Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Hivi haters mnaona ninacho kiona kweli [emoji1787][emoji1787]
2374419_2019-06-28.jpg
2362163_72281748_748387915606446_5236076857730134477_n.jpg
2276968_1579434030806.jpg
2361191_2018-06-15.jpg
images%20(2).jpg
 
[emoji23][emoji23] wewe ni mwehu kabisa hata nashindwa tunabishania nini yani inanaanisha mwanza ina supermarkets chache kuliko dodoma! Seriously Yan et mna kumbi za starehe kuliko mwanza! Haya tueekee hapa picha ya mji wa dodoma tuone huo mji wa kisasa na uliopanuka unaousema, jaman watu wa Mwanza hebu tusibishane na hawa watu kwa maana nimegundua ni kupoteza muda, haya Dodoma ipo juu ya Mwanza umefurahi sasa?
Acha mipasho kama inakuuma sana mwanza kuvikosa vitu hivyo kwanini usinyamaze na kama ukiona ujatendewa haki vilete uthibitishe kuwa vipo kwani shida iko wapi mbona unaneng'eneka kike
 
Ile kitu Dodoma anamfanyia Mwanza kwenye uzi huu si poa kabisa; Yaani katoto ka juzijuzi tu hapa kamemtandika mkubwa mpaka ametubu;

Maeneo aliyoongoza Mwanza mpaka sasa dhidi ya mpinzani wake;

1. Ukubwa wa jiji

2. Maisha nafuu/duni

3. Idadi kubwa ya watu

4. Viwanda

5. Slums

6. Maji

7. Bandari na meli

8. Hali ya hewa

9. Poor infrastructure I.e barabara, taa, stendi n.k

10. Umasikini

Maeneo aliyoongoza Dodoma dhidi ya mpinzani wake;

1.Jiji la kisasa.

2. Kasi ya ukuaji na utanukaji wa jiji.

3. Mpangilio (hapa inaeleweka mwanza ni jiji la zero planning)

4. Shopping malls& super markets (mwanza hakuna hata mini zaidi ya rockcity mall)

5. Barabara za lami (Zoo hapa imepigwa miles ndefu)

6. Estates (mwanza hakuna)

7. Idadi ya jumla ya majengo yote ya ghorofa juu ya ardhi kwa jiji zima (ukiunganisha majengo ya CBD na UDOM pekee Mwanza chali kifo cha mende bila kuigusa Mtumba,kisasa,maeneo ya Estates,CBE, makole, majengo ya idara mbalimbali za umma na binafsi yaliyopo njia ya Kikuyu avenue n.k)

8. Majengo ya ghorofa ndefu za kufikia ghorofa kumi (imedhihirika mwanza ni ndoto kuna ghorofa moja tu la flow 16 basi)

9. Mzunguko wa pesa dom nimkubwa pamoja na purchasing power.

10. Wakazi wengi wanakipato cha kati na cha juu.

11. Facilities za mikutano, kumbi kubwa kwa ajili ya dhifa na vikao vya ndani na vya kimataifa.

12. Makao makuu ya serikali na wizara zote. I.e ofisi za wizara, jeshi,bunge na ikulu.

13. Kuna high demand ya huduma, starehe na accommodation kutokana na kipato kizuri hivyo spending nikubwa na wafanyabiashara wananufaika zaidi kuliko mwanza.

14. Idadi ya Round about na maeneo bora ya bustani za kupumzikia mjini

15. Makao makuu ya madhehebu kadhaa kama anglikana na nyumbani kwa misikiti mikubwa zaidi Tanzania.

16. Nyumbani kwa chuo kikuu kikubwa zaidi Afrika ya mashariki-UDOM na Taasisi ya moyo- Benjamini Mkapa.

17. Stendi na Soko la kisasa.

Matarajio ya Mwanza katika hatua za ujenzi au utekelezaji wa miradi iliyo kwenye mpango wa matekelezo:

1. SGR

2. Meli

3. Daraja la busisi

4. Airport

5. Stendi za magari

6. Soko kuu

Matarajio ya Dodoma katika hatua za ujenzi au utekelezaji wa miradi iliyo katika mpango wa matekelezo:

1. SGR

2. Bandari kavu

3. Ujenzi wa mji wa serikali au magufuli city

4. Ujenzi wa barabara za dual carriages way za njia nne katika barabara kuu nne za kuunganisha jiji la Dodoma pamoja na mikoa inayoizunguka dodoma.

5. Ukamilishaji wa nyumba za kuishi 1000 katika mradi wa iyumbu na maeneo mengine kama kisasa n.k

6. Ujenzi wa international Airport

7. Ujenzi wa kiwanja kikubwa cha mpira cha kisasa

8. Ujenzi wa Arena

9. Ujenzi wa viwanda

10. Ujenzi wa BRT na commuter train

11. Ukamilishaji na ujenzi wa majengo mbalimbali ya maghorofa ambazo ni idara, taasisi, kumbi za mikutano na vitega uchumi kama vile mahoteli na malls pamoja na makazi ya watumishi mbalimbali wa mashirika ya umma na binafsi.

