kumbe we n binti under 24Ndiyo, hatupendi
Ndiyo mjombakumbe we n binti under 24
Wakati ndo wanaongoza kwa kushobokewa na vidume umri huo wana ngara sana sijui kwann....Mi naona na wanaume pia wanaona umri huo wanawake watawasumbua Kwa hiyo nao wanajikuta hawawafati
sio jana ni juzi 😂😂sNdiyo mjomba
Mtoto wa mama angu mie ndio kwanza niko na 19 nimetimiza juzi.
Hujawahi kuona mwanaume anamfuata 30+Wakati ndo wanaongoza kwa kushobokewa na vidume umri huo wana ngara sana sijui kwann....
Ni wanaume wachache sana hufuata 30+. Wachache sana japo sijawai ona.
Kwenye circle yangu sijaona mkuu,Hujawahi kuona mwanaume anamfuata 30+