Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Anaanza kuelewa somo kuwa kuna mahali kazidiwa lakini anashupaza shingo isionekane kama Mwanza inapigwa nje ndani kila idara na dodoma, angalizo mtani ni kuwa hata ukikubali kuwa tumewazidi hatuwezi kuwacheka[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji1787]
Nikubali kwa lipi sasa umelewa Nini, akili yako inakutuma kunitambia ujinga mdogo wangu, achana na Mimi kabisa utakesha Mzee
 
Ukiona kijiji kinajilinganisha na Seoul inabidi ucheke tu kisha utikise kichwa kimagufuli Ahaa!
Yaani kibongo-bongo ukiona mji wako unausifia kuwa una per square Km chache na population kubwa elewa tu kuwa huo mji ni congested slum city.

Kwa kuwa hao uliojilinganisha nao wana buildings ambazo ni high rises nyingi na ubeba idadi kubwa ya watu katika eneo dogo na ni miji iliyopangiliwa vyema siyo hicho kijiji cha wavuvi cha Mwanza twenye tughorofa mshenzi tuwili twa roof tatu tatu na uswazi uliotapakaa milimani na mabondeni.
We uswazi wako uko matakano mwako, mbona hatusemi.
 
Ukiona kijiji kinajilinganisha na Seoul inabidi ucheke tu kisha utikise kichwa kimagufuli Ahaa!
Yaani kibongo-bongo ukiona mji wako unausifia kuwa una per square Km chache na population kubwa elewa tu kuwa huo mji ni congested slum city.

Kwa kuwa hao uliojilinganisha nao wana buildings ambazo ni high rises nyingi na ubeba idadi kubwa ya watu katika eneo dogo na ni miji iliyopangiliwa vyema siyo hicho kijiji cha wavuvi cha Mwanza twenye tughorofa mshenzi tuwili twa roof tatu tatu na uswazi uliotapakaa milimani na mabondeni.
Kwahiyo hao watu 400k mmewapanga kwenye 6000kmsq
 
Leta tupaone nyanguge
Women day
mwanza inaongoza Kwa malkia wa nguvu
20230306_200241.jpg
 
Hii ni creation au ukosefu wa maeneo ya kujenga watu mmeamua kuvamia milima
Mbona unajishtukia nani kazungumzia ujenzi hapo juu..au hujui maana ya nature..kwa akili zako hyo mandhari imejengwa [emoji15][emoji12][emoji28][emoji28]
 
😀😀Jangwani alafu ndio wanaongoza kwa kilimo cha Zabibu....East and Central Africa
Wewe unaangalia kitu kimoja unatamba nacho. SINGINDA Naye avimbe kisa alzeti kuweni na akili basi.
 
Hao sio wanaweza wa Kuoa ,ndio wanaua wanaume.

Usukumani na Njombe wanaume wengi ni mazezeta wanaendeshwa na wake zao.
Wewe fala kweli unatufahamu wasukuma wewe nyoko zako. Wanaoroga ni njombe, machame, rombo na Arusha jinga wewe
 
Wewe fala kweli unatufahamu wasukuma wewe nyoko zako. Wanaoroga ni njombe, machame, rombo na Arusha jinga wewe
Wanawake wa kisukuma wanajulikana kuwa ni mizigo,hawanyimagi na chuma ulete wa mali za wame zao, mwanaume utakombwa kila kitu mwanamke anaamishia kwao na kama umewapa sababu ujakamalisha mahari mpaka watoto unapokonywa, na walivyo masikini wanaweza kujazana kwako ukoo mzima, usukumani si pakuoa na ukiona wanawake wanamiliki nyumba jua ni fitina na kero za ukweni mpaka mume anasepa kwake au ndumba imetumika.
 
Wewe unaangalia kitu kimoja unatamba nacho. SINGINDA Naye avimbe kisa alzeti kuweni na akili basi.
Kama kawaida yako unabadili badili topics kututoa kwenye reli😀😀😀 mada iliyopo ni Dodoma Jiji vs Mwanza Jiji hicho unachokataa ni kigezo kimojawapo Mwanza imezidiwa na Dodoma
 
Wanawake wa kisukuma wanajulikana kuwa ni mizigo,hawanyimagi na chuma ulete wa mali za wame zao, mwanaume utakombwa kila kitu mwanamke anaamishia kwao na kama umewapa sababu ujakamalisha mahari mpaka watoto unapokonywa, na walivyo masikini wanaweza kujazana kwako ukoo mzima, usukumani si pakuoa na ukiona wanawake wanamiliki nyumba jua ni fitina na kero za ukweni mpaka mume anasepa kwake au ndumba imetumika.
We lofa unajua tamaduni za wanawake wa Arusha na Moshi. Unajua umalaya na uchawi wa warangi. Unajua omba omba wa dodoma walivyo wengi. Tabia zenu msituletee humu nakuona hata wewe unajilelegeza legeza lofa wewe. Kuna mademu wabovu kama wenu hapo hivi unabishana na wapumbavu wenzio hapa?. Kuwa na akili huna Cha kuandika sitaki uniquote.
 
Back
Top Bottom