12. Ukamilishaji ujenzi wa ikulu

13. Ukamilishaji ujenzi wa kambi kuu ya JWTZ

14. Kuunganishwa na dar es salaam kwa njia 4

15. Mradi mkubwa wa Maji toka Ziwa Victoria.

Hivi jamani mpaka hapo bado kuna haja ya ku-battle, yaani unaanzaje kulilinganisha li-giant and super modern city na vijiji vikubwa kama Mwanza visivyo na CV yeyote wala future kubwa.
We kweli ni kiazi

Nono supermarket
U turn supermarket
Lavena supermarket
Emar supermarket
Mwanza supermarket
Destination supermarket

Hizo supermarket tu bado sijalist supermarket zilizo ndani ya the giant rock city mall pia min supermarket ndio usiseme zimetapakaa kila sehem kama nyamongoro,igoma,kishiri,national, ghana,bwiru, nyasaka, kiseke, kilimahewa, nyamanoro,pansiasi, kitangiri, mabatini,igogo,butimba,nyegezi, mkolani,buhongwa,mahina, bugarika,busweru, mecco,kangae,mwanachi,mkolani,kariakoo,kirumba,monarch,maduka tisa,igombe ,mihama,iloganzara,ilemela aiseee nk........

Wapuuzi sinatabia ya kuwavumilia
 
Sasa hapa zaidi ya vichaka na barabara ya njia nne isiyovuka kilometa 15 na ndiyo kiaminio nje ya hapo hamna kitu tena..zaidi ya ka rock city mall (hatujengewi na serikali) ndo kakujivunia.
Za dodoma zipo wap?
 
Wala wanafanya hii battle siyo Wagogo ni Mwanza haters wengi siyo Wagogo Wala watu wa Dom. Ni watu wa mikoa fulani wengi meno yao Yana rangi

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Msijenge chuki na kila jiji lililowapigeni gepu maana siku zote ni kawaida kwa masikini kumchukia tajiri
 
Leta mall yenu ambayo haijajengwa na serikali.
Sasa hapa zaidi ya vichaka na barabara ya njia nne isiyovuka kilometa 15 na ndiyo kiaminio nje ya hapo hamna kitu tena..zaidi ya ka rock city mall (hatujengewi na serikali) ndo kakujivunia.
 
Mkuu wala Haina haja ya kupost waache, na sisi watu wa Mwanza tuwakubalie kwamba dodoma iko juu kuliko mwanza ili mioyo yao ifarijike wala hakuna haja ya kuweka ligi na Hawa heters
Hakika...
 
We kweli ni kiazi

Nono supermarket
U turn supermarket
Lavena supermarket
Emar supermarket
Mwanza supermarket
Destination supermarket

Hizo supermarket tu bado sijalist supermarket zilizo ndani ya the giant rock city mall pia min supermarket ndio usiseme zimetapakaa kila sehem kama nyamongoro,igoma,kishiri,national, ghana,bwiru, nyasaka, kiseke, kilimahewa, nyamanoro,pansiasi, kitangiri, mabatini,igogo,butimba,nyegezi, mkolani,buhongwa,mahina, bugarika,busweru, mecco,kangae,mwanachi,mkolani,kariakoo,kirumba,monarch,maduka tisa,igombe ,mihama,iloganzara,ilemela aiseee nk........

Wapuuzi sinatabia ya kuwavumilia
Hahahaaa nilikuwa nakuchokonoa ujae ona sasa umeshajidhalilisha tiyari kuingia mtandaoni na kutupakulia list ya vi-supermarket vya rock city mall kama kina nono hao na hivyo ulivyovitaja...sidhani hata kama ulishawahi ingia mule rock city mall..maana wasukuma kwa kushangaa shangaa na umasikini wa hali ya juu kumefanya jengo la watu kuingiza hasara nakuishia kuchakaa mpaka leo limekosa kuwa full occupied.
 
Msijenge chuki na kila jiji lililowapigeni gepu maana siku zote ni kawaida kwa masikini kumchukia tajiri
All against Mwanza Jiji lisilitegemea miradi ya serikali. Hakuna Cha Mahakaka ya Kimataifa, Hq ya EAC, miradi NHC, mako makuu ya serikali ama shirika lolote la umma, hakuna hospital kubwa ya serikali, hakuna chuo Cha umma, hakuna taasisi yoyote kubwa ya umma. Hakuna apartment za shirika. Hakuna chochote Cha umma

Ila iko juu na watu wake.

