Kwa Msaada wa GoogleDodoma City π
Unatia huruma.kijumba uchwara kimoja hicho umekscreen shot bas unakituma tuma ...usijisahualishe [emoji116][emoji116]Dodoma City [emoji116]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Ila ujinga ni mzigo aisee..
Kwa hiyo hizi nyumba ni Serikali inajenga?[emoji116]
Dodoma City [emoji116]
Watu wa Mwanza mumejiandaa Kisaikolojia lakini?We sema ni darari wa dodoma unatangaza account yako kwa wanaitaji viwanja wakutafute
Wajenge tu tutaenda kusoma.Watu wa Mwanza mumejiandaa Kisaikolojia lakini?
ICT Centre of Excellence inaenda kujengwa Nala Dodoma π
Tafuta kwa kuficha USO wako Kwa aibu..unapanua.sana mdomo badala ya ulete vitu kwa ground.Et kiwanja kipo karibu na rami m 42 iv mwanza kiwanja cha kwenye rami unaweza kukigusa kweli ukihitaji tu watu wanajua unataka kuweka sheli utapasuka wewe msiwe mnaifananisha Mwanza na huu upuuzi dodoma ndio inakuja bado maeneo yako hayajawa na thaman kama mwanza afu ongea na madalali wa mwanzako na shida na kiwanja mwanza cha rami capri point au luchelele ni bei gan
Dom kama Dom..Fika kwanza Dodoma ndo uongee hizi pumba unazozisema Hapa
Excuses ππππ.Hii Dom ninayo ifahamu au Dodoma ambayo hujawahi fika zaidi ya kupata msaada wa Google
Kuifanaisha Mwanza na Dodoma sio fair.Excuses [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12].
Dodoma is the next after Dar [emoji116]
Uko sahihi sema watu wabishi tu, miaka 5-10 ijayo Dodoma itakuwa jiji la pili kwa ukubwa TzMkuu ni suala la muda maana Dodoma inakuja kwa kasi ya 5G huku Mwanza inachechemea
Kama kawaida yako afisa masoko ...wa viwanja na vijumba naona mabas yamekushinda [emoji28][emoji28]Dom kama Dom..
Classic resident Houses [emoji116]
NeverUko sahihi sema watu wabishi tu, miaka 5-10 ijayo Dodoma itakuwa jiji la pili kwa ukubwa Tz
Wakati huo ..mwanza imevunjwa miguu au ........fatilia growth rate ya miji ndio uje usemeeUko sahihi sema watu wabishi tu, miaka 5-10 ijayo Dodoma itakuwa jiji la pili kwa ukubwa Tz
Mwanza huwezi Kuta nyumba classic kama hizo, zinapatikana Dom, Mbeya,Arusha na Dar tuuKama kawaida yako afisa masoko ...wa viwanja na vijumba naona mabas yamekushinda [emoji28][emoji28]
Ukiniletea street road smart kama hizi ndio nitaamini huo maneno...Mwanza huwezi Kuta nyumba classic kama hizo, zinapatikana Dom, Mbeya,Arusha na Dar tuu
Kuhusu Barabara Dom ilishasahau maana Dom City ndio inaongoza hapa Tanzania kwa kuwa na mtandao mkubwa wa lami,hata Dar haifiki sembuse huto tubarabara twa kutafutiza hapo Mwanza..Ukiniletea street road smart kama hizi ndio nitaamini huo maneno...
Barabara za mtaani ..mitaa smart kama hii[emoji116]View attachment 2401817View attachment 2401818View attachment 2401819View attachment 2401820View attachment 2401821View attachment 2401822View attachment 2401823View attachment 2401824View attachment 2401825View attachment 2401826
Maumivu yakizidi tafadhari kamuone daktari..