Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #61
Mwisho wa siku mkipelekwa mahakaman mtasema mnaonewa kumbe kukosa maarifa
Watoe ufanunuzi kwa twitter ya mtu anayeogopa hata kuweka jina lake na ikakopiwa na mtu mwingine ambaye naye anatumia jina la bandia na hawana ushahidi? Hili jambo la kusema ''bisha nikuumbue'' ni mikwala mbuzi ya kizamani sana! Mtu kama una issue ya ukweli unaiweka ili watu waone! Potela pote usiweke jina lako lakini weka ushahidi wa unachoongelea. ATC nitawatetea kwa hili na nawaomba sana wasijibu ujinga kama huu. Watakuwa wana argue na fools.....Mkuu unaandika very professional, naona mtiririko mtupu wa Logic! ATCL Waje watoe ufafanuzi, hakuna ugomvi! Ndege ni zetu na Roho ni zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama huna Insurance huwezi kurusha Ndege zako especially Kimataifa
Juzi Kati ATC imerusha Ndege kwenda Zimbabwe Na imepita Anga mbalimbali bila ya Vikwazo
Hii habari Ni ya UOngo
SureUnachokisema ni kweli lakini nchi hii chochote kinawezekana. Haujasikia mtu kabambikiwa kesi ya mauaji hadi mkuu ameingilia kati haki kupatikana?
Mtoa taarifa amesisitiza ana uhakika na anachokisema, ameomba shirika la ndege lijitokeze kukanusha. Tusubirie
I'm speaking from experience sio nadharia
Unaponunua Ndege huuziwi Kama unanunua Kandambili mwa mangi
Kuna Masharti kadhaa Na mojawapo ni kuhakikisha lazima uwe Na Insurance
Na kwa level ya Insurance company zetu hazina uwezo wa kukata Insuarance wao mpka kwa Moja kwa Kuwa mitaji yao ni Midogo hivyo lazima ukikata Insurance kwao Na wao wanakatia Insurance kimataifa
Kama ATC hawana Insurance ya Kimataifa wasingejaribu Kuwa Na Safari Za Kimataifa kwa kipindi hiki
Wanafanya Makusudi tuUmesoma vizuri kilichoandikwa na kukielewa lakini?
Angekuwa na uhakika angeweka ushahidi wa anachosema. Hili la kusema bisha nikuumbue ni la kizamani sana sana. Mimi naangalia mambo kwa mapana. Nasema hivi kwa sababu ATC ''wasipobisha'' kama mtuhumu anavyosema ina maana HATAWEKA ushahidi wowote. Na kama hataweka ushahidi wowote basi amefunika uzembe amabo ulitakiwa uanikwe!Unachokisema ni kweli lakini nchi hii chochote kinawezekana. Haujasikia mtu kabambikiwa kesi ya mauaji hadi mkuu ameingilia kati haki kupatikana?
Mtoa taarifa amesisitiza ana uhakika na anachokisema, ameomba shirika la ndege lijitokeze kukanusha. Tusubirie
Weka ushahidi bro.... punguza blah blah...kama unasema hao kampuni bima wame cancel bima ya ndege lazima kuna barua ya kusitisha.....ibandike hapa siku nyingine usilete porojo humu...Hii Habari nimekutana nayo Twitter, na mtoa Mada amesema Kama anaongopa basi ATC wakanushe! Chanzo ni kutolipwa pesa yao jamaa wakaamua ku-cancell. Tukiacha mihemko, hili linawezekana kurusha ndege bila Insurance?
Ufafanuzi
Kwa mujibu wa mleta Mada wa Twitter ni kwamba, ATC wameshindwa au hawajalipia cover notes na hivyo kuwa cancelled! Sio kwamba hawajawahi kuwa na insurance.
Siasa tuweke mbali kwanza
View attachment 1046629
View attachment 1046628
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wasipobisha? Unajua kuna vitu vingine mtu unatakiwa utafakari kabla ya kuunga mkono ujinga!
time. walienda lini na bima imefutwa lini.Huu ni mjadala wa hoja
Jibu hoja nitoe hoja sio kusema ninam cover Nani?
Vijana jifunzeni kujenga hoja sio kutafuta Visingizo
Tunahitaji ushahidi wa hizo allegations
ATC imeenda Harare Na kurudi salama Na Ikapewa ruhusu ya kutua Viwanja vyote bya Ndege ilivyo taka kutua, yote hayo yangewezekana bila ya Kuwa Na Insurance?
kuna mambo mengine lazima utoe proof ya tuhuma kwanza kabla muhusika aje kujibu tuhuma.kwani wakuu mtu aki kutuhumu kuwa unajinsia mbili,akwambie kama unabisha ntakuumbua.Je utavua nguo kumprove wrong?kama unanituhumu,leta ushahidi ili nipinge ushahidi wako,sio nipinge maneno bila ushahidi.Tukubali kuwa vitu vingine lazima viende ki taalamu.Huwez kuwa unajibu kila neno mtu asemalo bila kuleta ushahidi.
Sawa, imeendelea na safari za njia hiyo? Mpaka sasa imekwenda mara ngapi?Kama huna Insurance huwezi kurusha Ndege zako especially Kimataifa
Juzi Kati ATC imerusha Ndege kwenda Zimbabwe Na imepita Anga mbalimbali bila ya Vikwazo
Hii habari Ni ya UOngo
Ushaambiwa mbishe alete ushaidi ,kabisheni kwamba mna insurance basiHuu ni mjadala wa hoja
Jibu hoja nitoe hoja sio kusema ninam cover Nani?
Vijana jifunzeni kujenga hoja sio kutafuta Visingizo
Tunahitaji ushahidi wa hizo allegations
ATC imeenda Harare Na kurudi salama Na Ikapewa ruhusu ya kutua Viwanja vyote bya Ndege ilivyo taka kutua, yote hayo yangewezekana bila ya Kuwa Na Insurance?
Sawa, imeendelea na safari za njia hiyo? Mpaka sasa imekwenda mara ngapi?
Angekuwa na uhakika angeweka ushahidi wa anachosema. Hili la kusema bisha nikuumbue ni la kizamani sana sana. Mimi naangalia mambo kwa mapana. Nasema hivi kwa sababu ATC ''wasipobisha'' kama mtuhumu anavyosema ina maana HATAWEKA ushahidi wowote. Na kama hataweka ushahidi wowote basi amefunika uzembe amabo ulitakiwa uanikwe!