Je, ni kweli kuwa Wayahudi walikuwa weusi?

Je, ni kweli kuwa Wayahudi walikuwa weusi?

Josephus amezungumzia kwamba Mussa alivyooa mke wa kwanza ambaye alikuwa ni binti wa mfalme wa kushi kipindi hicho Mussa ndiye jemedari wa jeshi lote la Misri. Mwanamke huyo alikuwa ni mweusi wa ngozi (Ethiopian). Kwenye kitabu cha kwanza sura ya 6, 7, 8 na 9 anasema kwamba watu wa Misri na Kushi walikuwa ni wana wa Ham (Weusi)
ingependeza kama hicho kitabu ungekiweka hapa au nitumie hata Pm mkuu
 
kwani tunazungumzia yesu au makabila mengine? maana naona unaleta hoja nyingine. mimi hayo makabila mengine sitaji kuyazungumzia.
hebu nambie israel ya leo inatawaliwa na watu wa kabila gani ? na je unaamini kuwa wanapotaka kuchagua mtu wanaangalia anatoka kabila gani? unajua unaposoma kwenye internet na vitabu mbalimbali waandishi nao ni binadamu wana hisia,mawazo na maoni yao. si mbaya kama ukiwa umesoma ukasema according to..... ili nisikulaumu wewe nimlaumu mwandishi husika. tatizo wewe unataka uyabebe haya personal. yatakuelemea... na sijui kama malcom ana muda wa kukufundisha wakati wote. pia sema according to malcom yeye anasema hivi..... 🙂🙂🙂🙂

Nmemtaja sababu ni uzi wake na huwa namuacknowledge nyuzi kibao sababu ananifundisha mambo kibao sana ila hajawahi hata sema kma ana diploma au cheti cha form 4 ndio maana namtolea mfano ila nashangaa wwe usie na content ndio matusi na kejeli wakati huna hoja yoyote uliojenga unaringia paperwork. Actually sihitaji nimuite mtu anisaidie maana wwe mwenyewe na masters yako hakuna unalojua na kuprove hilo jibu haya maswali

1. Umesema tuangalie Israel ya leo ina weusi wangapi sasa nisaidie ni lini Israel ya leo ina representation ya makabila yote 12 ya kingdom of Israel na Judah

2. Unauliza kma Yesu alikuwa mweupe ukoo wake uliishia wapi?? Are you serious?? Sasa kama 70 AD walifurumushwa na kutapakaa dunia nzima ulitegemea na ukoo wa Yesu hata kma ulikuwa mweusi au mwekundu ubaki hapo hapo Judah??

3. Unauliza kama Daudi ni mweusi?? Hivi Daudi si alikuwa kabila moja tu la benjamin kama sikosei mbona hujahoji makabila 4 ambayo yalikuwa yametokana na wamama watumwa weusi kutoka misri ama Daudi ndio benchmark ya rangi ya wayahudi na sio Yakobo na wake zake??

Kama msomi wa achilojia ningependa unisaidie na majibu ya haya maswali kutokana na hoja yako.
 
1. Ham ni baba wa weusi lakini sio baba wa negroes au wabantu ambao wameshathibitika kisayansi kuwa ndio Waisrael halisi hasa wa kabila la Lawi (Walawi).
2. Wimbo Ulio Bora 1:5-6, Mfalme Sulemani anajitanabaisha kuwa mweusi. Kumbuka huyu ni Muisrael
3. Waarabu wa asili ni weusi...
4. Uyahudi ni kabila pia dini. Wa uzao wa Yuda. Waisrael ama Wayahudi wengi wa leo walianza kama dini lkn baadae wakasema wao ni wa damu; Ashkenazi Jews...Ukiiangalia Mwanzo 10:1-3 utagundua Ashkenazi ni kizazi cha Yafethi, mtoto wa mwisho wa Nuhu. Israel hatokani na Yafethi bali Shem. Lakini leo hao Wayafethi wa Ashkenazi ndio Waisrael kwa asilimia kubwa!
5. Yesu alikuwa mweusi na atarudi mweusi. Ukiusoma Ufunuo 1:14-15 unamtaja Yesu katika ujio wa pili; sifa ainishwa hapo ni sifa za mtu mweusi
6. Tukumbuke Yesu mweupe na Wayahudi weupe wameanza kuwa mashuhuri mwishoni mwa karne ya 16. Hapo nyuma masanamu yote ya kanisa yalikuwa ya watu weusi: kuanzia Yesu, Yosefu, Maria, Mitume wote n.k
7. Wajuvi watajazia
Naomba tafsiri ya hapo juu namba 1 kuhusu ubantu wa huku na hao walawi
 
