Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Mwanza ni aibu tupu,huto tujengo tumesungukwa na mauchafu disorganized City [emoji51][emoji51]..

Huwezi nikuta naisha kwenye miji ya kifala.kama Mwenza Mji kama zizi la ng'ombe [emoji23][emoji23]..

Mwanza na Mbeya no difference kabisaa.
No excuse hapa ....Leo huchomoki ....hatuna haja na hadithi. Zako dOzi haijakutosha[emoji116][emoji116]...
Shopping center.. ilemela mwanza . Dodoma mna nini tofauti na shopper's [emoji16][emoji16][emoji16]
1662062284900.jpg
FB_IMG_1661621475562.jpg
 
Naongea wivu Dodoma sio Mwanza maana hakuna Cha kuonea wivu hapo..

Dodoma [emoji116]
Maskinj anarudia tujengo tule tule [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aisee Leo umepatwa ..Sindano ni Kali .mno nimekauambia uniletee vilas umeshindwa bas niletee financial district yenu [emoji116][emoji116]..
JamiiForums1455319007.jpg
images (25).jpg
JamiiForums-1456315326.jpg
 
Mwanza ni aibu tupu,huto tujengo tumesungukwa na mauchafu disorganized City [emoji51][emoji51]..

Huwezi nikuta naisha kwenye miji ya kifala.kama Mwenza Mji kama zizi la ng'ombe [emoji23][emoji23]..

Mwanza na Mbeya no difference kabisaa.
Usilinganishe mwanza na upuuzi wa kwenu huko [emoji116]
Niko tayari kukutafsiria njoo PM maana najua wew shule kwako ni tatizo ..
Wakati nyie mkisubiri project hotuba ya msalato huku mambo tayari ....we are bound to south Africa flight na brussel flight soon. ......nani aje huko ugogoni
PSX_20221011_200653.jpg
PSX_20221011_200625.jpg
PSX_20221011_200550.jpg
 
Nyie mnabishana humu wote ni WATANZANIA au?
Mnapenda ligi sana aisee, natamani TAMISEMI wawaunge mkono kwenye hizi ligi zenu ili wayafanyie kazi mapungufu..
 
Nyie mnabishana humu wote ni WATANZANIA au?
Mnapenda ligi sana aisee, natamani TAMISEMI wawaunge mkono kwenye hizi ligi zenu ili wayafanyie kazi mapungufu..
Hizi ligi huwa nazipenda xn kwasababu zinafurahisha na kuchangamsha, pia tunajifunza na kupata elimu mbalimbali humu.
 
Dodoma ina kata 41 ilemela kata 19 lakin inazidiwa population na ilemela
Wingi wa kata sio sababu Mwanza ina 546km² na Dodoma inazaid ya 2000km² but bado mwanza ipo more urbanised kuliko Dodoma kwan Dodoma inaeneo kubwa lakin eneo lililo urbanised ni less than 100km²
 
Wingi wa kata sio sababu Mwanza ina 546km² na Dodoma inazaid ya 2000km² but bado mwanza ipo more urbanised kuliko Dodoma kwan Dodoma inaeneo kubwa lakin eneo lililo urbanised ni less than 100km²
Yaani kiufupi Dodoma bado ni machaka na misitu ya mibuyu, ndio maana sikushangaa Tembo walivyoibukia Udom
 
Mwanza ni Kijiji cha hovyo wanastahili kuishi watu wasio wastaarabu maana kuko.kama zizi..

Dom 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221014-205710.png
    Screenshot_20221014-205710.png
    372.8 KB · Views: 11
  • IMG_1459.jpg
    IMG_1459.jpg
    161.5 KB · Views: 11
Yaani kiufupi Dodoma bado ni machaka na misitu ya mibuyu, ndio maana sikushangaa Tembo walivyoibukia Udom
Dodoma ni Jiji planned sio zizi..Tanzania inajivunia Majiji 3 tuu bayo ni,
Dar,
Dom,
Arusha..

Huko kwingine ni mkusanyoko wa watu na slums tuu.
 
Dodoma ni Jiji planned sio zizi..Tanzania inajivunia Majiji 3 tuu bayo ni,
Dar,
Dom,
Arusha..

Huko kwingine ni mkusanyoko wa watu na slums tuu.
...
Siku dodoma ikifika hapa [emoji116].nitag huku hamna outdated uniform housing .kama kota za NHC kisasa... private investment is on [emoji91]
Ujenzi wa flats /residential apartment [emoji116][emoji116]...jiji la sato rini aka rock city
20221015_214422.jpg
20221015_214921.jpg
 
Back
Top Bottom