The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Endelea kuugua 🤪🤪Huwa hana cha kupost zaid ya mitaa ya igogo, pia kati ya mitaa zaidi ya 200 anaona baya kwenye mtaa mmoja anakuja kujifariji.
Dodoma Mkalama Suburb 👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuugua 🤪🤪Huwa hana cha kupost zaid ya mitaa ya igogo, pia kati ya mitaa zaidi ya 200 anaona baya kwenye mtaa mmoja anakuja kujifariji.
Naona udom hapa.
Naona mradi wa serikali wa nguvu za kiatomic😂😂😂, weka sasa na private sectors, achana na madali wa viwanja wa dodoma😝😝😝Ni hayo tuu kutoka Dom 👇View attachment 2451688
Utazidi kuumbuka 👇Dodoma bila serikali ni sawa na manyoni iliyochangamka.
Sasa wewe kenge mwenye madoa meusi na mekundu unazani hicho kiwanda ni cha baba hako? Hicho ni mali ya serikali, ni bora ungepost kiwanda cha mtu binafsi huko dodoma, nitaendelea kusema Dodoma bila serikali ni sawa na Tandahimba au Rungwe.Utazidi kuumbuka 👇View attachment 2454484View attachment 2454485
Serikali ipi? Ya mdomoni kwako au? RubbishSasa wewe kenge mwenye madoa meusi na mekundu unazani hicho kiwanda ni cha baba hako? Hicho ni mali ya serikali, ni bora ungepost kiwanda cha mtu binafsi huko dodoma, nitaendelea kusema Dodoma bila serikali ni sawa na Tandahimba au Rungwe.
Una cha kujitetea utaishia kuwa hivyo hivyo na jiji la kimaskini, huko hakuna huwekezaji wa private sectors, hakuna natural resources zozote ni jiji linaloforcewa kukuwa kwa nguvu kubwa na serikali, huko hakuna biashara, huko hakuna kilimo, huko hakuna madini bali kumebalikiwa ukame, kujenga majengo mengi ya serikali wakati kiukweli umaskini umetopea huko.Serikali ipi? Ya mdomoni kwako au? Rubbish
Jibu hoja acha blaa blaa za kijingaUna cha kujitetea utaishia kuwa hivyo hivyo na jiji la kimaskini, huko hakuna huwekezaji wa private sectors, hakuna natural resources zozote ni jiji linaloforcewa kukuwa kwa nguvu kubwa na serikali, huko hakuna biashara, huko hakuna kilimo, huko hakuna madini bali kumebalikiwa ukame, kujenga majengo mengi ya serikali wakati kiukweli umaskini umetopea huko.
Hilo jiji kama wewe sio muajiriwa wa serikali huwezi kutoboa coz hakuna huwekezaji wa private sectors over.
Umetoa hoja gani zaidi ya viroja.Jibu hoja acha blaa blaa za kijinga
Soma taratibu,ukiacha kiwanda Cha mbolea Kuna viwanda vingine 3.Umetoa hoja gani zaidi ya viroja.
Soma taratibu,ukiacha kiwanda Cha mbolea Kuna viwanda vingine 3.
Serikali ndio inavimiliki au siyo? 😆😆😆😆View attachment 2455669
Kwani hujui kusoma?👇Viwanda vinaitwaje? Isije kuwa viwanda vya kusaga mahindi.
Hapo sawa nimeelewa.Kwani hujui kusoma?👇View attachment 2455867h
NHC MWANZA [emoji116][emoji116][emoji116]Soma taratibu,ukiacha kiwanda Cha mbolea Kuna viwanda vingine 3.
Serikali ndio inavimiliki au siyo? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]View attachment 2455669
Mwanza bila Serikali Hakuna kitu hapo 😆😆NHC MWANZA [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2456097View attachment 2456098View attachment 2456099
Mkono wa govnt ,private iko wapi?NHC complex [emoji116] apartment Nyerere road q
View attachment 2456100
Mwanza ni multi sectoral invested city.both public and private entities have allocated their resources here [emoji12]..do you understand..Mwanza bila Serikali Hakuna kitu hapo [emoji38][emoji38]