Sasa sisi wasukuma roho zinatuuma sana Mwanza kupoteza sifa iliyokua nayo zamani [emoji23]Sensa ya mwaka ujao itatoa picha halisi.Tusidanganyane kwa mahaba,Dom imeshakuwa Mji mkubwa Sana kwa sasa.
Yaani kama hujaenda miezi 6 unakuta Mji umebadilika,hapo ndio kwanza serikali hata nusu haijahamia.
Takwimu za mapato ya Jiji ,Dom huwa inashindana na Ilala tuu hakuna mwingine anaikaribia.
Mkuu tafuta nauli ufike Mwanza kwanza kisha ndio uje uandike hapa,Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae kukabidhi crown very soon akiwemo mbabe Mwanza ambaye so far bado anahold title la jiji kubwa after DSM wakati DOM yeye akishikilia title la jiji la Kisasa zaidi after DSM hayo ndo maoni yangu utaki leta evidence kuwa MWANZA CBD nizaidi ya DODOMA CBD
Hivyo kwa heshima ya Dodoma mpya na ya kisasa ambayo kwa mtizamo wangu binafsi inaichapa Mwanza 3-0 kwenye ukubwa wa City Center (CBD)
Kuanzia majengo mengi ya ghorofa, ukisasa, mpangilio, bustani na round about nzuri, purchasing power (vitu bei ni juu na watu wana-afford) ndiyo maana mabasi makali na ghali mengi uanzia safari zake hapa kuelekea Dar nasiyo vinginevyo.
Kingine Dodoma CBD bado inakuwa kila sekunde mijengo inazidi chepushwa tena project za maana, ila Mwanza CBD haina jipya sana zaidi ya soko linalojengwa pale hamna kingine chakutarajia kwa sasa, kinachoiangusha Dodoma CBD ni ubaya wa soko lake kuu la majengo(ombi langu kwa mamlaka husika walifanyie mpango wa maboresho linafubaza jiji) ila kwingine huko kote ni fire.
CBD ya Dodoma inaichapa mwanza upande wa barabara za lami, private cars na magari ya kifahari,mandhari ya kimjini mjini kama ni mgeni ukiwa mazengo ukajichanganya majengo huko kwa kina vunja bei bila kusahau uhindini n.k wawezadhani uko kariakoo ndogo,
Dodoma CBD ina city vibes ukilinganisha na mwanza CBD.
MADHAIFU:
I. Ukarimu na kauli za kibiashara(customer care) ni "F"
II. Usafi ni "F'' mifereji inanuka vinyesi plus taka zinatupwa tu ovyo na hakuna hatua yeyote inachukuliwa mara mia na halmashauri ya manispaa ya Singida.
III. Upande wa Mahoteli na viwanja nawapa "D" demand bado nikubwa kuliko kilichopo, ukiiondoa Morena ambayo nayo ni yakawaida sana bado hakuna hotel za maana.
IV. Hali ya hewa ya vumbi la kuwasha macho, ukame na unusu jangwa, hata kama umetupia nguo mpya na Kali vipi zinaappear zimefubaa nakupaukiana achilia mbali baridi kali usiku. (Tushirikiane wote kuakikisha Sera ya Dodoma ya kijani inatekelezwa kwa vitendo)
V. Shida ya MAJI hapa usishangae chumba kimoja kikilipiwa 15k na kingine kinachofanana nacho kwa kila kigezo kikilipiwa 30k kumbe kigezo ni kimoja kina maji na kingine hakina. Jamani SERIKALI timizeni majukumu yenu mruhusu jiji hili lifunguke zaidi na likuwe maana kikwazo kikuu ni hiki kabla ya vingine.
But all in all ukiondoa mapungufu hayo machache, mwanza CBD inakalishwa benchi kipindi cha kwanza cha mchezo hata kabla ya kipyenga cha mwamuzi kuamuru game lianze.
TAKE HOME
Ninachoipendea Dodoma; UZALENDO kwani karibia asilimia 95 ya majengo yote, mabango na mapambo CBD lazima neno DODOMA litaappear unlike mwanza na sehemu zingine za Tanzania hii.
