bronze
JF-Expert Member
- May 24, 2020
- 430
- 803
Kwahiyo hadi airport ulitaka sisi wanamwanza tujikusanye tujijengee![emoji849][emoji849] Sisi hatujengewi na Serikali [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo hadi airport ulitaka sisi wanamwanza tujikusanye tujijengee![emoji849][emoji849] Sisi hatujengewi na Serikali [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Sasa nyingi kivipi na hii ni picha ya jengo moja, kwa hiyo unataka ligi ya jengo mojamoja ama?Kwamba hujui structures nyingi hapo Dom ziko under construction au ndio staili ya kujifariji? [emoji23][emoji23]
Dom Capital City
View attachment 2081332
View attachment 2081333
View attachment 2081334
View attachment 2081335
View attachment 2081336
View attachment 2081337
Kile kiwanja Cha Moshi Cha Soweto kipo location nzuri na kina eneo kubwa huwezi fananisha na Cha DodomaSasa hapa unatetea nini? Inshu ni kuwa kiwanja cha moshi kipo wapi kama siyo hapo jirani na soweto-veta, kuhusu international kama KIA nani amekwambia Dodoma haina mpango wa kuwa na DIA
Dodoma lazima ikue kwa kasi kwa sababu ya serekali kuwekeza nguvu kubwa, sio ajabu kuipita mwanzaNilikua Mwanza 2018, Arusha 2021, Dodoma 2018 na kisha 2022. Mtoa mada upo sahihi kwa hoja ya Dodoma kukua kwa kasi hasa kuongezeka kwa majengo marefu (maghorofa) na mandhari nzuri kwani nimenotice the difference. Hata hivyo bado haijaifikia Mwanza, kidogo inaanza kuisogelea Arusha kwa experience yangu.
Hizi ni list za majengo yenye ghorofa kuanzia 10 mpaka 13 naomba Mwanza kama mna ubavu leteni list yenu hapa kuipiku hii;
1. D.S Hotel Dodoma tower
2. Dodoma city hotel
3. LAPF Tower
4. MCT
5. PSPF
6. Uchaguzi house
7. PSSSF HOUSE
8.GENWILL HOTEL APARTMENTS
9. MMA HOUSE OF BEAUTY
10. KAMBARAGE TOWER
Nashangaa wanapojipiga kifua huku wanaitegemea serikali iwaokoe at least wapate cha kuonesha mbele ya dodoma[emoji849][emoji849] Sisi hatujengewi na Serikali [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Dodoma bado sana kiongozi.Wewe ndio akili yako imeathiriwa na Kansa zilizotamalaki huko Mwanza.
Ni hivi nimeweka render na picha za ujenzi unaoendelea.
Huko ni kutapatapa ,Dom ishawakalia kichwani sasa mna suffocate
Nikiweka render za project za jiji la mwanza sizitafika ata 100.Na wewe weka render
Kumbe mnaviwanda kumi!!!!!
We nae umeanza kulala wakati unacomment yaani sababu ya kukishambulia kiwanja chenye vigezo vyote vya miundombinu muhimu, vifaa vya usalama na uzio, terminal ndogo na run way ndefu kuliko hata kile cha Mwanza ni nini hasa au unafikiri ukubwa wa kiwanja ni eneo la nyasi? Pale tunachoangalia ni eneo la kuwezesha ndege kutua nakupaki ambavyo vyote vipo na ni lami na zege safi.Kile kiwanja Cha Moshi Cha Soweto kipo location nzuri na kina eneo kubwa huwezi fananisha na Cha Dodoma
Zaidi ya hapo cbd ,huko kwingine ni slums tupu 😆
Kumbe mnaviwanda kumi!!!!!
Hiyo taarifa ni ya 2018,unajifanya hujui kusoma?Kumbe mnaviwanda kumi!!!!!
Renda ambazo will never materialiseNikiweka render za project za jiji la mwanza sizitafika ata 100.
Wamekuja wengi kama wewe wameishia kuondoka kwa adabu mikono nyuma huku wameinamisha vichwa kwa aibu baada ya kugundua mwanza yao imenyewa ile mbaya na DodomaAcha kufananisha Mwanza na vitu vya hovyo ww. Hapo Dodoma kuna kitu gani cha kuizidi Mwanza, there is no way Dodoma ikaipita Mwanza labda miaka kumi mbele na apo u-assume Mwanza imesisma haiendelei kitu ambacho hakipo. Jipange upya
Bado kulinganisha na Dar na sio takataka zingine kama MwanzaDodoma bado sana kiongozi.
1.Nssf capripointHizi ni list za majengo yenye ghorofa kuanzia 10 mpaka 13 naomba Mwanza kama mna ubavu leteni list yenu hapa kuipiku hii;
1. D.S Hotel Dodoma tower
2. Dodoma city hotel
3. LAPF Tower
4. MCT
5. PSPF
6. Uchaguzi house
7. PSSSF HOUSE
8.GENWILL HOTEL APARTMENTS
9. MMA HOUSE OF BEAUTY
10. KAMBARAGE TOWER
Orodhesha yote ukimaliza niambie,nakupa mtaa mmja tuu wa apartment una clear hiyo ragage1.Nssf capripoint
2.Tecno tower
3.Mongo tower
4.Ekaclif
5.nssf town
6.Gold crest
7.seif plaza
8.liberty tower
9.Tivoli texas tower, pepsi
10.Bajber, rufiji new
11.Maduhu, uhuru new
12bugando
NB.ukitaka mengine nambie nikutumie pamoja na picha.