Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Ongeza na bermeda TV mwanza nahisi niughaibuni hakuna kitu kipo huku Dar mwanza ukikose kwa Sasa Kuna vyombo vya habari vingi mwanza baada ya Dar kwa mujibu wa tcra na ndo jiji linalotumia laini nyingi za simu baada ya Dar kojoa ukalale we mshamba🤣🤣🤣🤣🤣
Niletee listi ya vyombo vya habari Mwanza tulinganishe na idadi ya Dom

Dom
TV- Dodoma TV,Dodoma Cable TV,Maneno Cable TV
MAGAZETI-Dodoma Yetu, La Jiji,The Echo

Radio stations
1. Radio Mwangaza
2.Radio Jamii
3.Point Fm
4.Villa Fm
5.P Fm
6.Kifimbo fm
7.Impact fm
8.Irangi fm
9.Zabibu fm
10.Rasi fm
11. ABM fm
12.A fm
13.Nyemo fm
14.Radio Missionaries
15. C FM
16.Radio Uzima
17.Maisha fm
18.Dodoma fm
 
Nilikwambia ukitaka kubishana na mimi kwanza uwe smart kichwani pili uwe na facts sio ushabiki maandazi la sivyo nitakuaibisha tu kama wenzako😂😂👇

Hakuna mtaa unaitwa Nyerere B Mwanza
 
Hakuna mtaa unaitwa Nyerere B Mwanza
Hii mada ngumu sana kwako ukiwa na ushabiki maandazi ....ukitaka
Screenshot_20241019-231310.jpg
facts nitakusaidia👇👇
 
Kawadanganye wasukuma washamba wenzako eti ulikuepo 2018 alafu ije izinduliwe 2024 miaka 7 mbele😂😂😂.

Angalia quick facts apa chini....mpaka sasa tawi la Mwanza halijawa updated kwenye list ya matawi ya PBZ 😂😂👇

Huna unachojua wewe ngeke 🤣🤣🤣mie nakwambia Hilo tawi lililuwepo tangu 2018 na nilienda kuulizia huduma zao zikoje we mshamba usichojua Kuna tawi kuwepo na linafanya kazi na Kuna kuzinduliwa kwa hiyo lack of exposure inakutesa sana mie ndo nakwambia Kuna benki ya Zanzibar niliwahi kutaka kujua huduma zao ndo nakumbuka kuwa IPO tangu zamani usitafute pa kujificha unapigika kotekote🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Niletee listi ya vyombo vya habari Mwanza tulinganishe na idadi ya Dom

Dom
TV- Dodoma TV,Dodoma Cable TV,Maneno Cable TV
MAGAZETI-Dodoma Yetu, La Jiji,The Echo

Radio stations
1. Radio Mwangaza
2.Radio Jamii
3.Point Fm
4.Villa Fm
5.P Fm
6.Kifimbo fm
7.Impact fm
8.Irangi fm
9.Zabibu fm
10.Rasi fm
11. ABM fm
12.A fm
13.Nyemo fm
14.Radio Missionaries
15. C FM
16.Radio Uzima
17.Maisha fm
18.Dodoma fm
1.passion fm
2.kiss fm
3.mazingira fm
4.living water fm
5.lake fm
6.afya fm
7.Radio free Africa
8.iqra fm
9.city fm
10.redio kwa neema fm
11.ushindi fm
12.saut fm hii ni ya chuo saut
13.metro fm
14.huruma fm
15.hhc alive fm
16.pasiasi fm
17.amani fm
18.mwongozo fm
19.wema fm
20.shalom fm
Hivyo ni baadhi katika vingi

Haya magazeti
1.mzawa
2.mwelekeo
3 la tatu mwana mwanza aje anikumbushe nimelisahau kidogo ila lipo Hilo gazeti

Television Tena kubwa ni
1.Star tv hii ina coverage nchi nzima kuliko tv yoyote ya hapo ukameni village
2.Barmeda Tv. Wana mwanza wanajua utamu wa hii kitu.
4.cables za kumwaga oooh Dodoma inatia huruma🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kawadanganye wasukuma washamba wenzako eti ulikuepo 2018 alafu ije izinduliwe 2024 miaka 7 mbele😂😂😂.

