Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Kota za wakimbizi πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Umeishiwa πŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡
Screenshot_20240504-073540.jpg
 
Kelele za Dodoma kila siku ni huko huko mtumba, tofauti na hapo ni hovyo,
 
Tukimaliza apartments tuhamie kwenye hotels, then beaches and camping sites, tuone kama Dodoma atafata moto wa mwanza
Narudia tena Mwanza inachozidi Dom ni population tu(wasukuma hawanaga uzazi wa mpango wanazaliana sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚).Hotels,Apartments,Conference Centers,recreational centers Mwanza haifiki hata nusu ya Dom ya sasa(na bado Dom inaendelea kupaa kwa kasi ya kimbunga).
 
Kelele za Dodoma kila siku ni huko huko mtumba, tofauti na hapo ni hovyo,
πŸ˜‚πŸ˜‚hicho unachokiona Mtumba ni robo tu.Ungekua umewahi kufika Tambukareli ungeona maghorofa kama ya Dubai vileπŸ‘‡πŸ‘‡
20240508_145245.jpg
 
Back
Top Bottom