@Zitto Junior

dont panic just cool down. sawa cool down kijana. ngoja tukueleze sis ambao tunafahamu maana inawezekana kila siku unakutana na watu wasiofahamu wana kariri maneno yako na kudhania jinsi ambavyo umesoma kwenye mitandao na kutafsiri ni sahihi. na bahati mbaya you dont even aknowledge. jibu haya maswali

hizi ndo sifa za alivyokuwa Yesu?
sasa mbona umechukua moja tu hiyo ya nywele kama sufu, nyeupe kama theruji?
1. je yesu alipokuwa huko israel alikuwa na macho kama mwali wa moto?
2. je alikuwa na miguu kama shaba iliyosuguliwa sana?
3. je alipokuwa akiongea sauti yake ilikuwa kama maji mengi?

kama hamwelewi maandiko kwa nini msiwaulize wanaoelewa? hizi sifa katika maisha ya yesu nitajie zinapatikana katika kitabu gani. na je kooote kwenye vitabu vyote vya injili wapi wamemzungumzia yesu hivi? au vitabu vya kinabii?

Ufunuo 1:16b...... na uso wake kama jua ukingiaa kwa nguvu zake."
Yesu alipokuwa Duniani alikuwa na sifa hizo? unafaham kitabu cha ufunuo kimeandikwa kwa ajili ya nyakati gani? nyie hamchelewi kusema pia yesu ni kondoo maana imeandikwa "tazama mwanakondoo wa Mungu aichukuaye dhambi ya dunia" haya mambo siyo ya kukariri au ukisoma kwenye mtandao unakuja kutafsiri huku kuwalisha matango pori wasio na uelewa.
Ufunuo 1

nikusaidie kitu. nenda pale udsm zamani ilikuwa ikiitwa ARCHAEOLOGY UNIT . kamuulize Dr Saanane au Dr Bushozi ( kwa uchache tu) atakwambia mimi ni nani. Mimi nimefanya Degree ya Archaeleogy (UDSM) na Masters ya Anthlopology Huko USA. sasa wewe kaa kudanganya watu. ukiwa challenged una panic na kujidai kutishia tishia watu na shule yako ya diploma. unachofanya wewe ni "kusoma soma" kwenye mitandano then una tafsiri basi unaona tayari wewe ni mtalaamu. ukikuta vilaza basi wanakuona kweli we mtaalamu.

14 Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe, kama theluji; na macho yake kama mwali wa moto;
15 na miguu yake kama shaba iliyosuguliwa sana, kana kwamba imesafishwa katika tanuru; na sauti yake kama sauti ya maji mengi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mkuu umenivunja mbavu HAKIKA Leo zitto umepata!!!! kirudi ni tag kwako...
lakini muheshimiwa huo mstari una maana gani??
 
usijali mkuu naweza kuelezea vizur kitabu chote cha ufunuo acha wanaodokoa tumistari kadhaa na kutaka kusimamia katika kupindisha ukweli. ngoja nitimize kwanza malengo ya mwajiri then will get sometime to share with you. unajua sisi sote tunajifunza kutoka kwa each of us.but ni mbaya kwa wengine kudhani wanafahamu so wao wanakuwa kama wanachotoa ni conclusion.na matokeo yake wana waharibu wengine ambao ni maamuma wanakariri pasipo kuelewa.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mkuu umenivunja mbavu HAKIKA Leo zitto umepata!!!! kirudi ni tag kwako...
lakini muheshimiwa huo mstari una maana gani??
 
ha ha ha... 🙂 uwe makini "usimuudhi mchinja mbwa"
rudi katika kuthibitisha kupitia vitabu vya maisha ya yesu kwenye biblia uafrika wa yesu. au weusi wa yesu. na mimi niseme wazi sina tatizo kama yesu alikuwa mweusi nikipata uthibitisho nitakubali. tatizo langu ni upotoshaji wa watu kadhaa kwa kujua au kutojua.yesu hata angekuwa wa Pink au Blue mimi haniathiri kitu. but why sisi waafrika tujidunishe kiasi kwamba tunaona sasa tukisema hivyo inatupa credit?