Angalia quick facts apa chini....mpaka sasa tawi la Mwanza halijawa updated kwenye list ya matawi ya PBZ 😂😂👇

We fala kweli kwani PBZ ndo Nini bhana, kwamba kuwa na bank ya PBZ ndo determination ya kitu gani kwako acheni kuwehuka ingali hospitali ya milembe ipo karibu na nyinyi.
 
Nini hiki hivi wewe unapajua nyamhongolo 🤣🤣🤣🤣stendi hizo nyumba za kawaida mno hapo hakuna kitu mwanza unyama sana
Wanafaida Moja kuwa madalali wauza viwanja wapo wengi. Wanatutangazie tukanunue viwanja hivyo kupiga picha kila kukicha . Na maeneo hayo huwezi kutana na mgogo ni watu Baki wa kuja na watumishi wa serikali. Wenyeji wanaishi kwenye nyumba zao za tembe na uswahilini.
 
1.passion fm
2.kiss fm
3.mazingira fm
4.living water fm
5.lake fm
6.afya fm
7.Radio free Africa
8.iqra fm
9.city fm
10.redio kwa neema fm
11.ushindi fm
12.saut fm hii ni ya chuo saut
13.metro fm
14.huruma fm
15.hhc alive fm
16.pasiasi fm
17.amani fm
18.mwongozo fm
19.wema fm
20.shalom fm
Hivyo ni baadhi katika vingi

Haya magazeti
1.mzawa
2.mwelekeo
3 la tatu mwana mwanza aje anikumbushe nimelisahau kidogo ila lipo Hilo gazeti

Television Tena kubwa ni
1.Star tv hii ina coverage nchi nzima kuliko tv yoyote ya hapo ukameni village
2.Barmeda Tv. Wana mwanza wanajua utamu wa hii kitu.
4.cables za kumwaga oooh Dodoma inatia huruma🤣🤣🤣🤣🤣
Jembe ni jembe fm
 
1.passion fm
2.kiss fm
3.mazingira fm
4.living water fm
5.lake fm
6.afya fm
7.Radio free Africa
8.iqra fm
9.city fm
10.redio kwa neema fm
11.ushindi fm
12.saut fm hii ni ya chuo saut
13.metro fm
14.huruma fm
15.hhc alive fm
16.pasiasi fm
17.amani fm
18.mwongozo fm
19.wema fm
20.shalom fm
Hivyo ni baadhi katika vingi

Haya magazeti
1.mzawa
2.mwelekeo
3 la tatu mwana mwanza aje anikumbushe nimelisahau kidogo ila lipo Hilo gazeti

Television Tena kubwa ni
1.Star tv hii ina coverage nchi nzima kuliko tv yoyote ya hapo ukameni village
2.Barmeda Tv. Wana mwanza wanajua utamu wa hii kitu.
4.cables za kumwaga oooh Dodoma inatia huruma🤣🤣🤣🤣🤣
Dodoma TV 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mnavimba na vitu vya hovyo sana vijana
 
1.passion fm
2.kiss fm
3.mazingira fm
4.living water fm
5.lake fm
6.afya fm
7.Radio free Africa
8.iqra fm
9.city fm
10.redio kwa neema fm
11.ushindi fm
12.saut fm hii ni ya chuo saut
13.metro fm
14.huruma fm
15.hhc alive fm
16.pasiasi fm
17.amani fm
18.mwongozo fm
19.wema fm
20.shalom fm
Hivyo ni baadhi katika vingi

Haya magazeti
1.mzawa
2.mwelekeo
3 la tatu mwana mwanza aje anikumbushe nimelisahau kidogo ila lipo Hilo gazeti

Television Tena kubwa ni
1.Star tv hii ina coverage nchi nzima kuliko tv yoyote ya hapo ukameni village
2.Barmeda Tv. Wana mwanza wanajua utamu wa hii kitu.
4.cables za kumwaga oooh Dodoma inatia huruma🤣🤣🤣🤣🤣
Hakuna mahala Dodoma inaweza kujilinganisha na mwanza, wehu na wendawazimu wa vijana wanaona kuwa na masharubu basi ndo kila kutwa kubishana na sisi hapa.
 
