😂😂Mabatini,Igogo,Buzuruga,Igoma,Nyerere B utalinganisha na mitaa gani Dom.Dom hata mitaa ya uswahilini kwamfano Chang'ombe,Makulu,Chaduru,MkalamaChagua mtaa tuanze battle la mtaa kwa mtaa mie nimekuanzishia Capri one Vs Kisasa, come on
😂😂Ila mwamba we mshamba sana habari yenyewe inaeleza mwanza ndo miongoni mwa mikoa ya mwanzo kufunguliwa hiyo benki ya Zanzibar Arusha bado haijafika hata hapo ukameni village haijafika kwa mjibu wa habari naona unatafuta chaka la kujificha sikuachi za uso zinakuhusu tu hakuna namna🤣🤣🤣🤣🤣
PBZ tawi la Dodoma lipo tangu 2022