Kumradhi mkuu ila amenivuruga sana kukejeli watu bila kujibu hoja kama msomi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mkuu umenivunja mbavu HAKIKA Leo zitto umepata!!!! kirudi ni tag kwako...
lakini muheshimiwa huo mstari una maana gani??
Mkuu hoja haikuwa tafsiri ya huo mstari hoja ilikuwa kumkejeli mchangiaji mmoja aliyesema Yesu alikuwa na nywele nyeupe sasa mie ndio nkamjibu kuwa huyo mchangiaji amesoma Biblia ndio imeandika hivyo kuwa Yohana alipomuona Yesu ndio alikuwa na hiyo description pia Daniel na Isaya waliona same face ndio watu weusi wakatafsiri Yesu alikuwa mweusi

Ssa huyo msomi either angemuelewesha maana ya huo mstari ila sio kumkejeli as if hyo hoja ameitoa kichwani mwake sasa sijui wapi ambapo nmekamatika?? Wakati ni suala la kumtaka mtu kureason kisomi tu.....
 
kwani tunazungumzia yesu au makabila mengine? maana naona unaleta hoja nyingine. mimi hayo makabila mengine sitaji kuyazungumzia.
hebu nambie israel ya leo inatawaliwa na watu wa kabila gani ? na je unaamini kuwa wanapotaka kuchagua mtu wanaangalia anatoka kabila gani? unajua unaposoma kwenye internet na vitabu mbalimbali waandishi nao ni binadamu wana hisia,mawazo na maoni yao. si mbaya kama ukiwa umesoma ukasema according to..... ili nisikulaumu wewe nimlaumu mwandishi husika. tatizo wewe unataka uyabebe haya personal. yatakuelemea... na sijui kama malcom ana muda wa kukufundisha wakati wote. pia sema according to malcom yeye anasema hivi..... 🙂🙂🙂🙂

Mkuu umegusia rangi ha Yesu na waisrael kuwa hawakuwa weusi ndio mimi nikakuhoji haya maswali naomba uyajibu

1. Umesema tuangalie Israel ya leo ina weusi wangapi sasa nisaidie ni lini Israel ya leo ina representation ya makabila yote 12 ya kingdom of Israel na Judah

2. Unauliza kma Yesu alikuwa mweupe ukoo wake uliishia wapi?? Are you serious?? Sasa kama 70 AD walifurumushwa na kutapakaa dunia nzima ulitegemea na ukoo wa Yesu hata kma ulikuwa mweusi au mwekundu ubaki hapo hapo Judah??

3. Unauliza kama Daudi ni mweusi?? Hivi Daudi si alikuwa kabila moja tu la benjamin kama sikosei mbona hujahoji makabila 4 ambayo yalikuwa yametokana na wamama watumwa weusi kutoka misri ama Daudi ndio benchmark ya rangi ya wayahudi na sio Yakobo na wake zake??
 
ha ha ha... 🙂 uwe makini "usimuudhi mchinja mbwa"
rudi katika kuthibitisha kupitia vitabu vya maisha ya yesu kwenye biblia uafrika wa yesu. au weusi wa yesu. na mimi niseme wazi sina tatizo kama yesu alikuwa mweusi nikipata uthibitisho nitakubali. tatizo langu ni upotoshaji wa watu kadhaa kwa kujua au kutojua.yesu hata angekuwa wa Pink au Blue mimi haniathiri kitu. but why sisi waafrika tujidunishe kiasi kwamba tunaona sasa tukisema hivyo inatupa credit?
Wapi nalazimisha Yesu alikuwa mweusi mie mzizi wa hoja ni ww kumkejeli mchangiaji kisa kasema Yesu ana rangi nyeusi na nywele nyeupe ww ukaanza kejeli na kumcheka ndio nikakuelewesha alipotoa huo mstari sasa either Yesu awe mweupe au mweusi ndio ujue hyo hoja imetolewa kwenye kitabu cha ufunuo Daniel na Isaya na sio kichwani kwake hivyo ukimponda kaanze na Bible sio mchangiaji kma mtu.
 
zitto mimi nilifikiri wewe uliyesoma sana unaweza elewa kirahisi sana. mimi najaribu kutumia kiswahili chepesi kabisa ambacho mtoto wangu wa darasa la pili anakielewa.

