Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Block farming sio mradi wa maana? Ni sawa na soko? Akili huna
Hamuwez izid mwanza hata mnye mwanza inakua kwelikweli ni miongon mwa miji top 10 inayokua baran
Tushakuambia uende shule ujifunze kwanza kabla ya kuja hapa .....
GDP by nominal au PPP ndio vipimo halisi vya uchumi ,,,,,
Vinaangalia uzalishaji wa bidhaa na huduma, matumizi ya pesa ,uwekezaji,na kiwango Cha bidhaa na huduma zinazoingia na kutoka ndani ya eneo husika ...
Kasome uchumi kwanza ....hyo trillion 11 ya mwanza ni thamani ya uwekezaji, mzunguko wa pesa ,na bidhaa na huduma zilizopo mwanza...
Sasa dodoma hyo trillion 4.3 meachwa mbali na geita sasa mwanza mnaifikia Lini[emoji16][emoji16][emoji16]
Anapima uchumi kwa ushuru wa chooni anashindwa kujua kuwa mwanza haina stand wala soko kuu yote yamevunjwa hv kwanza Dodoma wilaya zake nyingi zipo hoi sana
 
Tushakuambia uende shule ujifunze kwanza kabla ya kuja hapa .....
GDP by nominal au PPP ndio vipimo halisi vya uchumi ,,,,,
Vinaangalia uzalishaji wa bidhaa na huduma, matumizi ya pesa ,uwekezaji,na kiwango Cha bidhaa na huduma zinazoingia na kutoka ndani ya eneo husika ...
Kasome uchumi kwanza ....hyo trillion 11 ya mwanza ni thamani ya uwekezaji, mzunguko wa pesa ,na bidhaa na huduma zilizopo mwanza...
Sasa dodoma hyo trillion 4.3 meachwa mbali na geita sasa mwanza mnaifikia Lini[emoji16][emoji16][emoji16]
Zile project kubwa kama Daraja la busisi,reli sgr yakiisha hata Dar nayo ijipange
 
Tumieni akili zenu hata kidogo, ukiendekeza ubishi utaonekana hauna akili mwanza huwezi linganisha na dodoma ambayo imepata hadhi ya kuwa Jiji kwa huruma ya magufuli majuzi hapa. Kuweni na akili la sivyo utakuwa unatumia PC ama smart phone hata haujui matumizi yake.
 
Kaka acha kuuliza kote huko Hawa watakuletea proposals ambazo kila mahala zipo kibao. Kuna mtu humu ni fala kweli kama jina lake
Kuna mgogo mmoja mjinga alikuwa anasema et kigongo busisi ni mrad ambao hauna maana nikamwambia tulia ndizi ipenye 😄😄😄😄
 
Mwanza inashambulia kila mtaa ujenzi ni balaa Dodoma utakuta wanawajengea jengo ukiangalia eneo karibu na hayo majengo ni mapori hakuna aliyejenga mwngne
Majengo ya serikali yote ,,,
Nimekaa dodoma ,eneo lenye majengo ya maana ,liko nje ya mji ,huko ni ofisi za wizara tu ..ukija eneo la medeli pale majengo yote ni ya serikali.kuanzia kambarage tower, Treasury square,jakaya kikwete convention,ukaguzi house, NHIF,station ya sgr, takwimu house,na kituo Cha haki jumuishi ,pamoja na jengo Moja sijajua ni taasisi Gani lipo pale njia ya NHIF .
Ukija pale mjini center Kuna Majengo mawili marefu ,,Moja ni hotel ya halmashauri na lingine ni makao makuu ya PSSSF ....
waambie walete jengo Moja la maana hata apartment ya mtu binafsi kama wenzao hapa [emoji116][emoji116]
1663422824439.jpg
1663422854687.jpg
1663422876219.jpg
 
Kuna mgogo mmoja mjinga alikuwa anasema et kigongo busisi ni mrad ambao hauna maana nikamwambia tulia ndizi ipenye 😄😄😄😄
Huwa hawasemi mema kwa projects zetu. Labda pigeni na projects ambazo ziko proposed ili waone kuwa hata kesho wanayofikiria yatakuwa kigezo Chao kusema miji Yao itakuwa mizuri zaidi kuwa wanajidanganya. Nikihamia hapa nitavuruga acha niwe mtazamaji tu.
 