Sasa mji mpaka uanze kuutafuta huko makolongoni!!! Dodoma tuache ushabiki wakifanikiwa inshu ya maji yasambae kila mahali,litakuwa jj Kali Sana,kwanza kwa ss ,Dodoma umekuwa ni mji wa matajiri aise!!mkuu morogoro umefika kweli manake mji haupo pale msamvu bali unashuka chini kule
Nadhani unapaswa wewe kutafuta hiyo nauli kwanza ufike Dodoma maana ninavyoandika hapa muda huu nipo mwanza.Mkuu tafuta nauli ufike Mwanza kwanza kisha ndio uje uandike hapa,
Neno la mkazo kila mtu ubwabwaja anavyoamini bali lihalalishe kwa kutuonesha huyo mwanza ana nini cha ziada kumpiku domNaomba niwe mtu mwa mwisho kuchangia
Ndugu zangu tuache utani kwa kulinganisha mwanza na miji midogomidogo kama Dodoma . Shikeni hili after dsm is mwanza.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
dar ilipitishwa operation wakapungua ila kwa dodoma naona omba omba ni legal businessSiku za usoni Bunge litahamia Mji wa serikali kule sio pale mjini Kati.
Omba omba hata Dar na Nairobi wamejaa kwa sababu hiyo ndio miji yenye Watu wenye pesa.
mkuu ya dodoma iko sehem kama kariakoo tuseme msimbazi pale ndio ndege zinatuaIle si ni airport ndogo kama ilivyo kwa Miji mingi like Mbeya, Sumbawanga,Arusha nk..
Pili airport kubwa inajengwa pembeni ya ya Mji .By the way hata Airport ya Dar iko mjini katikati ya makazi,so hiyo sio hoja .
Hata ile stand ya Dom ni kubwa kuliko ya Magufuli ya Dar sema wameniudhi kwenye parking za magari ikijaa inatakiwa kurudi rivasi ndio iondoke,pale dizaini ilokosema ilitakiwa iende mbele ila ni stand nzuri Sana.
Afu watu wanajua kwamba Dom kinajengwa duala carriage za kuzidi,kuanzia ring road za Tanroads,hadi za Tarura kule mtumba na mjini Kati?
Huyu jamaa kakurupuka nilikuwa namrudisha tu relini asiichukulie poa Shinyanga kuilinganisha na Kahama, siku zote miji midogo yakibiashara kama Kahama mara nyingi uchangamka sana mjini na huwa na movement kubwa senta kiasi kwamba usipokuwa makini waweza dhani ni miji mikubwa ila ukichepuka kidogo tu pembeni unakumbana na vichaka vya nyasaka, bulyang'hulu na kagongwa-kahama kimoja.Kimeumana huku Khm vs Shy
Mwanza itabaki kua juu siku zote, hakuna mji ulio mwambao wa maji ukawa ni wa kifala, Ddm itajengwa lakini Mwanza siyo kwamba itakua imesimama la hasha, itakua inaendelea pia na ilisha jengwa toka zamani piaNajua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae kukabidhi crown very soon akiwemo mbabe Mwanza ambaye so far bado anahold title la jiji kubwa after DSM wakati DOM yeye akishikilia title la jiji la Kisasa zaidi after DSM hayo ndo maoni yangu utaki leta evidence kuwa MWANZA CBD nizaidi ya DODOMA CBD
Hivyo kwa heshima ya Dodoma mpya na ya kisasa ambayo kwa mtizamo wangu binafsi inaichapa Mwanza 3-0 kwenye ukubwa wa City Center (CBD)
Kuanzia majengo mengi ya ghorofa, ukisasa, mpangilio, bustani na round about nzuri, purchasing power (vitu bei ni juu na watu wana-afford) ndiyo maana mabasi makali na ghali mengi uanzia safari zake hapa kuelekea Dar nasiyo vinginevyo.
Kingine Dodoma CBD bado inakuwa kila sekunde mijengo inazidi chepushwa tena project za maana, ila Mwanza CBD haina jipya sana zaidi ya soko linalojengwa pale hamna kingine chakutarajia kwa sasa, kinachoiangusha Dodoma CBD ni ubaya wa soko lake kuu la majengo(ombi langu kwa mamlaka husika walifanyie mpango wa maboresho linafubaza jiji) ila kwingine huko kote ni fire.
CBD ya Dodoma inaichapa mwanza upande wa barabara za lami, private cars na magari ya kifahari,mandhari ya kimjini mjini kama ni mgeni ukiwa mazengo ukajichanganya majengo huko kwa kina vunja bei bila kusahau uhindini n.k wawezadhani uko kariakoo ndogo,
Dodoma CBD ina city vibes ukilinganisha na mwanza CBD.
MADHAIFU:
I. Ukarimu na kauli za kibiashara(customer care) ni "F"
II. Usafi ni "F'' mifereji inanuka vinyesi plus taka zinatupwa tu ovyo na hakuna hatua yeyote inachukuliwa mara mia na halmashauri ya manispaa ya Singida.
III. Upande wa Mahoteli na viwanja nawapa "D" demand bado nikubwa kuliko kilichopo, ukiiondoa Morena ambayo nayo ni yakawaida sana bado hakuna hotel za maana.