"YESU WALI M REFER KAMA MWANA WA DAUDI. JE DAUDI ALIKUWA MWEUSI? hayo makabila mengine achana nayo hayo yasikupe shida kabisa. Nasisitiza achana na makabila mengine na habari nyingine... huyu mwana wa daudi kwa maana ya ukoo wa daudi je daud alikuwa mweusi? na joseph mme wake mariamu alikuwa mweusi? na mariamu alikuwa mweusi? mbona logic yake ndogo sana ndugu zitto.

Mkuu umegusia rangi ha Yesu na waisrael kuwa hawakuwa weusi ndio mimi nikakuhoji haya maswali naomba uyajibu

1. Umesema tuangalie Israel ya leo ina weusi wangapi sasa nisaidie ni lini Israel ya leo ina representation ya makabila yote 12 ya kingdom of Israel na Judah

2. Unauliza kma Yesu alikuwa mweupe ukoo wake uliishia wapi?? Are you serious?? Sasa kama 70 AD walifurumushwa na kutapakaa dunia nzima ulitegemea na ukoo wa Yesu hata kma ulikuwa mweusi au mwekundu ubaki hapo hapo Judah??

3. Unauliza kama Daudi ni mweusi?? Hivi Daudi si alikuwa kabila moja tu la benjamin kama sikosei mbona hujahoji makabila 4 ambayo yalikuwa yametokana na wamama watumwa weusi kutoka misri ama Daudi ndio benchmark ya rangi ya wayahudi na sio Yakobo na wake zake??
 
nipatie kifungu hicho cha kutoka Daniel au Isaya kinachosema Yesu alikuwa Mweusi. sasa twende vizuri. taratibu 🙂🙂🙂 mimi nilisikitika kwa yule dada ambaye yeye maskini ni mtolewa tu. amekariri hivyo asamehewe tu. sasa nimekuja kwako. WAPI BIBLIA INASEMA YESU ALIKUWA MWEUSI. huo ufunuo ni dhahiri hujauelewa mwambie malcom akuelekeze au mtu mwingine ambaye ana uelewa mzuri akuelezee kitabu cha ufunuo kikoje. haya mambo watu huwa wanadhani wakija tu humu JF wakisoma soma sehemu basi wanaweza waambia watu wote. wanasahau na "SISI" tupo humu sometime tunapojitoa ufahamu tuwe kama wao siku ziende basi wanaamini nasi ni wa kwao. kumbe tulikuja kama wao ili tuweze kuwajulisha yetu.😀😀😀

Wapi nalazimisha Yesu alikuwa mweusi mie mzizi wa hoja ni ww kumkejeli mchangiaji kisa kasema Yesu ana rangi nyeusi na nywele nyeupe ww ukaanza kejeli na kumcheka ndio nikakuelewesha alipotoa huo mstari sasa either Yesu awe mweupe au mweusi ndio ujue hyo hoja imetolewa kwenye kitabu cha ufunuo Daniel na Isaya na sio kichwani kwake hivyo ukimponda kaanze na Bible sio mchangiaji kma mtu.
 
yusuph kazal
Yusufu Hakuwa uzao WA kabila la Yuda (yeye kazalisha makabila mawili, Manase na Efraimu) na hadi ninapoandika sasa ni kabila moja tu la Yuda (Wayahudi ndio wapo nchi Ya Israeli) makabila mengine 10 yatarudishwa na Mungu wenyewe siku za mwisho na kuwaunganisha na Yuda kama ilivyokuwa wakati wa wafalme Sauli, Daudi na Solomon!
isha makabila mawili au kazaa watoto wawili.kwani mtoto akizaliwa si anafata kabila la baba yake ? so manase na ephraim si watakua kabila moja maana ni watoto wa baba na mama mmoja.fafanua hapo yusuphu akazaa makabila mawili manase na ephraim
 
