Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Wala huijui Mwanza ! Kinachokusumbua ni wivu na chuki kwa jiji la miamba. Pole sana. Nikushauri tu usipoteze muda wako kulinganisha mlima kilimanjaro na kichuguu cha mchwa.
Siku zote mtoto uamini mama yake pekee ndo fundi wa mapishi mpaka pale anapokuwa ndo ugundua kumbe kuna wanawake wako vizuri jikoni maza akasome, nikuulize ushawahi kanyaga DOM CBD au unabisha kulingana na ulivyoiaminisha akili yako.
 
Ila mwanza na nilivyokua naiskia ni tofauti..kabla sijafikaga mwanza nilikua nna ndoto sana ya kwenda and was my fav City..ila nilivyofika sikutaka ata kurudi tena..harufu mbaya ya dagaa kutoka ziwani..hakuna kipya cha kusema yes i meet the Centre of the City kama utavyofika posta au hata ukiwa arusha centre..mwanza hapana aisee ni pabaya bas tu inawabeba manthari na hali ya hewa ..

Sometimes nyie mnaopita mahali kwa haraka au mkiwa kwenye magari huwa mnaishia kutoa bad judgement ya mahali husika, labda nikuulize angle zipi za CBD ulipita kiasi cha kusema mwanza CBD inazidiwa na City Center ya Arusha
 
Wewe jamaa ni zero kabisa Mwanza unaijua? Mwanza ni mji mkubwa sana mara 100 ya dodoma..... dodoma hapa kweli [emoji1787][emoji1787] uko mitaa gani kesho tuonane

Mwanza ndio mji pekee nje ya dar ambao unaweza kutembea karibia kilometers 100 ukawa ndani ya jiji
Hakikaa, na huu ndio ukweli ambao wanafiki hawapendi kuusikia.
 
Siku zote mtoto uamini mama yake pekee ndo fundi wa mapishi mpaka pale anapokuwa ndo ugundua kumbe kuna wanawake wako vizuri jikoni maza akasome, nikuulize ushawahi kanyaga DOM CBD au unabisha kulingana na ulivyoiaminisha akili yako.
Hiyo DOM nisifike na kukaa hapo ? Huo mji wenu wenye baridi yabisi uulinganishe na Mwanza ? Pole sana
 
Sasa hapa unatetea nini? Inshu ni kuwa kiwanja cha moshi kipo wapi kama siyo hapo jirani na soweto-veta, kuhusu international kama KIA nani amekwambia Dodoma haina mpango wa kuwa na DIA
wamekiboresha kile kile ili wagogo muwe mnashangaa Airbus pale tukiwa tunashuka kutoka dar
 
Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae kukabidhi crown very soon akiwemo mbabe Mwanza ambaye so far bado anahold title la jiji kubwa after DSM wakati DOM yeye akishikilia title la jiji la Kisasa zaidi after DSM hayo ndo maoni yangu utaki leta evidence kuwa MWANZA CBD nizaidi ya DODOMA CBD

Hivyo kwa heshima ya Dodoma mpya na ya kisasa ambayo kwa mtizamo wangu binafsi inaichapa Mwanza 3-0 kwenye ukubwa wa City Center (CBD)
Kuanzia majengo mengi ya ghorofa, ukisasa, mpangilio, bustani na round about nzuri, purchasing power (vitu bei ni juu na watu wana-afford) ndiyo maana mabasi makali na ghali mengi uanzia safari zake hapa kuelekea Dar nasiyo vinginevyo.

Kingine Dodoma CBD bado inakuwa kila sekunde mijengo inazidi chepushwa tena project za maana, ila Mwanza CBD haina jipya sana zaidi ya soko linalojengwa pale hamna kingine chakutarajia kwa sasa, kinachoiangusha Dodoma CBD ni ubaya wa soko lake kuu la majengo(ombi langu kwa mamlaka husika walifanyie mpango wa maboresho linafubaza jiji) ila kwingine huko kote ni fire.