IV. Hali ya hewa ya vumbi la kuwasha macho, ukame na unusu jangwa, hata kama umetupia nguo mpya na Kali vipi zinaappear zimefubaa nakupaukiana achilia mbali baridi kali usiku. (Tushirikiane wote kuakikisha Sera ya Dodoma ya kijani inatekelezwa kwa vitendo)
V. Shida ya MAJI hapa usishangae chumba kimoja kikilipiwa 15k na kingine kinachofanana nacho kwa kila kigezo kikilipiwa 30k kumbe kigezo ni kimoja kina maji na kingine hakina. Jamani SERIKALI timizeni majukumu yenu mruhusu jiji hili lifunguke zaidi na likuwe maana kikwazo kikuu ni hiki kabla ya vingine.
But all in all ukiondoa mapungufu hayo machache, mwanza CBD inakalishwa benchi kipindi cha kwanza cha mchezo hata kabla ya kipyenga cha mwamuzi kuamuru game lianze.
TAKE HOME
Ninachoipendea Dodoma; UZALENDO kwani karibia asilimia 95 ya majengo yote, mabango na mapambo CBD lazima neno DODOMA litaappear unlike mwanza na sehemu zingine za Tanzania hii.
Wewe utakua ni mtoto mtoto hiviNdiko nilipo mpaka sasa hivi, jiji pekee hapa duniani ambalo ikifika saa mbili taa zinazokumulikia highway uone unapokwenda ni msaada wa bulbs za majumbani kwa watu..nadhani umeelewa naongelea nini.
Opportunity cost kwenye ubora wake, nahisi wakazi wa jiji la Mwanza walishawahi kukufanya kitu mbaya, hater namba moja wa Mwanzaππππ.Kama Mwanza ilishapigwa na Arusha,kwa Dom haiwezi hata kusogeza pua.
Ule mradi wa nyumba 1000 pale Medeli unatosha kushindana na mwanza yote.
Waliokupa like ni wale ambao hawaijui DomKilaza kweli wewe hii Dodoma yenye ghorofa mbili iizidi City center ya Mwanza [emoji32]
Hapa kuna ghorofa moja tu jipya nalo ni hotel iliyopo karibu na white house nimeisahau jina owner nadhani ni serikali design mbaya ya kizamani kabisa.
Kwingine hakuna ni vijumba uchafu, ndio maana hata Vunjabei ya Dodoma ni robo ya ukubwa wa ile iliyopo Iringa.
Biashara za oneway na 7/7 zotee zinafungwa kuanzia saa 1 yani saa mbili ni mji unaanza kulala.
Usafiri wa kutoka city center ya wagogo saa tatu ni unabahatisha daladala bajaj ndio wana double bei.
Purchasing power ni ya hovyo wengi ya wanunuzi wa bidhaa za hawa wakoma ni wanafunzi na wafanyakazi wengine ni mandezi tu
Mwanza ni Jiji la hovyo kabisaOpportunity cost kwenye ubora wake, nahisi wakazi wa jiji la Mwanza walishawahi kukufanya kitu mbaya, hater namba moja wa Mwanzaππππ.
Watakwambia eti Mwanza inachukiwa ππ..Mwanza bado wako ndotoni japo wanaelewa ujio wa Dodoma ni shida kwa sasa maji yapo shingoni, almost project zote anazosubiria mwanza zikamilike na Dodoma vile vile zitakuwepo au zipo tiyari isipokuwa vichache tu kulingana na jiografia; na kingine tukilinganisha project zote ambazo zinajengwa na za baadae nina hakika bado Mwanza anakalishwa.
Lakini si ni uwanja wa mda tuu huomkuu ya dodoma iko sehem kama kariakoo tuseme msimbazi pale ndio ndege zinatua
Jikazeni hasa kwenye Kasi ya kufyatua watoto huenda mkaendelea kuwa second City in terms of number of people ππSasa sisi wasukuma roho zinatuuma sana Mwanza kupoteza sifa iliyokua nayo zamani [emoji23]
Majengo marefu ni kuanzia ghorofa ngapi mkuu?Kwa "mtazamo wangu mimi Dodoma inaienda kuipita Mwanza au tayari ilishaipita Mwanza kwa ukubwa wa Jiji. Idadi ya majengo marefu Dodoma inaweza ikawa imeipita Mwanza kwa sababu mwanza Majengo yake marefu yamekusanyika sehemu Moja tofauti na Dodoma ambapo ni mengi ila yapo scattered.
Kwa upande wa barabara Mwanza tayari imeshaachwa parefu sana.
In Short Mwanza ni kama imefikia mwisho kuendelezwa.