ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apo umetaja Mji 1 tuu, MorogoroMorogoro,Iringa,Moshi,Songea, Sumbawanga, Tunduma na Ifakara.
Morogoro, Moshi na Iringa nakubali lakini huko kwingine hakuna kitu kwa kahamaMorogoro,Iringa,Moshi,Songea, Sumbawanga, Tunduma na Ifakara.
Kahama imeizidi nini Sumbawanga zaidi ya mabaiskeli hapo mjini na mavumbi Kila mahala?Morogoro, Moshi na Iringa nakubali lakini huko kwingine hakuna kitu kwa kahama
Nilitegemea Chuma awe amemaliza shida za maji huko kwenu Sasa alifanya kipi Cha maana? 😂😂Serikali ndio haileti Miundombinu ya Maji coz Ziwa Victoria lipoo
Ukuaji wa mji na ukubwa wa mji unapimwa na nini? Je tunaangalia kigezo gani? Tunashindanisha uzuri wa mji au ukubwa wa mji au vyote?Kahama imeizidi nini Sumbawanga zaidi ya mabaiskeli hapo mjini na mavumbi Kila mahala?
Kahama imeizidi nini Tunduma?
Kahama imeizidi nini Songea?
Kahama na Ifakara ngoma droo
Taja vitu tangible ,Mji unaweza kuwa mkubwa hata kama ni shaghalabaghala tuu ila not liveableUkuaji wa mji na ukubwa wa mji unapimwa na nini? Je tunaangalia kigezo gani? Tunashindanisha uzuri wa mji au ukubwa wa mji au vyote?
Nilitegemea Chuma awe amemaliza shida za maji huko kwenu Sasa alifanya kipi Cha maana? 😂😂
Mama hana Haina na nyie
View: https://twitter.com/FMzaramu/status/1707008875726033404?t=RJTK-1KGh8MPX8cCVg4MkA&s=19
Kahama umeiweka kwenye kundi gani hapo?Taja vitu tangible ,Mji unaweza kuwa mkubwa hata kama ni shaghalabaghala tuu ila not liveable
Shaghalabaghala townKahama umeiweka kwenye kundi gani hapo?
Lakni ni kubwa kuliko kijiji cha sumbawanga, songea jumlisha na Tunduma.Shaghalabaghala town
Sumbawanga sio Kijiji,ni kubwa Kwa population ila Kwa miundombinu Kahama ni sawa na dampo tuuLakni ni kubwa kuliko kijiji cha sumbawanga, songea jumlisha na Tunduma.
Instanbul ni jiji kubwa barani ulaya kuliko yote lakini London na paris ni miji mizuri zaidi barani ulaya.Sumbawanga sio Kijiji,ni kubwa Kwa population ila Kwa miundombinu Kahama ni sawa na dampo tuu
Instanbul ni jiji kubwa barani ulaya kuliko yote lakini London na paris ni miji mizuri zaidi barani ulaya.
Kijiji Cha Mwanza mnaona haya mambo? Dom Stadium
View: https://www.instagram.com/p/CxsvKhPoVET/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
View attachment 2764214kuna shida sio bure
Tuendelee kupambania ujenzi wa madarasa, vyoo na zahanati na barabara za changarawe au sio.Hatua ya Govt Kupeleka Afcon Doodma na Arusha ni uthibitisho kwamba Dom Iko Juu ya Mwanza Kwa Kila kitu.
Mengine ni kujifariji so watu wa Mwanza na Mbeya tuendeleaa kupambania kwetu tushapigwa na kitu Kizito kichwani.