Feke b kidume
Senior Member
- Sep 13, 2024
- 138
- 73
ficha ujinga wako wewe MEMKWA tangulini shirika la ndege ATCL likajenga uwanja wa ndege😀😀😀. Viwanja vya ndege vyote Tanzania vipo chini ya TAA.
😀😀😀Tumia ID yako ya sikuzote manake hii unayotumia inaonesha umejoin JF mwezi uliopita....utaendelea kuaibika tu🤣
Nikupe elimu kidogo we ndondocha kwa taarifa Yako ATCL na TAA wanafanya kazi kwa karibu sana ATCL wanaweza kutoa mapendekezo TAA wakayafanyia kazi Juzi Juzi ladslaus matindi mkurugenzi wa ATCL amesema uwanja wa ndege wa mwanza kutajengwa vvip lounge kubwa sana yeny migahawa ya kifahari na akasema Mwanza ni mkoa wao wa kimkakatificha ujinga wako wewe MEMKWA tangulini shirika la ndege ATCL likajenga uwanja wa ndege😀😀😀. Viwanja vya ndege vyote Tanzania vipo chini ya TAA.
😀😀😀Tumia ID yako ya sikuzote manake hii unayotumia inaonesha umejoin JF mwezi uliopita....utaendelea kuaibika tu🤣🤣
Mwambie kilaza wa ukameni village akuletee view kama hii ataokoteza vijengo vya wizara uchwara na kukuletea 🤣🤣🤣View attachment 3132560
Nera, a new upcoming CBD