Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

wewe mwenye akili tuambie dodoma ina fursa gani kuzidi Mwanza?
Unaelewa maana ya neno investment?

Kuwa tuu Capital City tayari ni fursa ndio maana kuna investment..

Hayo ya sijui serikali mara wenyewe ni blaa blaa zisizo na mwingi.

Kwani umeambiwa Kuna siku investment utakoma kufanyika? Iwe ya serikali au sekta binafsi?
 
acha poroja tuambie hizo fursa au investment zilizopo dodoma na sisi tuje huko, au hizo investiment ni majengo ya wizara kwenye mji wa kiserikali mtumba?
 
acha poroja tuambie hizo fursa au investment zilizopo dodoma na sisi tuje huko, au hizo investiment ni majengo ya wizara kwenye mji wa kiserikali mtumba?
Nimekwambia kuwa tuu Capital City ni fursa tosha usiwe mjinga..

Kwa hiyo serikali inafanya investment tembo mweupe au?

Nianze kukuambia kwani wewe huoni na hujui Cha kufanya? Kwanj hujui Dom kuna watu wenye kipato cha uhakika wengi ambao ni spenders zaidi?
 
unaweza kuwa na kipato cha uhakika cha kuwanyonya wananchi kwa kufuja kodi kwa maslahi yako binafsi, mimi naomba fursa zilizopo dodoma acha porojo na mbwembwe za kishamba.
 
Kama mlivyopigwa bus terminal,,,Dodoma mmepigwa tena vibaya SGR ..vitu kwaliti vimepelekwa major cities dar and mwanza ....,,,,imagine mwaka 2027 mwanza itakuwaje like Tokyo [emoji116]
 
😁😁😁😁 Ila ujinga ni mzigo aisee..

Kwa hiyo hizi nyumba ni Serikali inajenga?πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221023-105530.png
    148.4 KB · Views: 13
  • Screenshot_20221023-074713.png
    196.8 KB · Views: 15
  • Screenshot_20221023-074300.png
    142.7 KB · Views: 13
  • Screenshot_20221023-074043.png
    229.5 KB · Views: 13
  • Screenshot_20221023-074213.png
    195.8 KB · Views: 11

Attachments

  • Screenshot_20221023-105400.png
    136.3 KB · Views: 10
Ukitoa muhimbili kuna hospitali gani hapa Tanzania inaweza ikaribia Hospital ya bugando kwa kutoa huduma mbalimbali za kibingwa na kibobezi.
*Bado mnasafari
Bugando inajenga cardiac institute
Baada ya Muhimbili ni Benjamin Mkapa Hospital Dodoma
 
Unaongelea mashenzini Njombe🀣🀣
Huna hoja ndio maana unatukana hovyo kama unashindia mavi ya mbwa..

Ni hivi kama huna adabu basi ona aibu basi,Takataka inaayoita Mwanza sio ya Kushindana na Dom,the Capital City πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221023-120911.png
    150.1 KB · Views: 13
  • Screenshot_20221023-120757.png
    149.3 KB · Views: 14
  • Screenshot_20221023-120818.png
    147.1 KB · Views: 14
Huna hoja ndio maana unatukana hovyo kama unashindia mavi ya mbwa..

Ni hivi kama huna adabu basi ona aibu basi,Takataka inaayoita Mwanza sio ya Kushindana na Dom,the Capital City πŸ‘‡
Hii Dom ninayo ifahamu au Dodoma ambayo hujawahi fika zaidi ya kupata msaada wa Google
 
Huna hoja ndio maana unatukana hovyo kama unashindia mavi ya mbwa..

Ni hivi kama huna adabu basi ona aibu basi,Takataka inaayoita Mwanza sio ya Kushindana na Dom,the Capital City πŸ‘‡
Fika kwanza Dodoma ndo uongee hizi pumba unazozisema Hapa
 

Attachments

  • Screenshot_20221025-120352.png
    223.4 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221025-120402.png
    205.5 KB · Views: 15
  • Screenshot_20221026-083509.png
    142.7 KB · Views: 12
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…