aiseee.... hivi ndivyo Yesu alivyokuwa? nataka unijibu hili swali. hayo maelezo yapo kama yalivyo andikwa lakini swali ndivyo yesu alivyokuwa miaka 2000 iliyopita?
1.unafahamu kitabu cha ufunuo kimeandikwa kwa ajili ya kipindi gani?
maana unapoona imeandika nikaona/au nliona kwa ufunuo haimaanishi na past tense ya matukio hayo. ni past tense ya mtu aliyeona mambo hayo lakini ni future events.
2. yesu alikuwa mwana wa daudi. je daudi alikuwa mweusi? kwa jinsi walivyo m adress kipindi kile kibinadamu. daud alikuwa mweusi?
3. wazazi wa yesu walikuwa weusi? mariamu na yusufu?
unajua hata mimi natamani sana watu wengi maarufu ,mitume na manabii wawe weusi. napenda sana na wakati mwingine natamani kusema walikuwa na kutafuta ushahidi ..lakini dhamila yangu inanisuta. 🙂🙂🙂

hii hoja ni nyepesi sana kuliko watu wanayojaribu kuifanya ionekane ni nzito sana. binafsi rangi ya yesu hainipi shida hata kama angekuwa ni wa kijani. lakini twende na simple facts na si mihemko au utashi wetu. waafrika tunatamani sana to be somewhere kimataifa tunakwama sehemu sasa badala ya kuwa fight kutoka tulipo tumeingia kwenye mkumbo wa kutafuta tafuta info za kuokoteza ku justify hisia zetu. haya nijibu hayo maswali . nakusisitizia twende taratibu. usi panic na huna haja ya kumwita malcom aje akusaidie huyo najaribu kuheshimiana naye. twende taratibu kabisa kwa kutumia tu common sense. tuachane na elimu maana elimu yangu hapa sioni hata haja ya kuitumia haya ni mambo ya mtoto wa darasa la nne mpaka tano kujibu. so why niihangaishe elimu yangu kwa mambo mepesi kama haya?
1. Still unaprove maandiko husomi unasema Ufunuo ni future events pekee kwani hyo description ipo ufunuo pekee?? Ipo Isaya na Daniel pia so ukiijibu jikite hivyo vitabu vitatu sio ufunuo pekee kama unavyotaka kuaminisha hapa.

2. Daudi kuwa mweupe au mweusi kuna connection gani na rangi ya Yesu.....?? Yesu hakuzaliwa na genes zozote za Daudi maana mama yake Yesu alipandikizwa mimba tu na Roho hivyo rangi yake au feature zake hazina lolote to do with daudi so hii ni irrelevant question

3. Same case rangi ya Yesu haina connection na rangi ya maria au Daudi maana mbegu ingeweza pandikizwa hata ya kichina kwenye tumbo la maria so bado hii sio swali mkuu unalotakiwa kuhoji.

Hoja hapa sio kulazimisha weusi kuwa ndio Israel bali nimekuwekea evidence kuwa utafiti ya kisayansi uliprove hao Lemba na Beta jews wa ethiopia wanashare "damu" na wayahudi wa kale.....

Pia nimekueleza kuwa watoto 4 kati ya 12 wa yakobo walikuwa weusi tii hivyo kuprove kulikuwa na waisrael weusi

Wwe umekuja na hoja kuwa tuangalie kuna wayahudi wangapi weusi pale Israel au ukoo wa Yesu uliishia wapi ndio nmekutaarifu kuwa makabila 10 ya Israel yalishapotea archeologist wengi duniani wanakubali hilo nashangaa kwanini hufahamu hilo hivyo lwa kujibu hili ni kwamba ukoo wa Yesu ulipotea pia huko exile

Narudia tena Israel ya leo haina representation ya makabila yote 12 na hata wao wanasema hilo....wengi wa pale ni Ashkenazi ambao bado ni controversial kama ni pure Israelites au converts pekee ikimaanisha na ikumbukwe world population ya jews 80% ni Ashkenazi ikimaanisha makabila zaidi ya 10 ya Jews bado hayajafahamika yako wapi au yalipotelea wapi so usijengee hoja Israel ya leo ili kuhoji weusi wakwapi??