TV ipo private
Mahotel private
Apartment private
Vyuo private
Hata vizuko ferry ni private hakuna za umma kama kigamboni


Mwanza tunataka kuanza kujenga barabara zetu wenyewe

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
 
Duh, huyu jamaa nimeona hsijui mza, eti kuna jengo moja tu lenye ghorofa kumi na kuendelea, nimeona tunabishana na kilaza

Kusema eti Dom itaunganishwa na njia nne to Dar, hii ni mipango ya serikali angalau barabara kwenye miji mikubwa ziwe njia nne kwa km 50. Na kwa Taarifa tu kule mbeya karibu wanaanza kujenga njia nne Toka mbeya hadi Tunduma,

Miradi mipya mwanza mbona ipo mingi tu iko kwenye mazungumzo mwingine.
Mfano kuna mpango wa kujenga tampere park itakayoanzia usawa wa benki kuu mpaka kona ya mwaloni, hapa kutakuwa na restaurans, sehemu za watoto nk
Bugando wanataka kujenga hospitali ya moyo, jengo litakuwa na 15 floors.
Nyakato pale kuna msukuma mmoja anataka kujenga 19 floors, hapa kutakuwa na apartments, mall nk.
Kuna ujenzi wa masoko, mfano soko la kirumba litavunjwa na kujengwa jipya, soko lingine litajengwa buswelu wilayani pamoja na barabara kadhaa.

Ngoja nikomee hapa
IMG_20220115_173039.jpg


BOT mza
 
All against Mwanza Jiji lisilitegemea miradi ya serikali. Hakuna Cha Mahakaka ya Kimataifa, Hq ya EAC, miradi NHC, mako makuu ya serikali ama shirika lolote la umma, hakuna hospital kubwa ya serikali, hakuna chuo Cha umma, hakuna taasisi yoyote kubwa ya umma. Hakuna apartment za shirika. Hakuna chochote Cha umma

Ila iko juu na watu wake.

TV ipo private
Mahotel private
Apartment private
Vyuo private
Hata vizuko ferry ni private hakuna za umma kama kigamboni


Mwanza tunataka kuanza kujenga barabara zetu wenyewe

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app

Bwahahaa ngoja nicheke mie, eti hata mwanza hoteli inayowabeba pia ni private, watumishi house za kisesa mnazoita apartments pia ni private, chuo cha mipango pia ni private, mabarabara, stendi, kiwanja cha ndege, uwanja wa mpira wa ccm, rock city mall eti ni private mwishowe hadi gereza la butimba nalo tutaelezwa ni private.

Ukiona serikali haijiangaishi sana kuwekeza kwenu inamaanisha haina cha kugain huko cha zaidi inaelekeza nguvu kwenye miji ya maana itakayoleta faida zaidi kwenye uchumi wa nchi na miongoni mwa majiji hayo ya maana ni idodomia.
 
Haha. Roundabout Buswelu ziko mbili. Moja center ingine Halmashauri aka Wilayani. Buswelu Ina roundabout nyingi kuzidi miji mingi hapa Tz haha. Usisahau ingine Kisesa, Usagara, airport hizi nimetaja za nje ya mji.

Inshort Mwanza nje ya mji KM 20-30 nje Kuna Round about 6. Hii inaweza kushindana na DSM tu Dom Km 30 nje hakuna Round about. Huna Nara

Arusha KM 30 nje ni maprini kabisa huku njiapanda ya monduli, Kikatiti nk.

Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Next time ataulizia traffic lights, ushindani wa kijinga kweli huu
 
Bwahahaa ngoja nicheke mie, eti hata mwanza hoteli inayowabeba pia ni private, watumishi house za kisesa mnazoita apartments pia ni private, chuo cha mipango pia ni private, mabarabara, stendi, kiwanja cha ndege, uwanja wa mpira wa ccm, rock city mall eti ni private mwishowe hadi gereza la butimba nalo tutaelezwa ni private.

Ukiona serikali haijiangaishi sana kuwekeza kwenu inamaanisha haina cha kugain huko cha zaidi inaelekeza nguvu kwenye miji ya maana itakayoleta faida zaidi kwenye uchumi wa nchi na miongoni mwa majiji hayo ya maana ni idodomia.
Haya weka ushabiki pembeni, Kati ya mwanza na dodoma lipi ni eneo potential ambalo hata serikali inabidi iliwekee nguvu zaidi ili kujiingizia mapato? Ukiniuluza Mimi ntakwambia ni mwanza sababu
1.kuna ziwa kubwa ambalo shughulii za uvuvi na usafirishaji wa samaki hadi nje ya bara

2.iko karibu zaidi na nchi nyingi za Afrika mashariki

3.uwepo wa migodi na shughuli za uchenjuaji na usafishaji wa madini Kama almasi na dhahabu

4.idadi ya watu na muingiliano wa watu ni mkubwa ni kubwa hivyo hata upatikanaji wa mapato ni mkubwa

5. Ukubwa wa eneo

6. Hali ya hewa

7. Idadi ya viwanda ni kubwa kulinganisha na Hilo jiji lako

Haya na wewe utakae chagua dodoma tuletee potentiality yake na kwa nini serikali iwekeze sana
 
Back
Top Bottom