bado hujasema😂😂😂Kuzaliana ni kawaida kwa binadamu kama wewe ni hanithi basi ficha upumbavu wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado hujasema😂😂😂Kuzaliana ni kawaida kwa binadamu kama wewe ni hanithi basi ficha upumbavu wako
Wewe MEMKWA nimekuwekea na "official references" kabisa apo ya branches za PBZ fungua hiyo link usome...mpaka sasa Mwanza haijawa updated😂😂😂 alafu yule mshamba mwenzako anasema eti ilikuwepo tangu 2018🤣🤣🤣🤣Wapi haipo sasa kwa akili yako?
sasahivi upo wapi manake comments zako zote unajihami eti upo Dar 😂😂.Wasukuma kwa ushamba ni sawa na uji kwa mgonjwa. Inaonekana ndio marayakwanza kufika Dar.tangu zamani sana mie kabla sijaondoka mwanza
Hotels- mwanza
Masoko - mwanza
Wingi wa majengo marefu - mwanza
Stations nyingi za radio (media)- mwanza
Stand za mabasi- mwanza
Sehemu nyingi za kuchill - mwanza
Viwanja vya mipira - mwanza
Population - mwanza
Hali ya hewa - mwanza
Hali ya kipato Cha mtu mmoja mmoja - mwanza
Everything- mwanza
Njooni mjichanganye sasa tupitie kimoja baada ya kingine
Mere empty words from an idiot ,Weka picha za Mitaa ,sitaki maneno mengi ya kijinga jingaNini hiki hivi wewe unapajua nyamhongolo 🤣🤣🤣🤣stendi hizo nyumba za kawaida mno hapo hakuna kitu mwanza unyama sana
Viwanja gani vya mpira mnaizidi Dom? Unajua Dom wanajenga viwanja vingapi si tuu vya mpira Hadi vya golf?Hotels- mwanza
Masoko - mwanza
Wingi wa majengo marefu - mwanza
Stations nyingi za radio (media)- mwanza
Stand za mabasi- mwanza
Sehemu nyingi za kuchill - mwanza
Viwanja vya mipira - mwanza
Population - mwanza
Hali ya hewa - mwanza
Hali ya kipato Cha mtu mmoja mmoja - mwanza
Everything- mwanza
Njooni mjichanganye sasa tupitie kimoja baada ya kingine
Mwanza haipo au ipo mbona unaruka ruka ihali unajua ipo. Leta kitu ambacho hakipo ndo ukaze fuvu dogo. Unakuwa huelewekiWewe MEMKWA nimekuwekea na "official references" kabisa apo ya branches za PBZ fungua hiyo link usome...mpaka sasa Mwanza haijawa updated😂😂😂 alafu yule mshamba mwenzako anasema eti ilikuwepo tangu 2018🤣🤣🤣🤣
Tuanze sasa kuleta ushahidi a.k.a references kusupport hoja zetu. Tuanze na hotel maana kwenye mkeka nilioleta umesema ni population tu Mwanza inaizidi Dodoma. Sasa karibu jamvini punguza maneno maneno twende kwa vitendo. Mkeka wangu ukiisha tunakuja wa kwako mpaka kieleweke. Let's go....-Population yes Mwanza wanazidi Dom hilo halina ubishi.
Vingine vyote Dom wanawazidi Mwanza kuanzia👇
-Mapato (halmashauri ya Jiji+TRA) ---Master Plan of the city
-Mtandao mpana wa barabara za lami
-Ujenzi sahihi wa makazi+mipangomji
-Wingi wa maghorofa
-Ongoing Projects
-Future Projects proposed
-Education centers
-Health centers
-Uwepo wa ofisi na taasisi nyingi za Serikali
-Uwepo wa makao makuu ya chama+serikali
-International offices nyingi+Balozi
Mnajenga sisi tushajenga acha kubwabwaja dogo, na plan za kujenga vingine zipo ukiachana na sports centre uwe unaelewa Mimi siyo kinda mwenzio.Viwanja gani vya mpira mnaizidi Dom? Unajua Dom wanajenga viwanja vingapi si tuu vya mpira Hadi vya golf?
