Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Kwa hyo ndo mwanza imekuwa kama ulaya auMkuu ukweli lazima usemwe, ni dhahiri pasipo na shaka kwamba miji yote miwili imepevuka kwa kiasi kikubwa kutokana na mchango wa Hayati Magufuli. Katika matamshi yake yanadhirisha hivyo: Mosi, Kwamba "Dodoma sasa uwe mji Mkuu wa Nchi"; na Mwanza utakuwa kama Ulaya.
Sent using Jamii Forums mobile app