Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Hapo hakuna mpangaji na mnunuzi hata mmoja, ifikie hatua serikali isifanye mambo kimihemko.
😁😁😁😁 hizo nyumba zimekaribia kuisha na wamesema zimebakia 20 wewe unaleta wivu wako wa kimama hapa.

Dom sio Mwanza ,Dom Kuna pesa.
 
Zinasaidis nini kwenye kuboost uchumi wa nchi, hizo nyumba huku wanajenga masela, nyie endeleeni kujengewa sisi tunajenga wenyewe.
😁😁😁😁 hizo nyumba zimekaribia kuisha na wamesema zimebakia 20 wewe unaleta wivu wako wa kimama hapa.

Dom sio Mwanza ,Dom Kuna pesa.
 
Kuanzia leo nimemaliza hii battle na dodoma, wenzangu wataendelea nayo kwasasa dodoma ipo too far na second after dar, si kwa miradi hii ya kuvunja chaga.
Miradi au upembuzi yakinifu???
Ukiona milioni 2000, ujue ni bilioni mbili...
Na 1km ya asphalt concrete siyo chini ya B1. Tusichanganywe na lugha za wanasiasa. Miradi ya kwenye makaratasi.
Kuna kipengere nimeona kwenye bajeti hii, kila mwaka kinatokea hivyo hivyo, hawabadili hata nukta.
 
Miradi au upembuzi yakinifu???
Ukiona milioni 2000, ujue ni bilioni mbili...
Na 1km ya asphalt concrete siyo chini ya B1. Tusichanganywe na lugha za wanasiasa. Miradi ya kwenye makaratasi.
Kuna kipengere nimeona kwenye bajeti hii, kila mwaka kinatokea hivyo hivyo, hawabadili hata nukta.
Ila watu wa Mwanza mnatia huruma sana 😁😁

Saizi Serikali imekuja na financing model Mpya kwenye ujenzi ya EPC+F,hii itaharakisha ujenzi maeneo mengi badala ya kutegemea cash budget.
 
Hiyo barabara ya mzunguko ya ndani, umeona hata mita moja imesogea? Na kila siku kwenye budget imo! Acha hiyo kuna barabara ya ntyuka, zuzu nazo tangu budget ya 2017/2018 zinatengewa B2 kila moja kwa kiwango cha lami[emoji23]
Hakuna walipoitengea Bajeti,ipo kwenye mipango sawa na mzunguko wa kati na kupanua njia 4 Kila sehemu..

Mchakato wa Barabara unahusu mambo mengi ikiwemo usanifu..

Mwisho umeshaambiwa kwamba Serikali imekuja na financing model Mpya ,zote hizo zitajengwa Kwa haraka kuliko hapo awali..
 
Sgr Station Dom
20230525_102947.jpg
 
Hakuna walipoitengea Bajeti,ipo kwenye mipango sawa na mzunguko wa kati na kupanua njia 4 Kila sehemu..

Mchakato wa Barabara unahusu mambo mengi ikiwemo usanifu..

Mwisho umeshaambiwa kwamba Serikali imekuja na financing model Mpya ,zote hizo zitajengwa Kwa haraka kuliko hapo awali..
Acha ubishi, kasome bajeti. Na kama unaelewa masuala ya ujenzi utakuwa unajua hata gharama za ujenzi hata kwa kukadiria. Ukiona sehemu kuna B2 barabara yenye zaidi ya km 10 ujue hakuna barabara kujengwa hapo zaidi ya upembuzi yakinifu miaka nenda miaka rudi
 
Hivi Dodoma weekend huwa mnaenda wapi kupumzika ? Maana Hapo hakuna beach, hakuna zoo, hali ya hewa baridi yabisi ! Samaki hakuna yaani jangwa tupu ! Poleni sana.
 
Hivi Dodoma weekend huwa mnaenda wapi kupumzika ? Maana Hapo hakuna beach, hakuna zoo, hali ya hewa baridi yabisi ! Samaki hakuna yaani jangwa tupu ! Poleni sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunapumzika jangwani.
 
Back
Top Bottom