Wewe una matatizo ya akili sio bure.Na sijui una umri gani kama ni zaidi ya 20yr basi unahitaji matibabu.
Hivi toka lini Dodoma ikawa na quality life zaidi ya kuombaomba mabarabarani(matonya).Ndo maana serikali inatumie ela zetu kuwajengea vinyumba vya bei nafuu. Wakati matajiri wa Mwanza hawezi kuishi kwenye vijumba vya chini kama vichuguu.
Kwataarifa Mwanza haiwezi shuka nafasi yake ya pili kwa kelele za kinafiki labda ipigwe na bomu la nuclear tofauti na hapo sahau.
Kuwa giant city sio kazi ndogo kiasi hicho lazima watu wake wafanye hasa.
😆😆😆😆😆 Serikali ingetumia hizo pesa kuwajengea maghorofa watu wa Mwanza kama haya hapa chini maana nyumba za Bei nafuu za Dom haziwezi kufanana na haya maghorofa ya watu wa Mwanza wenye hela 👇
 

Attachments

  • IMG-20220509-WA0008.jpg
    IMG-20220509-WA0008.jpg
    44.5 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220917-200435.png
    Screenshot_20220917-200435.png
    301.2 KB · Views: 8
Hicho kijamaa kimezoea kukaa vijiweni kubeti na kubishana kuhusu Mabasi.

Ndio maana kinapenda kubishana kuliko kula. Kiko tayari kulinganisha mji wowote na Mwanza ilimradi ubishi tu.
Mwanza kunazidi kunoga 🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20220917-200340.png
    Screenshot_20220917-200340.png
    298.7 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220917-200405.png
    Screenshot_20220917-200405.png
    335.8 KB · Views: 10
Tushakuambia uende shule ujifunze kwanza kabla ya kuja hapa .....
GDP by nominal au PPP ndio vipimo halisi vya uchumi ,,,,,
Vinaangalia uzalishaji wa bidhaa na huduma, matumizi ya pesa ,uwekezaji,na kiwango Cha bidhaa na huduma zinazoingia na kutoka ndani ya eneo husika ...
Kasome uchumi kwanza ....hyo trillion 11 ya mwanza ni thamani ya uwekezaji, mzunguko wa pesa ,na bidhaa na huduma zilizopo mwanza...
Sasa dodoma hyo trillion 4.3 meachwa mbali na geita sasa mwanza mnaifikia Lini[emoji16][emoji16][emoji16]
Quality ya life haipimwi kwa GDP..

Dodoma ina watu wenye maisha Bora kuliko hao wa slums za huko Mwanza..

Ndio maana unaona kuna real estates kibao za serikali na watu binafsi wanajenga majumba na wanauzia watu..
 
Majengo ya serikali yote ,,,
Nimekaa dodoma ,eneo lenye majengo ya maana ,liko nje ya mji ,huko ni ofisi za wizara tu ..ukija eneo la medeli pale majengo yote ni ya serikali.kuanzia kambarage tower, Treasury square,jakaya kikwete convention,ukaguzi house, NHIF,station ya sgr, takwimu house,na kituo Cha haki jumuishi ,pamoja na jengo Moja sijajua ni taasisi Gani lipo pale njia ya NHIF .
Ukija pale mjini center Kuna Majengo mawili marefu ,,Moja ni hotel ya halmashauri na lingine ni makao makuu ya PSSSF ....
waambie walete jengo Moja la maana hata apartment ya mtu binafsi kama wenzao hapa [emoji116][emoji116]View attachment 2359863View attachment 2359864View attachment 2359865
Acha kelele zisizo na maana Wala ambazo hazitaweza kuisaidia Mwanza big slum..

Dom real estates 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220917-085052.png
    Screenshot_20220917-085052.png
    222.7 KB · Views: 11
  • FcSCuuwWAAAHixW.jpeg
    FcSCuuwWAAAHixW.jpeg
    63.7 KB · Views: 10
Mwanza inashambulia kila mtaa ujenzi ni balaa Dodoma utakuta wanawajengea jengo ukiangalia eneo karibu na hayo majengo ni mapori hakuna aliyejenga mwngne
Dom sio slum city kama Mwanza,elewa hilo every development is in order..

Dom inakaliwa na middle income sio maskini na washamba hao ndio huishi hovyo hovyo na sehemu yao ni Mwanza na Kahama.
 
Tumieni akili zenu hata kidogo, ukiendekeza ubishi utaonekana hauna akili mwanza huwezi linganisha na dodoma ambayo imepata hadhi ya kuwa Jiji kwa huruma ya magufuli majuzi hapa. Kuweni na akili la sivyo utakuwa unatumia PC ama smart phone hata haujui matumizi yake.
Wewe ndio Mjinga,ni Tzn pekee ndio linaloitwa Jiji la pili Kwa ukubwa linaongoza kwa idadi ya maskini, barabara hakuna,full slums na Hilo Hilo Jiji la kipuuzi linazidiwa Mapato nya Jiji..

Sasa Hilo ni Jiji au upuuzi? Wakazi wake hawana vyoo wanakunya ziwani 😁😁
 
Back
Top Bottom