Unavyoambiwa hakuna jiji lenye miundombinu na mipango miji iliyopangiliwa kama Dodoma uwe unaelewa mkuu. Dodoma kuna Swaswa Sewerage System pamoja na Dampo la kisasa la takataka Chidaya(barabara ya kwenda Mvumi Hospitali).....Kwa taarifa yako tu aina hii ya dampo la kisasa la Chidaya yapo mawili tu katika Afrika 🤣🤣🤣🤣View attachment 2562992
Mjikusanye wote Arusha dom mbeya mniletee kitu kama hiki