Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Capripoint wakati inapumuliwa kisogoni na mitaa kama Bwiru, Ilemela, mwanachi, majengo na ibanda mtu wa hivyo haijui Mwanza, bado kuna mitaa hata hiyo Ilazo na kisasa haiwezi kutia miguu kama vile Nyasaka, buswelu, kiseke, nyamhongolo, mkolani n.k kutwa nzima kupost picha za Igogo kakipande kadogo ka mlimani kamekuwa ni fimbo ya kutuchapia.
Endeleeni kujifariji tu Mwanza hakuna mtaa wowote unaofika ubora wa mpangilio wa mitaa ya Dom labda kidogo Capri Point.
Nakupa mifano michache
-UZUNGUNI huko kote kumepangiliwa lami tupu hakuna barabara ya vumbi hata moja
-KILIMANI kwa waheshimiwa-huko kote kumepangiliwa hakuna barabara hata moja ya vumbi yaani hadi vibarabara vinavyoingia kwenye nyumba za watu zote ni za lami
-KISASA huko kote ni full lami +mfumo wa kisasa wa uondoshaji wa majitaka na takataka zingine
-ILAZO huko huwezi kuona hata choo tu cha uswahilini tena huko ndio balaa nyumbazote ni zile za fashion mpya utadhani wakaazi wa kule wameambiana .
Hapo bado sijakuongezea mitaa mingine kama Area E(kwa waheshimiwa), Area D- kwa waziri mkuu,Mlimwa C,Maghorofani,Miyuji Proper,Itega,Area A,Magereza,Kisasa extension,Medeli NHC n.k

Mwanza hakuna mtaa wowote uliopangiliwa 100% mitaa angalau inayojitahidi na yenyewe imechanganyika na uswazi+vijumba vilivyojengwa bila mpangilio. Tatizo lenu hamtaki kukubali ukweli Dom unayoiona leo imeanza kupangiliwa tangu enzi za Nyerere sasa utalinganishaje na Mwanza ambayo mpaka leo barabara tu za mitaa bado ni changamoto.
 
Acha uongo COED tu yenye hostel nyingi ina blocks 25, pale CIVE napo kuna blocks 6 sasa hizo mia unazosema sijui unazitolea sayari gani? Halafu huko udom napo ni CBD?
Vyuo vya Mwanza🤣🤣👇👇

 
Hiyo
Endeleeni kujifariji tu Mwanza hakuna mtaa wowote unaofika ubora wa mpangilio wa mitaa ya Dom labda kidogo Capri Point.
Nakupa mifano michache
-UZUNGUNI huko kote kumepangiliwa lami tupu hakuna barabara ya vumbi hata moja
-KILIMANI kwa waheshimiwa-huko kote kumepangiliwa hakuna barabara hata moja ya vumbi yaani hadi vibarabara vinavyoingia kwenye nyumba za watu zote ni za lami
-KISASA huko kote ni full lami +mfumo wa kisasa wa uondoshaji wa majitaka na takataka zingine
-ILAZO huko huwezi kuona hata choo tu cha uswahilini tena huko ndio balaa nyumbazote ni zile za fashion mpya utadhani wakaazi wa kule wameambiana .
Hapo bado sijakuongezea mitaa mingine kama Area E(kwa waheshimiwa), Area D- kwa waziri mkuu,Mlimwa C,Maghorofani,Miyuji Proper,Itega,Area A,Magereza,Kisasa extension,Medeli NHC n.k

Mwanza hakuna mtaa wowote uliopangiliwa 100% mitaa angalau inayojitahidi na yenyewe imechanganyika na uswazi+vijumba vilivyojengwa bila mpangilio. Tatizo lenu hamtaki kukubali ukweli Dom unayoiona leo imeanza kupangiliwa tangu enzi za Nyerere sasa utalinganishaje na Mwanza ambayo mpaka leo barabara tu za mitaa bado ni changamoto.
Hyo mitaa uliyotaja kuanzia kısasa ,sijui ilazo imejaa mavumbi kama jangwa la somalia
 