Ni hayo tu
 
mtu yoyote anayetumia biblia kuelezea history huwa nabaki kumuangalia tu
 
nipatie kifungu hicho cha kutoka Daniel au Isaya kinachosema Yesu alikuwa Mweusi. sasa twende vizuri. taratibu 🙂🙂🙂 mimi nilisikitika kwa yule dada ambaye yeye maskini ni mtolewa tu. amekariri hivyo asamehewe tu. sasa nimekuja kwako. WAPI BIBLIA INASEMA YESU ALIKUWA MWEUSI. huo ufunuo ni dhahiri hujauelewa mwambie malcom akuelekeze au mtu mwingine ambaye ana uelewa mzuri akuelezee kitabu cha ufunuo kikoje. haya mambo watu huwa wanadhani wakija tu humu JF wakisoma soma sehemu basi wanaweza waambia watu wote. wanasahau na "SISI" tupo humu sometime tunapojitoa ufahamu tuwe kama wao siku ziende basi wanaamini nasi ni wa kwao. kumbe tulikuja kama wao ili tuweze kuwajulisha yetu.😀😀😀
We naye naona tunazunguka tu hata huelewi nachosema.... Kwa mara ya mwisho narudia biblia inasema alikuwa na mikono na miguu kama shaba iliyosuguliwa Daniel 10... Je rangi ya shaba ikoje
images (86).jpg


Kwa burst kama hii ya SHABA je kuna mzungu ana hii rangi au inakaribiana na mtu mweusi kama huyu

images (87).jpg


Ndio watu wakajengea hoja kuwa Isaya na Daniel na Yohana walifunuliwa rangi ya Yesu atakayokuwa nayo duniani na atakaporudi hivyo haijalishi wamekosea kutafsiri ama lah ila hii hoja imeanzia hapa

Sasa wewe ungemuelewesha sio kuja na kejeli kana kwamba hyo ni hoja mpya kwako wakati imeongelewa mpaka na mablack kibao kina Akon na wengineyo so haikuwa issue ya kukejeli ila kuielezea
 
unadhani kama Daudi hakuwa mweusi akazaliwa Yesu mweusi, Yosefu hakuwa Mweusi akazaliwa Yesu mweusi. Mariamu hakuwa mweusi akazaliwa Yesu mweusi. basi wooooooooooooooote wakaridhika? Joseph akaendelea kum treat yesu kama mwanaye na ndugu zake pia maana wanatajwa. na wananchi hawakulalamika juu ya hilo? hivi inawezekana leo kweli akaja zaliwa mtoto mzungu wakasema ni wa nyerere ikiwa wazazi wa huyo mtoto wote ni weusi? halafu akaendelea kuitwa mtoto wa nyerere kwa maana ya Ukoo? hii mbona reasoning yake ni ndogo sana? leo hii (mi sijui rangi yako) tuchukulie mweusi na mkeo mweusi akazaa mtoto mwarabu akakueleza alichokueleza akakwambia mfichie siri na wewe utapita mtaani unasema huyu mtoto ni wangu huku ukiendelea na mkeo? basi hapo tatizo ni kubwa kuliko nilivyofikiri. ni kubwa sana. nashukuru nime elewa tatizo ni nini.

asilimia kubwa ya kitabu cha Daniel, Ufunuo, Isaya na Yeremia ni mambo yaliyotokea wakati ule wa utawala, wakati wa uliokuwa unakuja wa Yesu na Ufunuo ni wakati ujao baada ya Yesu kwa asilimia 99. mimi nimezungumzia Ufunuo baada ya wewe kuchukua kamstari kamoja ka huko. lakini ukitaka tuzungumzie vitabu vyooote vya biblia au qurani mi nipo tayari kabisa.



1. Still unaprove maandiko husomi unasema Ufunuo ni future events pekee kwani hyo description ipo ufunuo pekee?? Ipo Isaya na Daniel pia so ukiijibu jikite hivyo vitabu vitatu sio ufunuo pekee kama unavyotaka kuaminisha hapa.

2. Daudi kuwa mweupe au mweusi kuna connection gani na rangi ya Yesu.....?? Yesu hakuzaliwa na genes zozote za Daudi maana mama yake Yesu alipandikizwa mimba tu na Roho hivyo rangi yake au feature zake hazina lolote to do with daudi so hii ni irrelevant question

3. Same case rangi ya Yesu haina connection na rangi ya maria au Daudi maana mbegu ingeweza pandikizwa hata ya kichina kwenye tumbo la maria so bado hii sio swali mkuu unalotakiwa kuhoji.

Hoja hapa sio kulazimisha weusi kuwa ndio Israel bali nimekuwekea evidence kuwa utafiti ya kisayansi uliprove hao Lemba na Beta jews wa ethiopia wanashare "damu" na wayahudi wa kale.....