Kitengo pekee nakipongeza Dodoma kwa sasa ni idara ya mipango miji lakini haitoi room ya kwamba Dodoma is ahead of Mwanza au zinalingana. Dodoma ndo inajengwa huku tumeshajenga
 
Hotels- mwanza
Masoko - mwanza
Wingi wa majengo marefu - mwanza
Stations nyingi za radio (media)- mwanza
Stand za mabasi- mwanza
Sehemu nyingi za kuchill - mwanza
Viwanja vya mipira - mwanza
Population - mwanza
Hali ya hewa - mwanza
Hali ya kipato Cha mtu mmoja mmoja - mwanza
Everything- mwanza
Njooni mjichanganye sasa tupitie kimoja baada ya kingine
 
Hotels- mwanza
Masoko - mwanza
Wingi wa majengo marefu - mwanza
Stations nyingi za radio (media)- mwanza
Stand za mabasi- mwanza
Sehemu nyingi za kuchill - mwanza
Viwanja vya mipira - mwanza
Population - mwanza
Hali ya hewa - mwanza
Hali ya kipato Cha mtu mmoja mmoja - mwanza
Everything- mwanza
Njooni mjichanganye sasa tupitie kimoja baada ya kingine
List ni ndefu
 
Hotels- mwanza
Masoko - mwanza
Wingi wa majengo marefu - mwanza
Stations nyingi za radio (media)- mwanza
Stand za mabasi- mwanza
Sehemu nyingi za kuchill - mwanza
Viwanja vya mipira - mwanza
Population - mwanza
Hali ya hewa - mwanza
Hali ya kipato Cha mtu mmoja mmoja - mwanza
Everything- mwanza
Njooni mjichanganye sasa tupitie kimoja baada ya kingine
Kitu pekee Mwanza inachozidi Dom ni population hilo halina ubishi na hali itaendelea kwa miaka mingi manake Wasukuma wanazaliana sana (hawanaga uzazi wa mpango😂😂).
Vigezo vingine Mwanza hawafiki hata robo ya Dom ndiomana mnajificha kwenye kichaka cha hali ya hewa na Ziwa Victoria😂😂.
Unaijua hali ya hewa ya Dubai....mbona ni mojawapo ya majiji yanayoongoza duniani 😂😂
 
Kitu pekee Mwanza inachozidi Dom ni population hilo halina ubishi na hali itaendelea kwa miaka mingi manake Wasukuma wanazaliana sana (hawanaga uzazi wa mpango😂😂).
Vigezo vingine Mwanza hawafiki hata robo ya Dom ndiomana mnajificha kwenye kichaka cha hali ya hewa na Ziwa Victoria😂😂.
Unaijua hali ya hewa ya Dubai....mbona ni mojawapo ya majiji yanayoongoza duniani 😂😂
Na Dubai inaingiaje hapa?
 
Na Dubai inaingiaje hapa?
Kwasababu hali ya hewa sio kigezo cha kupima ubora wa mji...ingekua hivyo Dubai,Cairo,Windhoek isingekua bora. Hapa Tanzania Lushoto,Makete,Njombe,Mafinga hali ya hewa ni kama Ulaya vile lakini hakuna mji wowote wenye hata hadhi ya manispaa.
Kama hali ya hewa kwako ni kigezo cha kulinganisha mji basi Njombe ingeshakuwa Jiji tayari😂😂
 
Back
Top Bottom