kantalambaz
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 1,878
- 887
Mpwa, Hebu soma vizuri concern yangu, lengo ni kujua ukweli tu, haya mengine ya ushahidi ni Secondry stage
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushahidi kwamba ziletwe cover zilizo expire au kitu gani kiletwe? Tuhuma nzito kama hii ni zaidi ya expansion joint iliyopelekea kijana wa watu kwenda ndani kwa muda.
Binafsi imegoma kuingia akilini kwa jinsi nnavyoelewa taratibu zinavyoenda, lakini nikitafakari kuanzia mchakato wa manunuzi na umabavu ulivyogubika hizi ndege ukiongezea na uzembe wa viongozi wetu, sishangai kabisa kuwa hawaja renew cover.
Tuhuma zimejitosheleza kila kitu. Shirika ndio wanatakiwa kukanusha. Usishangae wapo kwenye mchakato wa kulipa ndio wajitokeze kwenye vyombo vya habari.
Aweke ushahidiUnachokisema ni kweli lakini nchi hii chochote kinawezekana. Haujasikia mtu kabambikiwa kesi ya mauaji hadi mkuu ameingilia kati haki kupatikana?
Mtoa taarifa amesisitiza ana uhakika na anachokisema, ameomba shirika la ndege lijitokeze kukanusha. Tusubirie
Mlianza na ndege ya abiria kupeleka nyama ya mbuzi Dubai,mkarud,ndege Kama fuso za kukodi!tumeshindwa surface transport tutaweza airlines. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama huna Insurance huwezi kurusha Ndege zako especially Kimataifa
Juzi Kati ATC imerusha Ndege kwenda Zimbabwe Na imepita Anga mbalimbali bila ya Vikwazo
Hii habari Ni ya UOngo
Wacha weee,toeni majibu sio ufunuoMimi nakuhakikishia Kama huna insurance huna uwezo wa kurusha Ndege Hata nchini mwako
Hata Ndege Za Kijeshi lazima zikatiwe Insurance
Hayo ni mawazo ya watu wanaofanya ramli chonganishi.Ushahidi kwamba ziletwe cover zilizo expire au kitu gani kiletwe? Tuhuma nzito kama hii ni zaidi ya expansion joint iliyopelekea kijana wa watu kwenda ndani kwa muda.
Binafsi imegoma kuingia akilini kwa jinsi nnavyoelewa taratibu zinavyoenda, lakini nikitafakari kuanzia mchakato wa manunuzi na umabavu ulivyogubika hizi ndege ukiongezea na uzembe wa viongozi wetu, sishangai kabisa kuwa hawaja renew cover.
Tuhuma zimejitosheleza kila kitu. Shirika ndio wanatakiwa kukanusha. Usishangae wapo kwenye mchakato wa kulipa ndio wajitokeze kwenye vyombo vya habari.
Acha mambo ya uswahiliniUshaambiwa mbishe alete ushaidi ,kabisheni kwamba mna insurance basi
Kelele nyingi za nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Aweke ushahidiVema kama unaangalia mambo kwa mapana. Lakini unaelewa madhara ya hizi tuhuma kibiashara? Nnavyoelewa jamaa wanavyofanya kazi sasa hivi, huyu mleta habari angekua polisi muda huu.
Nimeona kuna watu wanasema isingeweza kwenda safari za kimataifa kama haina insurance, habari inasema kulikua na cover ambayo baada ya muda kwisha haikulipiwa na ilishakua cancelled. Sasa huenda ndege ziliruka wakati cover iko valid.
Hoja hata wewe unaweza saidia kuketa ndg,tusikatae kwa upraise tu,Evidence kwanza hutolewa Na alieleta tuhuma
Jee hizo tuhuma zimeambatana na ushahidi ?
Kwa sababu Kwenye kujibu tuhuma Kazi Moja wapo ni kuonesha udhaifu wa ushahidi ulipoletwa dhidi yako
Za jeshi?!Mimi nakuhakikishia Kama huna insurance huna uwezo wa kurusha Ndege Hata nchini mwako
Hata Ndege Za Kijeshi lazima zikatiwe Insurance
Hivi dreamliner hairuki Siku hizi?Mlianza na ndege ya abiria kupeleka nyama ya mbuzi Dubai,mkarud,ndege Kama fuso za kukodi!tumeshindwa surface transport tutaweza airlines. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ndege zinabebaga ujauzito?Huo uongo usio kuwa na kichwa wala miguu hizi ndege kila siku zinatungiwa mistari ya mipasho zimevumilia sana kwa sababu ni za kizungu zingekuwa za Kiafrika zinge vimba na kupasuka
Tuhuma zingekuwa na nguvu kama angeweka vielelezo alivyonavyo. Vinginevyo sidhani kama sina nguvu ya kuathiri biashara. Kampuni au shirika lolote litakuwa linatuhumiwa kwa jambo moja au jingine mara kwa mara lakini linajibu tu pale tuhuma zinapoonekana kuwa zina logic na zimetololewa zikiwa na vielelezo. Vinginevyo kampuni au shirika inaweza kujikuta inalumbana na wajinga wajinga wasio na kazi wanaotaka kuvuruga mambo. Kwa mfano hapa kuna thread moja kichaa mmoja kafungua anatuhumu kuwa kampuni ya Boeing ni Freemanson na ndege kama Ethiopian iliyopata ajali ni wao wametoa kafara! Je, Boeing ijibu ujinga kama huu?Vema kama unaangalia mambo kwa mapana. Lakini unaelewa madhara ya hizi tuhuma kibiashara? Nnavyoelewa jamaa wanavyofanya kazi sasa hivi, huyu mleta habari angekua polisi muda huu.
Nimeona kuna watu wanasema isingeweza kwenda safari za kimataifa kama haina insurance, habari inasema kulikua na cover ambayo baada ya muda kwisha haikulipiwa na ilishakua cancelled. Sasa huenda ndege ziliruka wakati cover iko valid.
Hizi ni hisia zako wewe mwenyewe na unaonyesha kiasi cha ujinga uliokujaa kichwani.....ndege hazina insurance hayo mengine ni upumbavu wako hayaongelewi humu......jibu hoja acha kujipaka mavi.Binadamu ukiwa ufipa sijui unakuwaje mmeanza ndege terrible teen hazifai Leo mmeibuka na bima kesho itakuwa ndege Mali zetu mtufungie feni za mapanga boi viyoyozi hatujazoea mala tukikaa ndegeni miguu inauma mtuwekee foot rest basi ilimradi tu vijana kwa wazee wamezoea kulialia tabia waliyoirithi toka kwa mwenyekiti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kurusha ndege hata nchini kwako??? Kwani ni nani anayekubana ukiwa kwako?Mimi nakuhakikishia Kama huna insurance huna uwezo wa kurusha Ndege Hata nchini mwako
Hata Ndege Za Kijeshi lazima zikatiwe Insurance