Sifayangu kubwa humu JF inayonitofautisha na "illiterate " kama wewe ni uwezo mkubwa wa kujenga hoja,facts,details. Sinaga muda wa kujibu michambo,mipasho,ngonjera,porojo ndiomana nilikushauri uende kabishane facebook huko ndio wamejaa MEMKWA wenzako ambao wanashindwa kujibu hoja wanaishia kumshambulia kwa matusi mtoa hoja😀😀😀
Leta takwimu hapa sasa acha kubwabwaja. Dom inaizidi maghorofa how justify....... Usilete ngonjera kingese ngese hapa.
 
Takwimu za NBS ni za kimkoa au za kimji...!!? Unaleta takwimu za mkoa mzima wenye halmashauri 8 unataka kuzifanya ni za mji mmoja....kawadanganye washamba wenzio labda😂😂.
Kamavp anzisha thread mpya ya kushindanisha mkoa wa Mwanza na mkoa wa Dodoma alafu katumie hizo takwimu zako tutakuja kuchangia huko
Sasa unataka za CBD si uzilete sasa. Kwa akili yako uitoe udom na magufuli city unategemea Dodoma inabaki na maghorofa mangapi hebu acha ulofa bwana mdogo. Ndiyo maana mnaambiwa bangi mbichi humfanya mtu kujiona mjanja na mwenye akili sana. Leta takwimu zako tukuone kweli unaongea vitu vyenye mantiki
 
Mnapata wapi nguvu za kubishana na mtu kichaa kama huyo, toka nijue nabishana na zwazwa asiyejielewa nimeamua kutulia tu ni bora choice kuliko hii jamaa la mataarabu, hana hoja hana fact ni mwendo wa kutaja mitaa tu akizani sehemu nyingine hakuna mitaa ukimwambia alete evidence hana ni mwendo wa porojo za maneno kama Aisha Mashauzi.
Fala kweli, wa namna hii ukibahatika kukutana Naye unamchapa nakozi za maana ili akili ikae pahala pake.
 
Hata mm nishamsoma nikaona hamna kitu kichwani, Kila siku anakwambia sehemu iliyopangwa mwanza ni Capri Point tu, Unabaki unacheka tu, 🤣 🤣 🤣 🤣
Anakuambia anabishana na watu wenye IQ, swali Kuna mtu Hana IQ au anataja vitu bila hata kuelewa. Unajua ujinga nao mzigo, anarukia kutaja vitu ambavyo havijui hata hawezi kuvifafanua. Namshauri akasome "theories of personality". Apitie pia five stages of human development by 'Freud sigmoid" atakuja na jawabu ni wapi mapungufu yake yalipo. He is too grandiose, stupidity at its best.
 
Huna hoja umebaki kudandia vitu ambavyo havipo kwenye mjadala, endelea kujilisha upepo.
Sasa kama chanzo chake Cha taarifa ni jf Tena kurasa zinazoanzishwa na watu kama yeye wenye mentality yake unategemea mtu huyo ana akili, kwamba anajua hata anachokufaya?
 
Endeleeni kujifariji tu Mwanza hakuna mtaa wowote unaofika ubora wa mpangilio wa mitaa ya Dom labda kidogo Capri Point.
Nakupa mifano michache
-UZUNGUNI huko kote kumepangiliwa lami tupu hakuna barabara ya vumbi hata moja
-KILIMANI kwa waheshimiwa-huko kote kumepangiliwa hakuna barabara hata moja ya vumbi yaani hadi vibarabara vinavyoingia kwenye nyumba za watu zote ni za lami
-KISASA huko kote ni full lami +mfumo wa kisasa wa uondoshaji wa majitaka na takataka zingine
-ILAZO huko huwezi kuona hata choo tu cha uswahilini tena huko ndio balaa nyumbazote ni zile za fashion mpya utadhani wakaazi wa kule wameambiana .
Hapo bado sijakuongezea mitaa mingine kama Area E(kwa waheshimiwa), Area D- kwa waziri mkuu,Mlimwa C,Maghorofani,Miyuji Proper,Itega,Area A,Magereza,Kisasa extension,Medeli NHC n.k

