Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Screenshot_2024-10-14-18-17-40-284_com.android.chrome.jpg
 
Ni mwendawazimu tu anaweza kulinganisha Mwanza na Dodoma, Mwanza ipo mbali sana.
-Mwanza ipo mbali kuzidi Dom kwenye population tu hilo halina ubishi(wasukuma hawanaga uzazi wa mpango wanazaliana sana🤣🤣)
-Vigezo vingine kwamfano ubora wa mipangomiji na miundombinu,mtandao mpana wa barabara za lami ,huduma za kijamii,usalama(ni nadra sana kusikia tukio la ujambazi ndani ya jiji la dodoma),taasisi za elimu ,majengo/maghorofa mengi,uwepo wa mashirika na taasisi nyingi za kimataifa,wizara+idara nyingi za serikali,viwanda,ikulu,balozi mbalimbali,makao makuu ya chama,serikali,bunge,mahakama ukijumlisha na projects nyingine nyingi za ujenzi zinazoendelea Dom ni sahihi kusema Mwanza kwa sasa haifiki hata robo ya ubora wa Dom
 
-Mwanza ipo mbali kuzidi Dom kwenye population tu hilo halina ubishi(wasukuma hawanaga uzazi wa mpango wanazaliana sana🤣🤣)
-Vigezo vingine kwamfano ubora wa mipangomiji na miundombinu,huduma za kijamii,usalama(ni nadra sana kusikia tukio la ujambazi ndani ya jiji la dodoma),taasisi za elimu ,majengo/maghorofa mengi,uwepo wa mashirika na taasisi nyingi za kimataifa,wizara+idara nyingi za serikali,viwanda,ikulu,balozi mbalimbali,makao makuu ya chama,serikali,bunge,mahakama ukijumlisha na projects nyingine nyingi za ujenzi zinazoendelea Dom ni sahihi kusema Mwanza kwa sasa haifiki hata robo ya ubora wa Dom
Clown 🤡 🤡 moron is vomiting again ..hızı pumba Zako kalishe nguruwe ndo zinawafaa ..kwa mipango Miji gani mlivyokuwa nayo nyie ...maghorofa Mengi yapı hayo hizo au hayo mabweni ya wanafunzi ndio ghorofa 🤡🤡🤡
 
-Mwanza ipo mbali kuzidi Dom kwenye population tu hilo halina ubishi(wasukuma hawanaga uzazi wa mpango wanazaliana sana🤣🤣)
-Vigezo vingine kwamfano ubora wa mipangomiji na miundombinu,mtandao mpana wa barabara za lami ,huduma za kijamii,usalama(ni nadra sana kusikia tukio la ujambazi ndani ya jiji la dodoma),taasisi za elimu ,majengo/maghorofa mengi,uwepo wa mashirika na taasisi nyingi za kimataifa,wizara+idara nyingi za serikali,viwanda,ikulu,balozi mbalimbali,makao makuu ya chama,serikali,bunge,mahakama ukijumlisha na projects nyingine nyingi za ujenzi zinazoendelea Dom ni sahihi kusema Mwanza kwa sasa haifiki hata robo ya ubora wa Dom
Maghorofa mengi kwa takwimu zipi? Mwanza tupo Dunia nyingine hata kwa majengo yanayoendelea kujengwa Mwanza ipo mbele.
 

Attachments

  • iMarkup_20240917_182649.jpg
    iMarkup_20240917_182649.jpg
    177 KB · Views: 3
Dodoma imeizidi Mwanza kwenye ujangwa!
 

Attachments

  • FB_IMG_16782005094535099.jpg
    FB_IMG_16782005094535099.jpg
    476.7 KB · Views: 3
Sehemu ndogo ya mwonekano wa usiku Mwanza, Dodoma huwezi kuipata hii hata miaka 1000 mbele.
 

Attachments

  • FB_IMG_17274662041144675.jpg
    FB_IMG_17274662041144675.jpg
    171.6 KB · Views: 3
Maghorofa mengi kwa takwimu zipi? Mwanza tupo Dunia nyingine hata kwa majengo yanayoendelea kujengwa Mwanza ipo mbele.
Hizi ni takwimu za kimkoa-regionalwise sio kimji
.Idadi ya maghorofa yaliyopo Mtumba Government City ni sawasawa na maghorofa yote ya Mwanza City Centre na hapo bado sijakutajia maghorofa ya Udom,Kisasa,Tambukareli,Medeli,Njedengwa Investment Area,City Center,Mji Mpya,Uzunguni,Magereza,Kilimani n.k 😀😀
 
Dodoma imeizidi Mwanza kwenye ujangwa!
Ndio mmebakiwa na kichaka cha kujificha kwenye Ziwa Victoria 😀😀. Nairobi ni Jiji lisilo la Ziwa,Mto wala bahari linaizidi mara elfu jiji kwamfano Tanga iliyozungukwa na bahari🤣🤣.
Ziwa,Bahari,Mto,Bwawa hizo ni natural feature huwezi kujilinganishia popote pale tunataka "man made features" ndio vigezo vya kupima ubora wa mji duniani kote
 
Hizi ni takwimu za kimkoa-regionalwise sio kimji
.Idadi ya maghorofa yaliyopo Mtumba Government City ni sawasawa na maghorofa yote ya Mwanza City Centre na hapo bado sijakutajia maghorofa ya Udom,Kisasa,Tambukareli,Medeli,Njedengwa Investment Area,City Center,Mji Mpya,Uzunguni,Magereza,Kilimani n.k 😀😀
Eti maghorofa ya udom ..si useme tu mabweni ya wanafunzi 🤡🤡🤡🤡🤡
Vijighorofa vya kishenzi unamtishia nani
Tunaomba mtutajie 12+tower mliyonayo hapo Kijijini kwenu 🤡🤡🤡
 
Eti maghorofa ya udom ..si useme tu mabweni ya wanafunzi 🤡🤡🤡🤡🤡
Vijighorofa vya kishenzi unamtishia nani
Tunaomba mtutajie 12+tower mliyonayo hapo Kijijini kwenu 🤡🤡🤡
Kwahiyo unahamisha magoli tena kutoka uwingi na idadi ya maghorofa saizi unataka urefu wa ghorofa🤣🤣
 
Hali ya hewa kama hii huwezi kuikuta Dodoma zaidi ya vumbi na upepo mkali
 

Attachments

  • 2bf9ade4118d4bd9950da77d9ad36e14.mp4
    4.6 MB
Kwahiyo unahamisha magoli tena kutoka uwingi na idadi ya maghorofa saizi unataka urefu wa ghorofa🤣🤣
Wingi WA maghorofa.. ripoti ya NBS ishamaliza kazı ..maana tumewapiga mbali mno ..haya tuache kuangalia vighorofa ..leta ghorofa aka skyscrapers 12+tower
 
Back
Top Bottom