CBD ya Dodoma inaichapa mwanza upande wa barabara za lami, private cars na magari ya kifahari,mandhari ya kimjini mjini kama ni mgeni ukiwa mazengo ukajichanganya majengo huko kwa kina vunja bei bila kusahau uhindini n.k wawezadhani uko kariakoo ndogo,
Dodoma CBD ina city vibes ukilinganisha na mwanza CBD.

MADHAIFU:

I. Ukarimu na kauli za kibiashara(customer care) ni "F"

II. Usafi ni "F'' mifereji inanuka vinyesi plus taka zinatupwa tu ovyo na hakuna hatua yeyote inachukuliwa mara mia na halmashauri ya manispaa ya Singida.

III. Upande wa Mahoteli na viwanja nawapa "D" demand bado nikubwa kuliko kilichopo, ukiiondoa Morena ambayo nayo ni yakawaida sana bado hakuna hotel za maana.

IV. Hali ya hewa ya vumbi la kuwasha macho, ukame na unusu jangwa, hata kama umetupia nguo mpya na Kali vipi zinaappear zimefubaa nakupaukiana achilia mbali baridi kali usiku. (Tushirikiane wote kuakikisha Sera ya Dodoma ya kijani inatekelezwa kwa vitendo)

V. Shida ya MAJI hapa usishangae chumba kimoja kikilipiwa 15k na kingine kinachofanana nacho kwa kila kigezo kikilipiwa 30k kumbe kigezo ni kimoja kina maji na kingine hakina. Jamani SERIKALI timizeni majukumu yenu mruhusu jiji hili lifunguke zaidi na likuwe maana kikwazo kikuu ni hiki kabla ya vingine.

But all in all ukiondoa mapungufu hayo machache, mwanza CBD inakalishwa benchi kipindi cha kwanza cha mchezo hata kabla ya kipyenga cha mwamuzi kuamuru game lianze.

TAKE HOME
Ninachoipendea Dodoma; UZALENDO kwani karibia asilimia 95 ya majengo yote, mabango na mapambo CBD lazima neno DODOMA litaappear unlike mwanza na sehemu zingine za Tanzania hii.
Ndio unajua leo? Dom ndio yenye hadhi ya second City kwa sasa.
 
Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae kukabidhi crown very soon akiwemo mbabe Mwanza ambaye so far bado anahold title la jiji kubwa after DSM wakati DOM yeye akishikilia title la jiji la Kisasa zaidi after DSM hayo ndo maoni yangu utaki leta evidence kuwa MWANZA CBD nizaidi ya DODOMA CBD

Hivyo kwa heshima ya Dodoma mpya na ya kisasa ambayo kwa mtizamo wangu binafsi inaichapa Mwanza 3-0 kwenye ukubwa wa City Center (CBD)
Kuanzia majengo mengi ya ghorofa, ukisasa, mpangilio, bustani na round about nzuri, purchasing power (vitu bei ni juu na watu wana-afford) ndiyo maana mabasi makali na ghali mengi uanzia safari zake hapa kuelekea Dar nasiyo vinginevyo.

Kingine Dodoma CBD bado inakuwa kila sekunde mijengo inazidi chepushwa tena project za maana, ila Mwanza CBD haina jipya sana zaidi ya soko linalojengwa pale hamna kingine chakutarajia kwa sasa, kinachoiangusha Dodoma CBD ni ubaya wa soko lake kuu la majengo(ombi langu kwa mamlaka husika walifanyie mpango wa maboresho linafubaza jiji) ila kwingine huko kote ni fire.

CBD ya Dodoma inaichapa mwanza upande wa barabara za lami, private cars na magari ya kifahari,mandhari ya kimjini mjini kama ni mgeni ukiwa mazengo ukajichanganya majengo huko kwa kina vunja bei bila kusahau uhindini n.k wawezadhani uko kariakoo ndogo,
Dodoma CBD ina city vibes ukilinganisha na mwanza CBD.

MADHAIFU:

I. Ukarimu na kauli za kibiashara(customer care) ni "F"

II. Usafi ni "F'' mifereji inanuka vinyesi plus taka zinatupwa tu ovyo na hakuna hatua yeyote inachukuliwa mara mia na halmashauri ya manispaa ya Singida.