Mwanza hakuna mtaa wowote uliopangiliwa 100% mitaa angalau inayojitahidi na yenyewe imechanganyika na uswazi+vijumba vilivyojengwa bila mpangilio. Tatizo lenu hamtaki kukubali ukweli Dom unayoiona leo imeanza kupangiliwa tangu enzi za Nyerere sasa utalinganishaje na Mwanza ambayo mpaka leo barabara tu za mitaa bado ni changamoto.
IMG_20240713_173236.jpg
IMG_20240713_173234.jpg
IMG_20240713_173236.jpg
IMG_20240713_173815.jpg
IMG_20240713_174222.jpg
IMG_20240915_151217.jpg
IMG_20240915_152515.jpg
IMG_20240915_153524.jpg

Hebu kuwa na utayari wa kuelewa unapoelewesha na kubali kujifunza pale usipopafahamu. Unaishi kwa kukariri sana, je Huu mtaa unaufahamu??????.
 
JamiiForums-1187298281.jpg
JamiiForums2100037509.jpg
1662484167644.jpg

Msiwe wepesi wakupagawa na miradi ya serikali, huu mtaa unafahamu?. Ukitaka full package useme hapa ndo maskani tunaenda kwa evidence na si porojo porojo
 
Huna hoja umebaki kudandia vitu ambavyo havipo kwenye mjadala, endelea kujilisha upepo.
Unachekesha sana kwamba Chuo Kikuu cha SAUT hakihusiki kwenye mjadala humu au hakipo Mwanza😀😀. Comparison ya vyuo vikuu vya Mwanza na Dom ni mbingu na ardhi .Dom wamewazidi Mwanza kwa ubora wa majengo na miundombinu ya vyuo vikuu mbalisana mfano ndio huo hapo kwenye hiyo thread😀😀.
UDOM pekeyake kwa uborawake+uwingi wa maghorofa inachukua wanavyuo wote wa hadi vyuo vya kati vyote vya Mwanza jumlisha wa wanafunzi wa A level na bado nafasi inabaki.
Na hapo bado sijakutajia vyuo vingine mfano St John's,CBE,Capital,Chuo Kikuu cha Kanisa la TAG,IRDP-Mipango,Madini,Don Bosco nk
 
Unachekesha sana kwamba Chuo Kikuu cha SAUT hakihusiki kwenye mjadala humu au hakipo Mwanza😀😀. Comparison ya vyuo vikuu vya Mwanza na Dom ni mbingu na ardhi .Dom wamewazidi Mwanza kwa ubora wa majengo na miundombinu ya vyuo vikuu mbalisana mfano ndio huo hapo kwenye hiyo thread😀😀.
UDOM pekeyake kwa uborawake+uwingi wa maghorofa inachukua wanavyuo wote wa hadi vyuo vya kati vyote vya Mwanza jumlisha wa wanafunzi wa A level na bado nafasi inabaki.
Na hapo bado sijakutajia vyuo vingine mfano St John's,CBE,Capital,Chuo Kikuu cha Kanisa la TAG,IRDP-Mipango,Madini,Don Bosco nk
Naona unataja hadi veta 🤡🥳🤡
 
Hawezi kujibu, akijitahidi sana atakuja na mabweni ya udom.
Watu ambao hawajaenda shule "illiterates" ndio huwa wanajibu mijadala picha kwa picha,video kwa video,ushabiki maandazi kwa ushabiki maandazi😀😀. Wasomi huwa wanajibu mijadala hoja kwa hoja,facts kwa facts,details kwa details,references kwa references ndiomana kule chuo kikuu tunasoma vitabu hatusomi album za picha😂😂.
Hatukatai picha zinaweza kutumika kama nyongeza hata mimi huwa napost marachache picha humu shidayenu nyinyi mnataka kugeuza hii thread kama iwe studio ya picha baada ya kuona mmeshindwa hoja,facts na vielelezo vingine.
 
Back
Top Bottom