Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Dodoma City [emoji116]
Unatia huruma.kijumba uchwara kimoja hicho umekscreen shot bas unakituma tuma ...usijisahualishe [emoji116][emoji116]
20221025_210737.jpg
 
Dodoma City [emoji116]

Et kiwanja kipo karibu na rami m 42 iv mwanza kiwanja cha kwenye rami unaweza kukigusa kweli ukihitaji tu watu wanajua unataka kuweka sheli utapasuka wewe msiwe mnaifananisha Mwanza na huu upuuzi dodoma ndio inakuja bado maeneo yako hayajawa na thaman kama mwanza afu ongea na madalali wa mwanzako na shida na kiwanja mwanza cha rami capri point au luchelele ni bei gan
 
We sema ni darari wa dodoma unatangaza account yako kwa wanaitaji viwanja wakutafute
Watu wa Mwanza mumejiandaa Kisaikolojia lakini?

ICT Centre of Excellence inaenda kujengwa Nala Dodoma 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221029-153526.png
    Screenshot_20221029-153526.png
    81.4 KB · Views: 13
  • Screenshot_20221029-153911.png
    Screenshot_20221029-153911.png
    32.8 KB · Views: 14
Et kiwanja kipo karibu na rami m 42 iv mwanza kiwanja cha kwenye rami unaweza kukigusa kweli ukihitaji tu watu wanajua unataka kuweka sheli utapasuka wewe msiwe mnaifananisha Mwanza na huu upuuzi dodoma ndio inakuja bado maeneo yako hayajawa na thaman kama mwanza afu ongea na madalali wa mwanzako na shida na kiwanja mwanza cha rami capri point au luchelele ni bei gan
Tafuta kwa kuficha USO wako Kwa aibu..unapanua.sana mdomo badala ya ulete vitu kwa ground.

Dodoma inakimbia sio mchezo 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221029-152703.png
    Screenshot_20221029-152703.png
    132.2 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221029-152650.png
    Screenshot_20221029-152650.png
    122.1 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221029-152639.png
    Screenshot_20221029-152639.png
    121.2 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221029-152619.png
    Screenshot_20221029-152619.png
    104.3 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221029-152545.png
    Screenshot_20221029-152545.png
    141.3 KB · Views: 11

Attachments

  • Screenshot_20221028-115706.png
    Screenshot_20221028-115706.png
    180.9 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221028-134304.png
    Screenshot_20221028-134304.png
    196 KB · Views: 12
  • Screenshot_20221028-111744.png
    Screenshot_20221028-111744.png
    241 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221028-192027.png
    Screenshot_20221028-192027.png
    208 KB · Views: 12
  • Screenshot_20221028-192426.png
    Screenshot_20221028-192426.png
    204.6 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221029-152040.png
    Screenshot_20221029-152040.png
    195.3 KB · Views: 10
Hii Dom ninayo ifahamu au Dodoma ambayo hujawahi fika zaidi ya kupata msaada wa Google
Excuses 😜😜😜😜.

Dodoma is the next after Dar 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221027-222745.png
    Screenshot_20221027-222745.png
    307.3 KB · Views: 11
  • Screenshot_20221027-222838.png
    Screenshot_20221027-222838.png
    263.9 KB · Views: 10
Kuhusu Barabara Dom ilishasahau maana Dom City ndio inaongoza hapa Tanzania kwa kuwa na mtandao mkubwa wa lami,hata Dar haifiki sembuse huto tubarabara twa kutafutiza hapo Mwanza..

Capital City Machinga Complex Dodoma 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221030-082733.png
    Screenshot_20221030-082733.png
    133.1 KB · Views: 12
  • 20221030_082716.jpg
    20221030_082716.jpg
    254.6 KB · Views: 11
Back
Top Bottom