jiji. Idadi ya majengo marefu Dodoma inaweza ikawa imeipita Mwanza kwa sababu mwanza Majengo yake marefu yamekusanyika sehemu Moja tofauti na Dodoma ambapo ni mengi ila yapo scattered.
Kwa upande wa barabara Mwanza tayari imeshaachwa parefu sana.
In Short Mwanza ni kama imefikia mwisho kuendelezwa.
Majengo marefu ni kuanzia ghorofa ngapi mkuu?

-Ukaguzi house!
-NHIF!
-Kambarage!
-jengo la hotel mpya karibu na makao makuu ya chama!

Ukiachana na hayo Majengo ma 4 niliyoyataja hapo juu, hebu taja mengine marefu yaliyofanya dodoma iipiku mwanza...
 
Back
Top Bottom