III. Upande wa Mahoteli na viwanja nawapa "D" demand bado nikubwa kuliko kilichopo, ukiiondoa Morena ambayo nayo ni yakawaida sana bado hakuna hotel za maana.

IV. Hali ya hewa ya vumbi la kuwasha macho, ukame na unusu jangwa, hata kama umetupia nguo mpya na Kali vipi zinaappear zimefubaa nakupaukiana achilia mbali baridi kali usiku. (Tushirikiane wote kuakikisha Sera ya Dodoma ya kijani inatekelezwa kwa vitendo)

V. Shida ya MAJI hapa usishangae chumba kimoja kikilipiwa 15k na kingine kinachofanana nacho kwa kila kigezo kikilipiwa 30k kumbe kigezo ni kimoja kina maji na kingine hakina. Jamani SERIKALI timizeni majukumu yenu mruhusu jiji hili lifunguke zaidi na likuwe maana kikwazo kikuu ni hiki kabla ya vingine.

But all in all ukiondoa mapungufu hayo machache, mwanza CBD inakalishwa benchi kipindi cha kwanza cha mchezo hata kabla ya kipyenga cha mwamuzi kuamuru game lianze.

TAKE HOME
Ninachoipendea Dodoma; UZALENDO kwani karibia asilimia 95 ya majengo yote, mabango na mapambo CBD lazima neno DODOMA litaappear unlike mwanza na sehemu zingine za Tanzania hii.
WASukuma watakwambia eti Takwimu zimepikwa 😂😂.

Kiufupi sio tuu Dom bali hata Mbeya inakuja kwa Kasi sana kwa sasa maana ina watu wengi na wenye purchasing power.

Imagine unaanzia Uyole hadi Mbalizi
 
Kilaza kweli wewe hii Dodoma yenye ghorofa mbili iizidi City center ya Mwanza 😨

Hapa kuna ghorofa moja tu jipya nalo ni hotel iliyopo karibu na white house nimeisahau jina owner nadhani ni serikali design mbaya ya kizamani kabisa.

Kwingine hakuna ni vijumba uchafu, ndio maana hata Vunjabei ya Dodoma ni robo ya ukubwa wa ile iliyopo Iringa.

Biashara za oneway na 7/7 zotee zinafungwa kuanzia saa 1 yani saa mbili ni mji unaanza kulala.
Usafiri wa kutoka city center ya wagogo saa tatu ni unabahatisha daladala bajaj ndio wana double bei.

Purchasing power ni ya hovyo wengi ya wanunuzi wa bidhaa za hawa wakoma ni wanafunzi na wafanyakazi wengine ni mandezi tu
Ghorofa mbili zipi? Una chuki na hutaki ukweli 😝😝

2963613_thumb_2392_800x420_0_0_auto.jpg
 
Kwa lile vumbi hapana bila bunge na udom pangebaki pa hovyo sana.
Sasa ukuaji wa Mji unahusiana vipi na vumbi?

Wewe ni kapuuzi yaani mtu ahame mkoani kufuata Bunge na chuo? Mbona vyuo viko maeneo mengi tuu ikiwemo Mbeya,Mwanza ,Iringa,Morogoro na Arusha,kwa nini hiyo miji haikui kwa Kasi kama Dom?
 
Unahisi tukiachana na CBD tukahesabu jengo moja moja la ghorofa mpaka lingine kwa mji mzima mwanza inatoboa kwa Dom?

Vipi ushaitembelea chinangali, CBE, Majengo,mazengo,nyerere square, sabasaba, developed cities area n.k huko kote majengo marefu yanazidi inuka tu ndugu yangu kitu pekee mwanza inaizidi Dom kwa sasa ni ile density/kusongamana kwa maghorofa katika eneo finyu la CBD yao ukilinganisha na Dom.

Dodoma CBD imetanuka nje ya kariakoo yao ndogo inayoitenganisha na CBD nakuleta mwonekano wa kisasa na majengo mazuri yaliyoachiana uwazi wa kupumua ukilinganisha na Zoo na siku nyumba za bati au kawaida zikishaondoka zote kupisha ghorofa CBD ya Zoo ikatafute ligi yake kwenye suala la CBD.
Kama Mwanza ilishapigwa na Arusha,kwa Dom haiwezi hata kusogeza pua.

