Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Kwa Mwanza hii utaongea sana mpaka utapike ulimiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hiki nikitu kingine
Hapo unatapatapa tuu..

Kwa Dodoma hii lazima utetemeke πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220831-141422_1.jpg
    49.5 KB · Views: 22
  • Screenshot_20220831-141503_1.jpg
    31.3 KB · Views: 21
  • Screenshot_20220830-234044_1.jpg
    25.7 KB · Views: 23
  • FB_IMG_1656657537831.jpg
    29.3 KB · Views: 17
Tutolee uchafu wa vikotazi ya NHC vinafanana kama mabweni ya shule Waja geita au Musaba MwanzaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.Sasa ona nyumba za wanaume Nyamongholo Mwanza.
 

Attachments

  • Screenshot_2022-09-01-07-38-11.png
    253.5 KB · Views: 33
wagogo mnashida sana nyie kina matonya
Mtatia akili tuu..kama nawaona mnavyosonya..

Air force one ndani ya Dom,hii ndio maana ya kuwa Jiji la Makao Makuu sasa πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220902-110710.png
    124.2 KB · Views: 24
  • IMG_3806.jpg
    14 KB · Views: 18
Mtatia akili tuu..kama nawaona mnavyosonya..

Air force one ndani ya Dom,hii ndio maana ya kuwa Jiji la Makao Makuu sasa πŸ‘‡
Kabla ya kipost huu utumbo jaribu kuulizia histora ya Mwanza.Mwanza airport historia yake ulikuwa uwanja wa kivita bafore na hadi sasa ndo kituo cha ndege vita mpaka leo zipo za kila aina.Kuhhsu ukubwa wa ndege,Mwanza inaweza ikawa inaongoza kwa kupokea ndege kubwa za mizigo nchi hii.Yale mandege ya minofu ya samaki ni hatari na nusu.
 
Tuonyeshe ndege vita hata moja iliyowahi kutua huko πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†..

Acha wivu Mzee,kibali tuu kwamba mumezidiwa na Dodoma kila kitu.
 
CBD Mpya mwanza
Hapa miaka miwili ya nyuma vilikuwa vijumba vifupi sasa ..
Rufiji town zinapanda 10 storey Kila kukicha ...
[emoji116][emoji116][emoji28] Dodoma endeleeni kukomaa na vijumba vya pale sabasaba[emoji28][emoji28]
 

Attachments

  • Screenshot_20220905-211945.png
    260.3 KB · Views: 17
  • Screenshot_20220905-212026.png
    176.2 KB · Views: 19
  • Screenshot_20220905-211113.png
    149.9 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220905-210825.png
    124.3 KB · Views: 16
  • 20220905_211045.jpg
    230 KB · Views: 16
  • 20220905_210833.jpg
    35.6 KB · Views: 13
Apartments za Mwanza 😁😁😁😁
Hakuna cha aprtment hapo.Hizo ni normal living house kwa Mwanza.Sio kama viapartment vya Dodoma vyumba viwili na sebule tena ni vya nhc lipa kidogo kidogo.Mwanza vijana wanakunjuka kujenga na hapo ni Nyamngholo hata top five ya seheme yenye makazi bora Mwanza haimo.Top ten 1.Capri point
2.Ilemela
3.Bwiru
4.Kiseke
5.Nyansaka centre
6.Buswelu
7.Buzuruga Mwananchi
8.Nsumba
9 Isamilo
10Nyamongholo
11.Mihama
12 Mahina
13.Buhongwa
14Calfonia
16Nyashishi
17 Bulale
18.Buyombe
19.Sawa chini
20.Usagara
Kote huko hakuna vikotazi ya vyumba viwili na sebure ni mahekalu tu
 
Hapo hujaiweka kanyerere, bugarika,kisesa,kakebe na kishiri...hii mitaa ndo size ya kisasa ,area d na nkuhungu amabayo ndo mitaa ya kidosi hapo Dom ...
Dom mtaa unaojitutumua kidogo ni uzunguni kwingine ni hamna kitu
 
Hapo hujaiweka kanyerere, bugarika,kisesa,kakebe na kishiri...hii mitaa ndo size ya kisasa ,area d na nkuhungu amabayo ndo mitaa ya kidosi hapo Dom ...
Dom mtaa unaojitutumua kidogo ni uzunguni kwingine ni hamna kitu
Pole Sana ..Dodoma Benjamin Mkapa Hospital πŸ‘‡
 

Attachments

  • IMG_6651.jpg
    26.3 KB · Views: 15
  • IMG_6650.jpg
    48 KB · Views: 16
  • IMG_6649.jpg
    36.2 KB · Views: 19
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…