Pia nimekueleza kuwa watoto 4 kati ya 12 wa yakobo walikuwa weusi tii hivyo kuprove kulikuwa na waisrael weusi

Wwe umekuja na hoja kuwa tuangalie kuna wayahudi wangapi weusi pale Israel au ukoo wa Yesu uliishia wapi ndio nmekutaarifu kuwa makabila 10 ya Israel yalishapotea archeologist wengi duniani wanakubali hilo nashangaa kwanini hufahamu hilo hivyo lwa kujibu hili ni kwamba ukoo wa Yesu ulipotea pia huko exile

Narudia tena Israel ya leo haina representation ya makabila yote 12 na hata wao wanasema hilo....wengi wa pale ni Ashkenazi ambao bado ni controversial kama ni pure Israelites au converts pekee ikimaanisha na ikumbukwe world population ya jews 80% ni Ashkenazi ikimaanisha makabila zaidi ya 10 ya Jews bado hayajafahamika yako wapi au yalipotelea wapi so usijengee hoja Israel ya leo ili kuhoji weusi wakwapi??

Ni hayo tu
 
unadhani kama Daudi hakuwa mweusi akazaliwa Yesu mweusi, Yosefu hakuwa Mweusi akazaliwa Yesu mweusi. Mariamu hakuwa mweusi akazaliwa Yesu mweusi. basi wooooooooooooooote wakaridhika? Joseph akaendelea kum treat yesu kama mwanaye na ndugu zake pia maana wanatajwa. na wananchi hawakulalamika juu ya hilo? hivi inawezekana leo kweli akaja zaliwa mtoto mzungu wakasema ni wa nyerere ikiwa wazazi wa huyo mtoto wote ni weusi? halafu akaendelea kuitwa mtoto wa nyerere kwa maana ya Ukoo? hii mbona reasoning yake ni ndogo sana? leo hii (mi sijui rangi yako) tuchukulie mweusi na mkeo mweusi akazaa mtoto mwarabu akakueleza alichokueleza akakwambia mfichie siri na wewe utapita mtaani unasema huyu mtoto ni wangu huku ukiendelea na mkeo? basi hapo tatizo ni kubwa kuliko nilivyofikiri. ni kubwa sana. nashukuru nime elewa tatizo ni nini.

asilimia kubwa ya kitabu cha Daniel, Ufunuo, Isaya na Yeremia ni mambo yaliyotokea wakati ule wa utawala, wakati wa uliokuwa unakuja wa Yesu na Ufunuo ni wakati ujao baada ya Yesu kwa asilimia 99. mimi nimezungumzia Ufunuo baada ya wewe kuchukua kamstari kamoja ka huko. lakini ukitaka tuzungumzie vitabu vyooote vya biblia au qurani mi nipo tayari kabisa.
1. Mkuu mbona Esau alizaliwa akiwa mwekundu kama albino hivi tofauti na yakobo na ndugu zake ila Isaka alimkubali jinsi alivyo na hakumkimbia ndio sembuse Yesu kuwa mweusi?? Assuming Yosefu au Mary wasn't black.... As long as Biblia imesema alizaliwa kwa uweza wa Roho mtakatifu na sio mbegu ya Yosefu kimaandiko we can conclude hakuna relationship yeyote kati ya rangi yeyote ya wazazi wake na rangi ya Yesu irrespective alitoka na rangi gani hili ndio nililotaka niliweke sawa

2. Kuhusu daniel na isaya zinaongelea ujio wa kwanza wa Yesu na wao walisema wamemuona Yesu akiwa na taswira hiyo ya Ebony jesus na pia ufunuo ambao unaongelea kurudi kwa pili kwa Yesu naye akarudia hyo statement ya kutokewa na black jesus ndio maana black supremacist wakachukua hyo hoja ya kusema Yesu ni mweusi ila inaonekana ni kama umeisikia kwa mara ya kwanza kwenye huu uzi hadi ukacheka though unajitutumua unafahamu ufunuo!!

Anyway hili la rangi ndio lilianzia hapa otherwise next time ukija kwenye mada njoo na hoja sio matusi na kejeli hilo ndio la muhimu haya mengine mbwembwe tu.

Nikutakie usiku mwema mkuu.
 
Back
Top Bottom