Hilo la stendi Kaa Kwa kutulia,Tactic inajenga stendi za Mabasi 3 za size ya kati hapo Dom
Kipato Cha mtu mmja mmja? 😆😆😆🤪 Ndio mnajenga hayo mabanda yenu?
Mwanza Ina hoteli nyingi zipi hizo wakati Haina hata wageni na movement ya watu kama Dom?
Mwanza Ina majengo marefu mengi yapi zaidi ya Nssf hotel? Dom Ina majengo marefu ma 3 rasmi na mengine yanakuja eg TCRA.
Tofauti na idadi ya watu Sababu zingine ni za ujinga eti halinya hewa 😁😁
Wewe twende na reference punguza maneno. Majengo marefu matatu ndo unavimba nayo kweli????.Viwanja gani vya mpira mnaizidi Dom? Unajua Dom wanajenga viwanja vingapi si tuu vya mpira Hadi vya golf?
Hilo la stendi Kaa Kwa kutulia,Tactic inajenga stendi za Mabasi 3 za size ya kati hapo Dom
Kipato Cha mtu mmja mmja? 😆😆😆🤪 Ndio mnajenga hayo mabanda yenu?
Mwanza Ina hoteli nyingi zipi hizo wakati Haina hata wageni na movement ya watu kama Dom?
Mwanza Ina majengo marefu mengi yapi zaidi ya Nssf hotel? Dom Ina majengo marefu ma 3 rasmi na mengine yanakuja eg TCRA.
Tofauti na idadi ya watu Sababu zingine ni za ujinga eti halinya hewa 😁😁
Mwanza Yako mangapi?Wewe twende na reference punguza maneno. Majengo marefu matatu ndo unavimba nayo kweli????.
Dogo ni mkeo.Mnajenga sisi tushajenga acha kubwabwaja dogo, na plan za kujenga vingine zipo ukiachana na sports centre uwe unaelewa Mimi siyo kinda mwenzio.
Nimewaambia twendeni na data plus picha nikiweka humu si mtaanza kulia nyie . Mnabwabwaja tu bila mpagilioMwanza Yako mangapi?
Hiki ni nini? Chinangali Sports Complex ni nzuri kushinda outdated structuresView attachment 3130438View attachment 3130439
Gwambina stadium
View attachment 3130440View attachment 3130441
Nyamagana stadium
View attachment 3130442
Ccm KIRUMBA.
Bado sijakuletea sports centre za nyakabungo, mabatini, kiseke n.k
Data ukizoweka ziko wapi zaidi ya kusema Yako mengi? Taja na weka picha ya Dom yanajulikanaNimewaambia twendeni na data plus picha nikiweka humu si mtaanza kulia nyie . Mnabwabwaja tu bila mpagilio
Hii ipo Tanga14.huruma fm
Hii ipo Arusha20.shalom fm
Hii kwa sasa ipo Dar1.passion fm
Hii ipo Mbeya11.ushindi fm
Wewe ni mjinga. Nimekuambia chinangali ni sports centre kama ilivyo malya, nyakabungo na kwinginekoHiki ni nini? Chinangali Sports Complex ni nzuri kushinda outdated structures
Nijibu kwanza na viwanja vyenu acha porojo na ukitaka level ya chinangali useme mapema tu.Data ukizoweka ziko wapi zaidi ya kusema Yako mengi? Taja na weka picha ya Dom yanajulikana
Dom Hotel
Kambara hotel
Psssf House
Kirumba vs Jamhuri Kuna tofauti?Nijibu kwanza na viwanja vyenu acha porojo na ukitaka level ya chinangali useme mapema tu.