Uzuri wake ni nini? Tufanye comparison, kimwonekano stendi yenu ya dodoma imekaa kama msalaba jengo kubwa lisilokuwa na mvuto ata kidogo, kuna nini cha kuvutia hapo?Mie sio hater wa Mwanza ila terminal ya Dodoma ni nzuri kuzidi hii
💉💉💉💉😂😂😂😂Jifunze kupost, hapo kuna uswazi gani unajua gharama za kujenga nyumba kwwnye mlima? Kiufupi wewe ni mpumbavu tu.
Mkuu wa chuo unatafutwa
Nimeishi Miyuji 4 months uliyosema yanaukweli 99.9%Niko Dodoma jamani msifananishe na Mwanza baasi,Dodoma huku maji shida nkuhungu yanatoka kw awimi Mara mbili?
Daladala mwisho saa mbili usiku ?kuanzia saa nne imekula kwako?
Dodoma hii au nyingine?sijawahi ishi Mwanza nilipita lakini kwa mashosti zangu wanaoishi huko it is better than Dodoma!
Dodoma Hapa yaani mji ukifika saa mbili umepoa sehemu iliyochangamka ni chako ni chako tu!kaahhh!
Wewe nawe mara Moja Moja utumie akili zako, kuunzwa viwanja ni kitu unique kwako mbona unakuwa falla kila siku???.Naona haters wakijifariji kwa ujinga 😁😁.
Dom is untouchable 👇
Point kubwa sanaHivi watu wa Mwanza mnaonaje tukiondoka kwenye huu Uzi Sababu ni Kama tunajishusha hadhi tuView attachment 2375241
Nilitaka nisiwe najibu lakini vidole huwa vinaniwasha washa😂😂😂Hivi watu wa Mwanza mnaonaje tukiondoka kwenye huu Uzi Sababu ni Kama tunajishusha hadhi tuView attachment 2375241
Hvyo vitu ulivyovitaja ungepost mtaa wa mji wako na uvionyeshe ..hyo ni Peri urban pembeni mwa jiji kabisa nilikuwa nacompare mitaa yenu ya hapo kisasaHii ni nn unaonyesha hapa? No paved roads,no street boundaries, no pedestrian walkways no street light ,this is a village
Pole ..hata hvyo ni Maoni yako ,,kama mmi navyooona stendi ya singida ni nzuri kuliko mbezi terminalMie sio hater wa Mwanza ila terminal ya Dodoma ni nzuri kuzidi hii
Uzi utaseize wenyewe tu automatically..kama ilivyo Arusha vs mwanza ......Hivi watu wa Mwanza mnaonaje tukiondoka kwenye huu Uzi Sababu ni Kama tunajishusha hadhi tuView attachment 2375241
Nilikuwa nakaa changombe jirani na mbwanga huku ,,,miezi kama hii ni shida tupu vumbi na baridi kavu lenye upepo . maji ni shida ,,,,af maji yenyew ukinywa hayana ladha full magadi ..Niko Dodoma jamani msifananishe na Mwanza baasi,Dodoma huku maji shida nkuhungu yanatoka kw awimi Mara mbili?
Daladala mwisho saa mbili usiku ?kuanzia saa nne imekula kwako?
Dodoma hii au nyingine?sijawahi ishi Mwanza nilipita lakini kwa mashosti zangu wanaoishi huko it is better than Dodoma!
Dodoma Hapa yaani mji ukifika saa mbili umepoa sehemu iliyochangamka ni chako ni chako tu!kaahhh!
Analeta facilities za kama ulaya akijisahaulisha kuwa hapa ni Tanzania.Hvyo vitu ulivyovitaja ungepost mtaa wa mji wako na uvionyeshe ..hyo ni Peri urban pembeni mwa jiji kabisa nilikuwa nacompare mitaa yenu ya hapo kisasa
hakika ata mimi naona stendi ya bariadi ni nzuri kuliko stendi ya Dodoma.Pole ..hata hvyo ni Maoni yako ,,kama mmi navyooona stendi ya singida ni nzuri kuliko mbezi terminal
Hao wanajiita watu wa Dar kutwa nzima kupondea wenzao wa mikoa kama vile Dar sio mkoa.Nilikuwa nakaa changombe jirani na mbwanga huku ,,,miezi kama hii ni shida tupu vumbi na baridi kavu lenye upepo . maji ni shida ,,,,af maji yenyew ukinywa hayana ladha full magadi ..
Hapo ni nera kama sikosei mkuu.Ukiwa unatokea geita, sengerema ndani ya ferry..utakutana na view safi kama hii[emoji116][emoji116][emoji116]u feel kuingia jijini kweli .....View attachment 2375265
Huu uzi mimi ndio nitakuwa wa mwisho kutoka humu tuombe tu uzima lakini na wewe kamanda huwa nakukubali sana.Uzi utaseize wenyewe tu automatically..kama ilivyo Arusha vs mwanza ......
Mi mwanangu kwenye kubishana Huwa sichoki [emoji16][emoji16]