Ule mradi wa nyumba 1000 pale Medeli unatosha kushindana na mwanza yote.
 
WASukuma watakwambia eti Takwimu zimepikwa [emoji23][emoji23].

Kiufupi sio tuu Dom bali hata Mbeya inakuja kwa Kasi sana kwa sasa maana ina watu wengi na wenye purchasing power.

Imagine unaanzia Uyole hadi Mbalizi
Hata kama huwapendi huna cha kuwafanya wasukuma
 
jiji imetamkwa tu lakini dodoma hakuna quality za kuitwa jiji mji umejaa omba omba kila mahali ile airport pale ukishuka unaenda kupanda bodaboda alafu hata bunge sijui kwanini wali allocate likae pale barabarani yani bunge linapakana ukuta na chuo jamani mi nilitegemea liwe sehem flani nje ya mji waswahili hawafiki kirahisi sasa bunge nalo liko katikati ya mji hivi gari la matangazo likipita pale sauti haifiki ndani mule
Siku za usoni Bunge litahamia Mji wa serikali kule sio pale mjini Kati.

Omba omba hata Dar na Nairobi wamejaa kwa sababu hiyo ndio miji yenye Watu wenye pesa.
 
mkuu dodoma nimefika hivi ilikuwaje mkaweka airport pale katikati ya mji kama kariakoo
Ile si ni airport ndogo kama ilivyo kwa Miji mingi like Mbeya, Sumbawanga,Arusha nk..

Pili airport kubwa inajengwa pembeni ya ya Mji .By the way hata Airport ya Dar iko mjini katikati ya makazi,so hiyo sio hoja .
 
Kwa "mtazamo wangu mimi Dodoma inaienda kuipita Mwanza au tayari ilishaipita Mwanza kwa ukubwa wa Jiji. Idadi ya majengo marefu Dodoma inaweza ikawa imeipita Mwanza kwa sababu mwanza Majengo yake marefu yamekusanyika sehemu Moja tofauti na Dodoma ambapo ni mengi ila yapo scattered.
Kwa upande wa barabara Mwanza tayari imeshaachwa parefu sana.
In Short Mwanza ni kama imefikia mwisho kuendelezwa.
Sensa ya mwaka ujao itatoa picha halisi.Tusidanganyane kwa mahaba,Dom imeshakuwa Mji mkubwa Sana kwa sasa.

Yaani kama hujaenda miezi 6 unakuta Mji umebadilika,hapo ndio kwanza serikali hata nusu haijahamia.

Takwimu za mapato ya Jiji ,Dom huwa inashindana na Ilala tuu hakuna mwingine anaikaribia.
 
We jamaa ujuhi miji mingi kiundani bali unaongea uonekane unajua, SHY unayoipita ukiwa kwenye basi si sawa na SHY utakayoifahamu ukifanya city tour, usijediriki kuilinganisha tena SHY na KHM, Kahama ni ligi ya kina njombe,makambako,mpanda n.k
Kimeumana huku Khm vs Shy
 
Mkiambiwa msafiri hamtaki kutwa mko humu kujifanya wapingaji, sasa kwa akili yako unadhani nchi hii kuna gardens nzuri za mjini kama chinangali na nyerere square?

Hivi umeshawahi safiri na baadhi ya mabasi haya; Kimbinyiko, Shabiby, ABC n.k hivi unadhani usipoenda Dom mshikaji wangu hizi luxury utazijulia wapi?
Hata ile stand ya Dom ni kubwa kuliko ya Magufuli ya Dar sema wameniudhi kwenye parking za magari ikijaa inatakiwa kurudi rivasi ndio iondoke,pale dizaini ilokosema ilitakiwa iende mbele ila ni stand nzuri Sana.

Afu watu wanajua kwamba Dom kinajengwa duala carriage za kuzidi,kuanzia ring road za Tanroads,hadi za Tarura kule mtumba na mjini Kati?
 
Naomba niwe mtu mwa mwisho kuchangia
Ndugu zangu tuache utani kwa kulinganisha mwanza na miji midogomidogo kama Dodoma . Shikeni hili after dsm is mwanza.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom