The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Unaelewa maana ya neno investment?wewe mwenye akili tuambie dodoma ina fursa gani kuzidi Mwanza?
acha poroja tuambie hizo fursa au investment zilizopo dodoma na sisi tuje huko, au hizo investiment ni majengo ya wizara kwenye mji wa kiserikali mtumba?Unaelewa maana ya neno investment?
Kuwa tuu Capital City tayari ni fursa ndio maana kuna investment..
Hayo ya sijui serikali mara wenyewe ni blaa blaa zisizo na mwingi.
Kwani umeambiwa Kuna siku investment utakoma kufanyika? Iwe ya serikali au sekta binafsi?
Nimekwambia kuwa tuu Capital City ni fursa tosha usiwe mjinga..acha poroja tuambie hizo fursa au investment zilizopo dodoma na sisi tuje huko, au hizo investiment ni majengo ya wizara kwenye mji wa kiserikali mtumba?
unaweza kuwa na kipato cha uhakika cha kuwanyonya wananchi kwa kufuja kodi kwa maslahi yako binafsi, mimi naomba fursa zilizopo dodoma acha porojo na mbwembwe za kishamba.Nimekwambia kuwa tuu Capital City ni fursa tosha usiwe mjinga..
Kwa hiyo serikali inafanya investment tembo mweupe au?
Nianze kukuambia kwani wewe huoni na hujui Cha kufanya? Kwanj hujui Dom kuna watu wenye kipato cha uhakika wengi ambao ni spenders zaidi?
Umeandika pumba,soma upyaunaweza kuwa na kipato cha uhakika cha kuwanyonya wananchi kwa kufuja kodi kwa maslahi yako binafsi, mimi naomba fursa zilizopo dodoma acha porojo na mbwembwe za kishamba.
Acha kuwaza kama hukusoma,Wingi wa kata sio wingi wa wakazi,Watu wanapenda kuishi sehemu yenye mzunguko wa biashara ,Unafikiri ni kwann Dar kuna watu wengi kuliko Katavi?Dodoma ina kata 41 ilemela kata 19 lakin inazidiwa population na ilemela
Station mbili Kali ndani ya jiji Moja ....aisee mwakaa mtakufa Kwa wivu
Usisahau two terminals in one place yaaani fela na Mwanza townKama mlivyopigwa bus terminal,,,Dodoma mmepigwa tena vibaya SGR ..vitu kwaliti vimepelekwa major cities dar and mwanza ....,,,,imagine mwaka 2027 mwanza itakuwaje like Tokyo [emoji116]View attachment 2392126View attachment 2392127View attachment 2392128
yaani mnabishana na Sanki Kosti Farasi...?! dish limeyumba...Usisahau two terminals in one place yaaani fela na Mwanza town
Asaa wengne wamekimbia uziyaani mnabishana na Sanki Kosti Farasi...?! dish limeyumba...
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
ππππ Ila ujinga ni mzigo aisee..Mnachiahindwa kuelewa ni kwamba Dodoma kwa kiwango kikubwa inajengwa na serikali tofauti na mwanza .Mwanza inajengwa na wananchi wake na wafanya biashara chagua mkoa kati ya dodoma na mwanza ni wapi unaweza kutoboa kibiashara kilimo uone utaenda wapi mkoa wa dodoma chanzo cha mapato sijui ni zabibu hata siielewi kabisaa
Wakati unaendelea na kushangilia render,Dodoma lami zinatandikwa kila sehemu πKama mlivyopigwa bus terminal,,,Dodoma mmepigwa tena vibaya SGR ..vitu kwaliti vimepelekwa major cities dar and mwanza ....,,,,imagine mwaka 2027 mwanza itakuwaje like Tokyo [emoji116]View attachment 2392126View attachment 2392127View attachment 2392128
Baada ya Muhimbili ni Benjamin Mkapa Hospital DodomaUkitoa muhimbili kuna hospitali gani hapa Tanzania inaweza ikaribia Hospital ya bugando kwa kutoa huduma mbalimbali za kibingwa na kibobezi.
*Bado mnasafari
Bugando inajenga cardiac institute
Huna hoja ndio maana unatukana hovyo kama unashindia mavi ya mbwa..Unaongelea mashenzini Njombeπ€£π€£
Hii Dom ninayo ifahamu au Dodoma ambayo hujawahi fika zaidi ya kupata msaada wa GoogleHuna hoja ndio maana unatukana hovyo kama unashindia mavi ya mbwa..
Ni hivi kama huna adabu basi ona aibu basi,Takataka inaayoita Mwanza sio ya Kushindana na Dom,the Capital City π
Fika kwanza Dodoma ndo uongee hizi pumba unazozisema HapaHuna hoja ndio maana unatukana hovyo kama unashindia mavi ya mbwa..
Ni hivi kama huna adabu basi ona aibu basi,Takataka inaayoita Mwanza sio ya Kushindana na Dom,the Capital City π
Dodoma City πFika kwanza Dodoma ndo uongee hizi pumba unazozisema Hapa